mzamifu JF-Expert Member Mar 10, 2010 6,379 3,826 Oct 31, 2012 #21 kwenye majukwaa kila mtu atamsifu mwalimu hata fisadi, hata mla rushwa lakini lutekeleza mawazo yake ni ndoto. hiyo miaka 100 umeipataje?
kwenye majukwaa kila mtu atamsifu mwalimu hata fisadi, hata mla rushwa lakini lutekeleza mawazo yake ni ndoto. hiyo miaka 100 umeipataje?
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Oct 31, 2012 #22 Hiyo baiskeli ni aina ya SWALA kama sikosei. Ni kitambo sana aisee sijui kama kiwanda bado kipo hai hadi hivi leo?
Hiyo baiskeli ni aina ya SWALA kama sikosei. Ni kitambo sana aisee sijui kama kiwanda bado kipo hai hadi hivi leo?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,864 155,818 Nov 1, 2012 Thread starter #23 mgomba101 said: Awamu ya nne tumepata chaguo la mungu! unataka nini cha zaidi?? Click to expand... Ni chaguo la Mungu ng'ombe anayeabudiwa na Wahindi
mgomba101 said: Awamu ya nne tumepata chaguo la mungu! unataka nini cha zaidi?? Click to expand... Ni chaguo la Mungu ng'ombe anayeabudiwa na Wahindi