It's December: Wanaume wa kibongo pelekeni wake zenu 'vacation'...

kwa ufupi, nitafanya kitu wakati naona nahitaji na naweza afford, lakini sitakaa nimwombe mme anifanyie kitu sababu ya kuhofia nyumba ndogo inafanyiwa the same.

Nadhani mke anatakiwa kujiamini, thats is inferiority at its peak.

Nyumba ndogo? In my map? Hell NNOOOOOO!

Totally fresh perspective. Kutegemea wanaume ndio wawe na role ya kupeleka mke vacation ni sexist na reverse chauvinism kama sio sexual opportunism borderling on culturally accepted prostitution.

I am not about to start a gender war, lakini katika miaka hii ya wanawake kudai usawa, two income homes and women graduating more than men, and even earning more, inakuwaje kazi ya kumpeleka mtu vacation iwe ya mwanamme?

I mean kama ndiyo makubaliano ndani ya nyumba kutokana na traditions held dear by both it can even be said to be romantic, but why the imposition?
 
Inawezekana wadhungu vacation kwao ni big deal kwakuwa maisha yao ya kila siku ni full stress, otherwise watakuwa vichaa au depressed.

Kwa kuwa ni custom yao hatuwezi jua chimbuko la wao kupenda kusafiri ni nini? Nimefikiria stress sababu najua maisha wanayoishi. Bongo kila mtu kila siku ni full tabasamu, could be the reason why hatu mind sana kusafiri nchi nyingine kupunguza mawazo.


...well,nimeishi nchi mbili tofauti maisha yangu,tanzania na*ughaibuni* and i can conclude ingawa tanzania kuna watu wanapeleka wake/familia zao vacation ila kwa wazungu its almost a custom!
...mie nataka hata hicho kidogo wanachofikia,wamake efforts waende vacation since ni jambo nililoona linapendwa na wanawake wengi...ila wanaogopa kusema...
 
kwa ufupi, nitafanya kitu wakati naona nahitaji na naweza afford, lakini sitakaa nimwombe mme anifanyie kitu sababu ya kuhofia nyumba ndogo inafanyiwa the same.

Nadhani mke anatakiwa kujiamini, thats is inferiority at its peak.

Nyumba ndogo? In my map? Hell NNOOOOOO!

aliyekuambia usifanye kitu ukiwa tayari na unaweza kuafford NANI?
kwa hio wewe unaona sawa mtu mwingine baki kutumia na mumeo na si wewe???

last nyumba ndogo,kama umeolewa na mbongo...ni kama maji kufuata mkondo...au hukuona wenyewe wakija kudai ni 'nature yao' hapa?

LOLS.
 
Inawezekana wadhungu vacation kwao ni big deal kwakuwa maisha yao ya kila siku ni full stress, otherwise watakuwa vichaa au depressed.

Kwa kuwa ni custom yao hatuwezi jua chimbuko la wao kupenda kusafiri ni nini? Nimefikiria stress sababu najua maisha wanayoishi. Bongo kila mtu kila siku ni full tabasamu, could be the reason why hatu mind sana kusafiri nchi nyingine kupunguza mawazo.

may be yes,may be NO... i dont know,but i would think in average mbongo ndio ana stress kushinda mzungu,kuanzia poor health care,poor transport,etc ....mzungu hata kama hana kazi, he is well provided for...stress inatoka wapi?
 
Nashkuru, Gozi limentembeza duniani na Tanzania na limeniruhusu kusafiri kila nlipotaka kuona sehemu kama yeye hakuwa na muda.. AlhamduliLlah.
 
Yaani ulichoona ni lifestyle ya vacation tu?

Je kwenye background unakumbuka haya mawili tu, achia mengine mengi yanayochangia?

Hali ya uchumi
lifestyle, nucleur family vs extended families

Umesema vema umeishi nchi mbili tu, jaribu ishi na ya tatu, na ya nne labda waweza ona kitu kingine


...well,nimeishi nchi mbili tofauti maisha yangu,tanzania na*ughaibuni* and i can conclude ingawa tanzania kuna watu wanapeleka wake/familia zao vacation ila kwa wazungu its almost a custom!
...mie nataka hata hicho kidogo wanachofikia,wamake efforts waende vacation since ni jambo nililoona linapendwa na wanawake wengi...ila wanaogopa kusema...
 
...well,nimeishi nchi mbili tofauti maisha yangu,tanzania na*ughaibuni* and i can conclude ingawa tanzania kuna watu wanapeleka wake/familia zao vacation ila kwa wazungu its almost a custom!
...mie nataka hata hicho kidogo wanachofikia,wamake efforts waende vacation since ni jambo nililoona linapendwa na wanawake wengi...ila wanaogopa kusema...

Kwani mama vacation ni nini? wengi wazungu wanaenda cheap vacation za kawaida tu ila kwa wabongo kwenda vacation nchi za ulaya au marekani inaitaji familia iwe na kipato cha juu.

