Nimejiandalia zawadi nzuri.
Ngoja waje wa pafyumu na aftashevs.
Got you mamito...am doing the needful
haya wakaka wa kiafrica,sio kila siku mje na mchele na kapu la samaki kama zawadi,kuna perfume...atiii....carmel na maua mnadeliver au maua ni bonus mtu akinunua zawadi ya perfume?wazo tu..lol[/QUO
Maua tunadeliver kama tukipewa hiyo order...lakini ni tofauti na package yetu
wapendwa,.....nishapokea oda kibao..nawashukuru sana...naendelea kupokea oda za ambao wamechelewa pia,.msiogope bado kuna muda.
Nashukuru huwa sina interests na mapenzi na mtu yoyote, wa status yoyote zaidi ya mume wangu so sijui utanidakia wapi kwenye sekta hiyo...zero chance. BTW njo umnunulie perfume mwingine yeyote unayeweza kumfanyia utapeli lolmimi nna hamu ya kukufanyia 'utapeli wa mapenzi' msimu huu Carmel....
sijui unasemaje?lol