Mkuu,Much respect PJ, Blackwoman, n the rest... Ase U made me feel proud of my home Forum, JF..be blessed Guys.
ZAIDI NASHUKURUNI KWA ZAWADI WAPENDWA
Mkuu,
Kwa niaba ya wanaJF -Arusha Wing, tunakupongeza kwa maamuzi mazito sana kama yale uliyofanya majuzi!
Hongera sana bwa mdogo!
Tulienjoy sana, na we had a kinda special treatment!..tunatamani sana tuweke hapa picha za tukio zima lakini tunaogopa PAW atatupiga ban!
Tunakutakia maisha mema na baraka!
Lakini pia nachukua nafasi hii kukukaribisha wewe(na shemegi of course) kwenye vikao vyetu vya kujadili mambo yanayotuhusu.
Asante sana filipo, Jf ni zaidi ya jukwaaKwa namna wanajf Ar tulivyo, i can say hukuwa na bahati. Tupo na jumuiya ya watu zaidi ya 30 na tukiwa na tukio tunamwagika si mchezo! Binafsi nilipata short notice ila nilikuwa kwenye function nyinine kama hiyo.
Hongera sana mkuu, karibu tar 10 kwenye mkutano wetu!
uko sawa Dena, Pdidy je?<br />
<br />
Ruta ukiona PJ na Black Woman moja kwa moja jua ni Ngaramtoni/Ngarenalo. Mzee wa Rula, Preta, Ruta, Derimto hawakupata mwaliko?