CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mbona siwaelewi?. mia
ni hivi mimi na MtotoSix si wawili tena bali ni mmoja. na aliyekiunganisha . . . . mwanadamu hawez kutenganisha!
Last edited by a moderator:
Mbona siwaelewi?. mia
yani ulivyokubali wakati ndio sasa kapiga simu eti ana kipingamizi.haya mkuu haina shida, ngoja tumalize taratibu za kimila! soon tutakuja. . . .
ni hivi mimi na MtotoSix si wawili tena bali ni mmoja. na aliyekiunganisha . . . . mwanadamu hawez kutenganisha!
yani ulivyokubali wakati ndio sasa kapiga simu eti ana kipingamizi.
Tuseme utakua umetuoa au tumekuoa? mitala mi sitaki. mia
uuuwi charminglady fainali umeingia kwenye huu mtandao!! MtotoSix+ hongera sanaaaa!!!!!! wakati ndio sasa!! umefungwaje mdomo ndugu yangu!!
all de best
kumbe unaweza pata demu humu..?
kumbe unaweza pata demu humu..?
na wewe hebu usituharibie sikukuu hapa! onesha ni wapi mimi na wewe tulisign contract tena mbele ya my lawyer ruttashobolwa?
Hii imiss uNimefungua kanisa njoon mfunge ndoa buuure mie sadaka yangu bia
miss u toHii imiss u
nilikuwa nakupa taarifa ili upange majeshi mie ntakupa sapoti wakati ndio sasa awezi kuaharibu ndoa yenu.shindwa na ulegee, kwan wns alikuwa mume au msoteaji????? wapi umeona nimemkubali?????
wale wote mliokuwa mnamvizia charminglady mlie tu coz kuanzia sasa mpaka ni bond yangu. Natia msisitizo, kuanzia sasa charminglady ni laaziz wangu.mimi na kipya kinyemi changu tunawatakia sikukuu njema