It at ucc

mabina

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
216
26
Jamani kama knaabiria aliyepanda gari la UCC Dar es Salaam branch alipakulie full detail za pale nikmanisha ufndshaji wao, materials, practices na performance yao na after xul vip ukienda field unakuwa fit.
 
Nnavyowafahamu ni wazuri, pengine kuliko vyuo vingi vya wahindi mjini..Ila juhudi binafsi za mwanafunzi ni swala la msingi sana katika elimu sehemu yoyote.
 
Nnavyowafahamu ni wazuri, pengine kuliko vyuo vingi vya wahindi mjini..Ila juhudi binafsi za mwanafunzi ni swala la msingi sana katika elimu sehemu yoyote.
Mkuu wahindi wako juu kuliko hao UCC ufundishaji wake sidhani kama utafananisha na chuo chochote cha wahindi town
 
Nnavyowafahamu ni wazuri, pengine kuliko vyuo vingi vya wahindi mjini..Ila juhudi binafsi za mwanafunzi ni swala la msingi sana katika elimu sehemu yoyote.

Mkuu wahindi wako juu kuliko hao UCC ufundishaji wake sidhani kama utafananisha na chuo chochote cha wahindi town

mkuu kufananisha Indiaan IT na ya hapo UCC ni sawa na kufananisha usingizi na kifo.... dunia nzima inajua kwamba India ni noma.. vyuo vyao vimejaa wataalum na vifaa kutoka India....baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa tatu katika vyuo vya Wahindi hupata fursa ya kwenda India kwa practical zaidi... hapo UCC hata vifaa vipo? na kama vipo ni vya mifano... Theory nyiiingi wakati watu wanataka Practical..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom