S sugi JF-Expert Member Feb 12, 2011 1,392 292 May 14, 2011 #1 hakimu:"ni sababau gani iliyokufanya,uchukue kiti na kumpigia mmeo kichwani,bila huruma?" Mtuhumiwa:"meza ilikuwa nzito"
hakimu:"ni sababau gani iliyokufanya,uchukue kiti na kumpigia mmeo kichwani,bila huruma?" Mtuhumiwa:"meza ilikuwa nzito"
Mamzalendo JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,670 558 May 14, 2011 #2 ha ha ha kweli mke amemchoka mume wake sana embu mtu ajaribu kumsaidia meza tuone?!
M Mmwaminifu JF-Expert Member Oct 15, 2010 1,129 302 May 15, 2011 #3 usingekuwa uzito wa meza, ilikuwa imekula kwake.. lol.
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 May 15, 2011 #6 Huyo jamaa itakuwa alitembea na hausigeli wife akawabamba lol!
S Spear_ JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,603 486 Sep 23, 2011 #14 kwa maana nyingine meza ingekuwa nyepesi (kunyanyua) asingetumia kiti....ha ha ha ha angemtwisha meza................
kwa maana nyingine meza ingekuwa nyepesi (kunyanyua) asingetumia kiti....ha ha ha ha angemtwisha meza................
ChaterMaster JF-Expert Member Aug 17, 2009 1,622 791 Sep 23, 2011 #15 wamechokana kwa kufumaniana mara kibao hao!