Issa Michuzi na vekesheni

Status
Not open for further replies.
Mkuu kumbuka Michuzi analipiwa hizi safari na pesa za walipa kodi, unaposema kila mtu na nafasi yake unamaanisha kila mtu ale nafasi yake, ufisadi utaisha kweli nchi hii?


Truck drivers, hawa wanakuwa wanafanya service, wameajiriwa kwa ajili hiyo, kama hao truck drivers? Je Michuzi analipwa mshahara kwa ajili ya kupiga picha rais anaposafiri? Kama anaposafiri analipwa offpocket allowance, analipwa allowance hiyo mara ngapi kwa mwaka?

Jamani Watanzania, hebu tufunguke macho. Hakuna anayeona kwamba hapa kuna misuse of resources.

Kwanza, you missed my point... nilikuwa namjibu alilalama kwamba ana PhD na hapati safari

Pili sina jibu kwa hoja yako mpaka tuone JD yake na scope yake kama mwandishi wa gazeti laserikali, naamini kila safari official ina wahusika na sitetei matumizi yasiyo ya lazima, ila najaribu kutetea tusimhukumu michuzi kwa kufanya kazi aliyoagizwa na bosi wake

 
naamini kila safari official ina wahusika na sitetei matumizi yasiyo ya lazima, ila najaribu kutetea tusimhukumu michuzi kwa kufanya kazi aliyoagizwa na bosi wake


Kwani hapa nimetoa tuhuma kwa Michuzi? Rudia tena mabandiko yangu.

Ufisadi sio lazima EPA, ufisadi kama huu ndio unaimaliza serikali kwa sasa. Baada ya watu kuona kwamba wizi professional umeshtukiwa, wamehamishia makazi katika safari.

Kama ilivyowekwa hapo juu kwamba kila mtu ale kwa nafasi yake, watu wanakula kweli.


Hakuna anayetaka kuhoji hili kwa sababu ataambiwa na 'wivu'. Ni mamilioni mangapi ya walipa kodi yanalipia watu kwenda vekesheni?


Asante sana Blueray maelezo yako, nimeipata hiyo freudian slip kama ulivyoitumia.
 
Kwani hapa nimetoa tuhuma kwa Michuzi? Rudia tena mabandiko yangu.

Ufisadi sio lazima EPA, ufisadi kama huu ndio unaimaliza serikali kwa sasa. Baada ya watu kuona kwamba wizi professional umeshtukiwa, wamehamishia makazi katika safari.

Kama ilivyowekwa hapo juu kwamba kila mtu ale kwa nafasi yake, watu wanakula kweli.


Hakuna anayetaka kuhoji hili kwa sababu ataambiwa na 'wivu'. Ni mamilioni mangapi ya walipa kodi yanalipia watu kwenda vekesheni?


Asante sana Blueray maelezo yako, nimeipata hiyo freudian slip kama ulivyoitumia.

Umesomeka barabara mkuu

Thanks... and lets move on
 
... au tu-move forward na kudiscuss mambo mengine kwa sababu hili halina mshiko na tuache kumwonea Michuzi 'wivu'?

Uwiano Maalum,

Kanyaga twende. Sio mawazo yote muhimu au mazuri huwa yana "mshiko." Uliyo yasema yanaweza kuwa ayana "mshiko" lakini ni kwa vile tu jamii yetu iko nyuma sana katika uelewa wa mambo hayo. Watanzania wa JF wanashangaa, hawaelewi ubaya wa taswira mbaya iliyopo kwa mpiga picha wa Daily News, tena editor mzima, kuonekana anatumia vibaya muda na fursa ya kazi yake kwa mambo binafsi.

Concept za "appearance of impropriety," au "appearance of corruption" bado kweli kweli kwa nchi yetu.

Michuzi ilibidi awe ameshakuwa fired. Kuna siku alihojiwa na Radio Butiama kuhusu tovuti yake, akatamka haya: "...hii blogu ni kama mdudu, akishakuingia hakutoki, na kweli, mimi sasa nimeprove kwamba ni kweli, kwa kweli, yani najikuta kwamba sasa hivi nakuwa dedicated zaidi huko kuliko hata huko Daily News. Saa zote naangalia vitu vya kuwapa wasomaji wangu..." (Full interview hapa)

Kwa maneno hayo tu, ilibidi Michuzi awe fired tayari. Anatumia muda, camera, picha na video toka archive za DAILY NEWS. Mfano, hivi karibuni kuna ka video kaliwekwa DAILY NEWS kanasema "Dewji Speaks on Tanzanian Football...." Kale ka link kakawa hakafunguki. Siku ya pili kakapachikwa MICHUZI blog kakawa kanacheza. Yani bila noma kabisa anachanganya video anazitoa DAILY NEWS anazihamishia MICHUZI, shaghala baghala.


