Cyclone
Member
- Nov 19, 2011
- 71
- 14
Hi Folks,
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifutilia threads mbali mbali katika jukwaa hili, nimekuwa nikiguswa na fikra pevu na mawazo yakinifu ya members.
Baadaya ya kuwa shahidi mnyonge kwa muda mrefu imenibidi nijitokeze hadharani na kuwa mshiriki. tuliendeleze hili gurudumu la Fikra Pevu kwa Nguvu na Kasi itakayo hitajika.
Ni hayo tu kwa leo.
Nimekaribia
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifutilia threads mbali mbali katika jukwaa hili, nimekuwa nikiguswa na fikra pevu na mawazo yakinifu ya members.
Baadaya ya kuwa shahidi mnyonge kwa muda mrefu imenibidi nijitokeze hadharani na kuwa mshiriki. tuliendeleze hili gurudumu la Fikra Pevu kwa Nguvu na Kasi itakayo hitajika.
Ni hayo tu kwa leo.
Nimekaribia