Wana ndugu itakuwa vipi marehemu....,
wote wakiamka leo na kukuta watu manajivinjari na wake zao jamani!!!!
maana kuna watu wanatanua na wajane si mchezo...mbaya zaidi ni wanatumia mali za marehemu kama walitafuta wao....
MZUNGU MMOJA AKIWA SOUTH KUJA DAR AKAAMBIWA UKISHUKA BONGO UKIULIZA SWLAI LAZIMA UJIBIWE NA SWALI ALIPOFIKA JNIA YAANA JULIUS NYERERE INTR APRT AKAULIZA "habari nasikia tanzania ukiulizwa swali unaulizwa swali" akajibiwa "who told u"......IDD MUBARAK
sasa hao wamekufa wanarudi kufanya nini tena??mi naona itakuwa poa tu na wakirudi watafute vimwana wengine maana sie tutakuwa busy kubadilishana mbinu za medani na hao waliokuwa wake zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.