JK leo hii katoa darasa la demokrasia la kutuambia kuwa lazima tukubali mawazo ya watu wengine hata kama hatuyapendi
lakini ebu tuangalie record ya mtu anayetoa kauli hizi je does he practise what he is preaching? Yuko bungeni anatumia
vikaragosi wake kuzuia mjadala usisomwe kwa mara ya kwanza ? maoni kuhusu mswaada yametolewa na watu wa mikoa
mitatu tu. anatumia vikaragosi bungeni wake ku shut down watu wanaosema kuwa watanzania wote kwa maana ya mikoa yote
inabidi ishirikishwe. anataka kujichukulia mamlaka ya umma ya kujitungia katiba yao wenyewe na kujifanya yeye ndio anajua sana
nini kinatufaa kuendeleza nchi kuliko watanzania wenyewe. nia na madhumuni ya kuwa na katiba mpya ni pamoja na kuyaangalia upya
madaraka ya Urais kwa maana amerundikiwa kazi nyingi kiasi kwamba inaharibu uwajibikaji sasa yeye ndio anataka awe muamuzi wa mwisho kuhusu madaraka yake mwenyewe jamani hii si sawa na mtu kuwa hakimu kwenye kesi yake mwenyewe.
lakini ebu tuangalie record ya mtu anayetoa kauli hizi je does he practise what he is preaching? Yuko bungeni anatumia
vikaragosi wake kuzuia mjadala usisomwe kwa mara ya kwanza ? maoni kuhusu mswaada yametolewa na watu wa mikoa
mitatu tu. anatumia vikaragosi bungeni wake ku shut down watu wanaosema kuwa watanzania wote kwa maana ya mikoa yote
inabidi ishirikishwe. anataka kujichukulia mamlaka ya umma ya kujitungia katiba yao wenyewe na kujifanya yeye ndio anajua sana
nini kinatufaa kuendeleza nchi kuliko watanzania wenyewe. nia na madhumuni ya kuwa na katiba mpya ni pamoja na kuyaangalia upya
madaraka ya Urais kwa maana amerundikiwa kazi nyingi kiasi kwamba inaharibu uwajibikaji sasa yeye ndio anataka awe muamuzi wa mwisho kuhusu madaraka yake mwenyewe jamani hii si sawa na mtu kuwa hakimu kwenye kesi yake mwenyewe.