It course in mtwara

mfereji maringo

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
1,037
250
jamani naishi na kufanya kazi mtwara, nahiaji kusoma IT ktk muda wa jioni baada ya kutoka kazini, wapi wanatoa kozi hiyo kwa muda tutakaokubaliana? nimegundua sasa tupo ktk cyber world, nisaidieni tafadhali
 
Back
Top Bottom