Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Jamani nadhani ilikuwa ni Christmass Njema na Wengi mtakuwa mlijumuika na Familia katika kusherehekea kumbukumbu za kuzaliwa Bwana na Mwokozi wa wengi Yesu Krsto.
Kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine hawakuweza kusherehekea sikukuu hii pamoja na ndugu zao nawatia moyo maana mtoto Yesu amezaliwa Sehemu zote, Magerezani, Mahospitalini nk.
Kwa kweli Nilifurahia sana na kutafakari habari za Kuzaliwa huyu mtu aliyeitwa Emanuel ( Mungu pamoja nasi)
"Zanena, Sikukuu
Kengele, za Juu
Waumini furahini
Mukombozi mkumbusheni
Mzawa leo Betlehem
Mzawa leo Betlehem."
Tutafakari Pamoja
Kwa wale ambao kwa namna moja au nyingine hawakuweza kusherehekea sikukuu hii pamoja na ndugu zao nawatia moyo maana mtoto Yesu amezaliwa Sehemu zote, Magerezani, Mahospitalini nk.
Kwa kweli Nilifurahia sana na kutafakari habari za Kuzaliwa huyu mtu aliyeitwa Emanuel ( Mungu pamoja nasi)
"Zanena, Sikukuu
Kengele, za Juu
Waumini furahini
Mukombozi mkumbusheni
Mzawa leo Betlehem
Mzawa leo Betlehem."
Tutafakari Pamoja