Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,807
- 59,289
Jamani Amy kumbe mie ni ARROGANT? Ngoja nije kivingine basi. . .but i like this side of u pia bana! Arrogant + sweet= perfect definition of lizzy!
Jamani Amy kumbe mie ni ARROGANT? Ngoja nije kivingine basi. . .but i like this side of u pia bana! Arrogant + sweet= perfect definition of lizzy!
Thanks God ..
umeamka kutoka kwenye ndoto mbaya...
majibu .. Matamu kupita kiasi.
Thread.. Kama vile unatafuta mtu akutongoze ( na wakati mi nimesha kuwahi)
Anything at all?
Hahahahah. . . .
Alafu nimejaribu hata sijafanikiwa pamoja na kujigonga kote huko. Sijui ndo umeshaniende kwa mgangaa. . . . .?
Jamani Amy kumbe mie ni ARROGANT? Ngoja nije kivingine basi. . .
Loh. .. Loh. . Loh. . .Nilivyokushikilia mpaka kwenye chupa nimkuweka ...
(atakae kuchukua lazima tena lazima apate APPROVAL kutoka kwangu)
Yes, cocksure arrogant.
You are mean
Heheheheheeee shooooory
Asante Lizzy!YOU are amazing.
Hahahahah. . . Jamani mbona mwanitupia madongo mpaka nashindwa kuyabeba? Haya bana, ntausogeza karibu kidogo.Asante Lizzy!
I think you are a special person with a brilliant mind and a kind heart (hidden far far away, but there, nevertheless)
Hakuna ubaya kama utakua unaipa nafasi ya kusurface mara kwa mara. We be yourself, tunakupenda hivo hivo.Hahahahah. . . Jamani mbona mwanitupia madongo mpaka nashindwa kuyabeba? Haya bana, ntausogeza karibu kidogo.
Hakuna ubaya kama utakua unaipa nafasi ya kusurface mara kwa mara. We be yourself, tunakupenda hivo hivo.
Shida yako ni kwamba unaacha akili yako ifunike hisia zako, as if kua mpole, mkarimu, mvumilivu na mengine ni weakness, and you need to hide it using sarcasms ...
Ndio ninavoona kwa kukusoma humu JF... kama ni kweli au uongo unajua mwenyewe.Bwoiiiii. . . . .
Kumbe eehhhh?
Hakuna ubaya kama utakua unaipa nafasi ya kusurface mara kwa mara. We be yourself, tunakupenda hivo hivo.
Shida yako ni kwamba unaacha akili yako ifunike hisia zako, as if kua mpole, mkarimu, mvumilivu na mengine ni weakness, and you need to hide it using sarcasms ...
Nimejibu tayari...Naomba kuuliza nini tu kilichokufanya useme hiyo sentensi ya mwisho?
Ndio ninavoona kwa kukusoma humu JF... kama ni kweli au uongo unajua mwenyewe.
Kila nikiona unajibu sarcastically najaribu kujiuliza ulihisi nini hadi ujibu hivo na mara kwa mara naona hasira, challenge you don't want to take etc. naweza kua najidanganya sababu sikujui beyond michango yako hapa JF.
Kwa jumla na kwangu mimi, , personality kidogo unayo tuonesha hapa,mi nimeipenda.
Ndio ninavoona kwa kukusoma humu JF... kama ni kweli au uongo unajua mwenyewe.
Kila nikiona unajibu sarcastically najaribu kujiuliza ulihisi nini hadi ujibu hivo na mara kwa mara naona hasira, challenge you don't want to take etc. naweza kua najidanganya sababu sikujui beyond michango yako hapa JF.
Kwa jumla na kwangu mimi, , personality kidogo unayo tuonesha hapa,mi nimeipenda.
si tulisema anything at all? Au nimevuka mipaka?Sarcasm. . . HASIRA. . . challenge zinakataliwa. .
Interesting. . .
Ndio ninavoona kwa kukusoma humu JF... kama ni kweli au uongo unajua mwenyewe.
Kila nikiona unajibu sarcastically najaribu kujiuliza ulihisi nini hadi ujibu hivo na mara kwa mara naona hasira, challenge you don't want to take etc. naweza kua najidanganya sababu sikujui beyond michango yako hapa JF.
Kwa jumla na kwangu mimi, , personality kidogo unayo tuonesha hapa,mi nimeipenda.