sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,302
Binafsi najionea kama movie tu mkuu......ila ngoja tuendelee kusubiri.Habari ya hiyo Nibiru ibaonekana kama ni fictions mbona Nasa hawaongslei hiyo kitu!
Binafsi najionea kama movie tu mkuu......ila ngoja tuendelee kusubiri.Habari ya hiyo Nibiru ibaonekana kama ni fictions mbona Nasa hawaongslei hiyo kitu!
Nilikuwa na wewe mpaka ulipofika hapo penye "super structure" ukanipoteza kabisa. Unaweza kufafanua mkuu hii super-structure inayozunguukwa na galaxies ipo wapi?Kila kitu kitu kwenye universe kipo kwenye motion. Sayari zinazunguka jua, jua linazunguka center ya galaxy, galaxy zinazunguka center ya super structure etc.
Masahihisho mkuu ni Super cluster na siyo Super structure. Ninachojua mimi (lakini nakubali kukoselewa) katika 'observable' universe kama nilivyoeleza sayari zinazunguka jua kutokana na nguvu za uvutano, jua nalo kinazunguka galatic center (black hole), na mkusanyiko wa galaxies mf Virgo ambamo tupo ndo hiyo inaitwa Supercluster nazo zinashikiliwa kwa nguvu za uvutano kutoka center (sijui inaitwaje) na mkusanyiko wa hizi Superclusters ndo unaunda local cluster(huu ni mwisho wa observable universe). Ukiangalia nature ya kila structure katika universe imeshikiliwa na nguvu za uvutano na zipo kwenye motion kuzunguka center zake ndio maana nime-conclude kuwa "everything in the universe is in motion". Sijui kama nitakuwa nimekujibu.Nilikuwa na wewe mpaka ulipofika hapo penye "super structure" ukanipoteza kabisa. Unaweza kufafanua mkuu hii super-structure inayozunguukwa na galaxies ipo wapi?
Nijuavyo mimi ni kuwa space between galaxies ndiyo inayo-expand at a uniform rate (uvumbuzi wa Hubble) lakini sikujua kuwa kuna kitu au center inayozunguukwa na hizi galaxies. Your clarification, please!
Kwa hiyo hizi galactic clusters zinazunguuka blackhole nyingine au kuna center nyingine (na ni ipi)? Hapa ndipo nilipotaka kupata ufafanuzi.Masahihisho mkuu ni Super cluster na siyo Super structure. Ninachojua mimi (lakini nakubali kukoselewa) katika 'observable' universe kama nilivyoeleza sayari zinazunguka jua kutokana na nguvu za uvutano, jua nalo kinazunguka galatic center (black hole), na mkusanyiko wa galaxies mf Virgo ambamo tupo ndo hiyo inaitwa Supercluster nazo zinashikiliwa kwa nguvu za uvutano kutoka center (sijui inaitwaje) na mkusanyiko wa hizi Superclusters ndo unaunda local cluster(huu ni mwisho wa observable universe). Ukiangalia nature ya kila structure katika universe imeshikiliwa na nguvu za uvutano na zipo kwenye motion kuzunguka center zake ndio maana nime-conclude kuwa "everything in the universe is in motion". Sijui kama nitakuwa nimekujibu.
mkuu kwanza galaxy tuliyopo ni milky way na sio virgo, pili nyibta hazizunguki structure yoyote ni stationary.Masahihisho mkuu ni Super cluster na siyo Super structure. Ninachojua mimi (lakini nakubali kukoselewa) katika 'observable' universe kama nilivyoeleza sayari zinazunguka jua kutokana na nguvu za uvutano, jua nalo kinazunguka galatic center (black hole), na mkusanyiko wa galaxies mf Virgo ambamo tupo ndo hiyo inaitwa Supercluster nazo zinashikiliwa kwa nguvu za uvutano kutoka center (sijui inaitwaje) na mkusanyiko wa hizi Superclusters ndo unaunda local cluster(huu ni mwisho wa observable universe). Ukiangalia nature ya kila structure katika universe imeshikiliwa na nguvu za uvutano na zipo kwenye motion kuzunguka center zake ndio maana nime-conclude kuwa "everything in the universe is in motion". Sijui kama nitakuwa nimekujibu.
Asante kwa kufariji maana hapa tumbo la kuhara lishaanza kuniumaMkuu nyota ni kubwa sana hakuna uwezekano wa nyota kuanguka dunian labda dunia ivutwe na nyota mojawapo ambapo dunia itakuwa consumed
ndio , twatakiwa kuandaa roho zetu mapemaaaKuna nyota inataka kuanguka?
kama mnasema nyota ni kubwa kuliko dunia inakuaje kwenye anga ya dunia zinaonekana zipo nyingi na zimemezwa na dunia ?
Milk way imo ndani ya Virgo Super cluster.Je una uhakika nyota zipo stationary. Kama ni hivyo zinashikiliwa na nini?mkuu kwanza galaxy tuliyopo ni milky way na sio virgo, pili nyibta hazizunguki structure yoyote ni stationary.
Hee! Super structure ni nini tena?Kila kitu kitu kwenye universe kipo kwenye motion. Sayari zinazunguka jua, jua linazunguka center ya galaxy, galaxy zinazunguka center ya super structure etc.
Hahaa vipi hilo joto!!
!
kutakuwa hakuna haja ya umeme
OohHaiwezekani sababu Dunia itakimbia jua, haziwezi kukutana, magnetic power
Mkuu nini chanzo cha mwanga wa jua?Nyota ni magnetic izungukayo, kwa Speed katika rotation yake na kutoa mwanga.. si combination ya Gas, ingekuwa ni Combination ya gas ingekuja kuisha.
Sasa vipi kwa hiyo nyota ya nibiru inayosemekana inaanguka kuja kwetu, kitu gani kilitokea?