FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,812 109,091 Sep 4, 2011 #21 Shossi, nimempa hiyo Gozi langu sasa hivi (maana yeye ni mshabik wa Arsenal), naona swaum ya sita imezidi. Anajidai hataki hata kucheka.
Shossi, nimempa hiyo Gozi langu sasa hivi (maana yeye ni mshabik wa Arsenal), naona swaum ya sita imezidi. Anajidai hataki hata kucheka.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,003 10,632 Sep 4, 2011 #22 Jamani mnatukumbusha machungu.