hivi hawa wanawezaje?natazama tv hapa pm wa italy kaunda serikali yenye mawaziri wote 16 wanataaluma hakuna mwanasiasa hata mmoja...hapa kwetu tunahangaika na midubwana kama akina wassira...ahghhhhh
serikali yetu kuuuubwa hadi sokwe mtu naye kabuniwa wizara yake aongoze!
hivi hawa wanawezaje?natazama tv hapa pm wa italy kaunda serikali yenye mawaziri wote 16 wanataaluma hakuna mwanasiasa hata mmoja...hapa kwetu tunahangaika na midubwana kama akina wassira...ahghhhhh