Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu numejaribu kuitafuta hotuba husika bila mafanikio. Nadhani ni muda muafaka kuitundika hapa jamvini ile hotuba ili tupime tulichoahidiwa na Muungwana. Nayakumbuka machache:
1. Alisema ataumaliza kabisa mgogoro wa zenj, sijui kama umeisha?
2. Tutaanzisha kujenga nyumba kutumia real estates, sijui ngapi zimeanzishwa?
3. Tutapambana na rushwa kubwa kubwa kwa vitendo na si lazima ushahidi uwepo asilimia 100, hata ukihisiwa umekula rushwa tutahakikisha tunachunguza na kushughulikia, sijui utekelezaji wake?
4. Tutaleta maisha bora kwa kila mtanzania and so on and so on!!!!
1. Alisema ataumaliza kabisa mgogoro wa zenj, sijui kama umeisha?
2. Tutaanzisha kujenga nyumba kutumia real estates, sijui ngapi zimeanzishwa?
3. Tutapambana na rushwa kubwa kubwa kwa vitendo na si lazima ushahidi uwepo asilimia 100, hata ukihisiwa umekula rushwa tutahakikisha tunachunguza na kushughulikia, sijui utekelezaji wake?
4. Tutaleta maisha bora kwa kila mtanzania and so on and so on!!!!