kanyasu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 234
- 18
Nimesoma habari katika gazeti moja la kila siku juu ya taarifa za kugundulika kwa dawa ya ukimwi.kimsingi gazeti linapotosha taarifa au mantiki ya taarifa ya wanasayansi.wao wamegundua kuwa ukitumia ARV's sana unaweza usimwambukize mtu unayekutana naye.ugunduduzi mwingine ni maendeleo mazuri juu ya channjo ambayo bado haijathibitishwa,sasa najiuliza itakuwa vipi kama dawa za ukimwi zitauzwa kama panadol pharmacy!