MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Asalam aleykum!
Kuna tatizo ambalo naona limeingilia hili suala la tekinolojia ya mawasiliano kwa upande wa barua pepe (e-mail). Nashindwa, kuelewa siku hizi kila napokea barua zisemazo 'NO SUBJECT', kutoka kwa watu mbalimbali. nimejaribu ku-ignore sababu ukifungua unakuta kuna link tu unaambiwa niifuate.
Nimekua nazi-delete, lakini zimekuwa ni kero. sas nifanyeje ili kuondokana na hili suala la kuzipokea?
Kuna tatizo ambalo naona limeingilia hili suala la tekinolojia ya mawasiliano kwa upande wa barua pepe (e-mail). Nashindwa, kuelewa siku hizi kila napokea barua zisemazo 'NO SUBJECT', kutoka kwa watu mbalimbali. nimejaribu ku-ignore sababu ukifungua unakuta kuna link tu unaambiwa niifuate.
Nimekua nazi-delete, lakini zimekuwa ni kero. sas nifanyeje ili kuondokana na hili suala la kuzipokea?