Sasa hao wanawake uliowaona U- turn wengi unakuta hawajui maana ya Vacation,na pia wabongo wengi tu wanafanya hayo mambo sema hawana ushamba wa u-turn kuandika kila kitu kwenye blogs.
Na inaonyesha haya mambo wameyajua ukubwani...........utumwa wa fikra ni umasikini wa roho.
 
Una uhakika??? Wewe chezeya Ulaya! Full stress, kuna vijana wanasoma huku masters nawauliza mna mpango gani baada ya kumaliza; mnataka kuzamia, wote wananambia tuzamie wagonjwa... Hakuna life Ulaya tuache kuwadanganya watu. Maisha yako Tz asikwambie mtu.

may be yes,may be NO... i dont know,but i would think in average mbongo ndio ana stress kushinda mzungu,kuanzia poor health care,poor transport,etc ....mzungu hata kama hana kazi, he is well provided for...stress inatoka wapi?
 
Umeona eeh. Yani wana create image fulani kuhusu Ulaya na wadhungu ambayo haipo. Mnaingiza wenzenu chaka!

Kwani mama vacation ni nini? wengi wazungu wanaenda cheap vacation za kawaida tu ila kwa wabongo kwenda vacation nchi za ulaya au marekani inaitaji familia iwe na kipato cha juu.

Sasa hao wanawake uliowaona U- turn wengi unakuta hawajui maana ya Vacation,na pia wabongo wengi tu wanafanya hayo mambo sema hawana ushamba wa u-turn kuandika kila kitu kwenye blogs.
Na inaonyesha haya mambo wameyajua ukubwani...........utumwa wa fikra ni umasikini wa roho.
 
Wanaogopa kusema kwasababu pesa wanazotaka kwenda kutumia huko hawajafanyia kazi.

Embu fanya kazi u save kiasi cha kutosha ununue ticket alafu umwambie mumeo twende kila kitu tayari kama atakataa.Labda kama hapendi tu. .

do your search and uje utupe majibu,wanawake wangapi wa kitanzania wanapenda kuhudumiwa na wanaume hata kama wana kazi zao????naomba uwe honest hata wewe hupendi????....mie nakuwa muwazi sana hapa NAPENDA KUTUNZWA......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!LOLS...
hii ndio shida ya wanawake hawataki kuonekana ni tegemezi wakati kimoyo moyo wako hivyo...msinipopowe mawe LOLS
 
Kongosho
Lizzy na
The Finest
mtanidai biya moja moja za baridi...nimependa comments zenu sana. Zinaeleweka zaidi ya sana.
 
do your search and uje utupe majibu,wanawake wangapi wa kitanzania wanapenda kuhudumiwa na wanaume hata kama wana kazi zao????naomba uwe honest hata wewe hupendi????....mie nakuwa muwazi sana hapa NAPENDA KUTUNZWA......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!LOLS...
hii ndio shida ya wanawake hawataki kuonekana ni tegemezi wakati kimoyo moyo wako hivyo...msinipopowe mawe LOLS
Unaisemea sana mioyo ya watu mpendwa hebu jaribu kuusemea tu moyo wako.
 
Una uhakika??? Wewe chezeya Ulaya! Full stress, kuna vijana wanasoma huku masters nawauliza mna mpango gani baada ya kumaliza; mnataka kuzamia, wote wananambia tuzamie wagonjwa... Hakuna life Ulaya tuache kuwadanganya watu. Maisha yako Tz asikwambie mtu.

mnh hawana makaratasi hao!!!!.....well kwangu mie maisha ni popote you can make it,ulaya au tanzania...kila mtu ana choices zake...na simshangai mtu akiamua kurudi tz kama ambavyo simshangai mtu akiamua kubaki....
 
Nachoweza sema kwa sasa ukielimisha mwanamke umeelimisha jamii.

Akina baba lenu hilo ndo wanawake wa kisasa hao, u go carry uasevs

aliyekuambia usifanye kitu ukiwa tayari na unaweza kuafford NANI?
kwa hio wewe unaona sawa mtu mwingine baki kutumia na mumeo na si wewe???

last nyumba ndogo,kama umeolewa na mbongo...ni kama maji kufuata mkondo...au hukuona wenyewe wakija kudai ni 'nature yao' hapa?

LOLS.
 
do your search and uje utupe majibu,wanawake wangapi wa kitanzania wanapenda kuhudumiwa na wanaume hata kama wana kazi zao????naomba uwe honest hata wewe hupendi????....mie nakuwa muwazi sana hapa NAPENDA KUTUNZWA......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!LOLS...
hii ndio shida ya wanawake hawataki kuonekana ni tegemezi wakati kimoyo moyo wako hivyo...msinipopowe mawe LOLS
Sasa kama unataka kutunzwa usimpangie mtunzaji akutunze vipi.Mwache yeye akutunze kadiri ya uwezo wake. . . ukitaka zaidi jiongezee mwenyewe.

Kuhusu kupenda kutunzwa hongera zako. . . . mimi napenda kujitunza.
 
Back
Top Bottom