Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Ninahitaji kufungua kampuni in partnership na mtu ambaye si mtanzania, process zote zitachukua muda gani hadi kupewa certificate? Ni vitu gani ntahitaji ambatanisha napoenda sajiri?
Nimeshapitia website ya brela, ila nahitaji majibu ya mtu ambaye ameshafanya hili.
Nimeshapitia website ya brela, ila nahitaji majibu ya mtu ambaye ameshafanya hili.