nend kwa s.h.amon laki na kidogo inategemea unataka size ipi na maduka mengine makubwa inapatika nani yaukweliWho cares!? Mkuu nipo serious achana na hayo mambo yko ya China bhana mm nataka orijiono!
ni unyunyu huo dearndo kinini hicho?
Nenda Ronzana samora opposite na Dailynews Hq au namanga hapa njia panda ya msasani
Rozana hawana za ukweli nyingi ni copy huwezi kujua mpaka uwe mjanja utauziwa kitu cha rahisi kwa ghali kisa umeuziwa samora nisikilize mkuu ACD pharmacy wanauza original ila bei ipo juu kuliko sehemu yoyote hapa bongo kwa sababu wanauza vitu vya ukwenhe