Sasa anachanganya kazi ya ziara ya rais na kuwahoji ma DJ wa Voice of America na "wadau" wengine kuhusu kukutana na Chris Tucker kwenye hoteli DC. Hawezi kuwa vacation maana ana file reports DAILY NEWS toka ziara ianze, na sidhani kama alijilipia tiketi yule. Ana dharau maadili ya kazi blatantly. Ni nidhamu ya kifisadi.
 
Hivi hamjukia kama Michuzi ni mwajiliwa wa DAILY NEWS? Yupo kwenye msafara kama mwandishi wa hili Gazeti.

Naona hapa kuna watu waleta mambo ya WIVU. Acheni roho korosho.
 
Ubishoo umewatutawala sana baadhi ya wa-TZ. Mfano, baadhi yetu tumeanzisha glob ili kufacilitate kujishaua, badala ya kuwa chachu ya mabadiliko.
 
Wanapokuwa wanakata ticket huwa waajia ratiba inaisha lini, kwa nini wasirdi nyumbani soonest possible kuokoa pesa za walipa kodi?

What so special with a photo by Michuzi? cant a photo be taken by anybody from the Tanzanian Embassy in the United states? Kwa mfano, kwa nini isiwe lazima kwa secretary wa Ubalozi kujua kupiga picha ndipo aaajiriwe ili aweze kufanya kazi kama hizo inapobidi? Huu ni ufujaji wa pesa za walipa kodi usio wa lazima.

UM,

kupiga picha ni fani na watu wanaisomea.

Inawezekana kabisa secretary wa ubalozi anajua kupiga picha lakini zitakua ni za nyumbani kwake na familia yake.

Kupiga picha za magazeti au ya Raisi si suala jepesi,ni ajira na ndio iliompeleka michuzi huko.

We wajua kua Rais ana dobi na mpishi?na anapswa kusafiri nao. Basi kwa matakwa yako kuanzia leo Rais apeleke nguo zake kwa mzee Hamisi pale Ilala sokoni,halafu awekewe bili kwenye mabanda ya mama ntilie gerezani.
 
Tuwacheni kumuonea Michuzi wivu: nachopenda huwa anatupa habari moto2 na breaking news kwa njia ya picha!!
 
Inaniuma sana mimi na ma phds yangu sipati safari kama michuzi ndio maana naiunga mkono hii thread

Wewe unakiweka matatani hicho chuo au hivyo vyuo vilivyokupa hayo ma-PhD, itabidi tuangalia ubora wa elima wanayotoa!

Kama una uchungu sana na safari kaombe kazi ya kuwa ''mshika simu'' wa Membe, utakuwa safarini kila siku.
 
Wa kulaumiwa ni JK kwani bila JK huyo Misupu hasingefika huko US
 
huyu mleta mada naona ana dalili ya ufisadi, Kaka Michuzi hawa ndio wale wanapiga hisabu ya mayai na kuku bado hajatotolewa, hivi wewe ulioleta hii issue unaona gere kwa Michuzi kupata hako kavekesheni au alikunyima tonge mdomoni? wacha wewe kula jiwe
Michuzi anatupa habari motomoto sijui ingelikuwa wewe naona utaweka mbwa kichaa kabisa

Viva Michuzi Viva
 
...

Concept za "appearance of impropriety," au "appearance of corruption" bado kweli kweli kwa nchi yetu.

Michuzi ilibidi awe ameshakuwa fired. Kuna siku alihojiwa na Radio Butiama kuhusu tovuti yake, akatamka haya: "...hii blogu ni kama mdudu, akishakuingia hakutoki, na kweli, mimi sasa nimeprove kwamba ni kweli, kwa kweli, yani najikuta kwamba sasa hivi nakuwa dedicated zaidi huko kuliko hata huko Daily News. Saa zote naangalia vitu vya kuwapa wasomaji wangu..." (Full interview hapa)

Kwa maneno hayo tu, ilibidi Michuzi awe fired tayari. Anatumia muda, camera, picha na video toka archive za DAILY NEWS. Mfano, hivi karibuni kuna ka video kaliwekwa DAILY NEWS kanasema "Dewji Speaks on Tanzanian Football...." Kale ka link kakawa hakafunguki. Siku ya pili kakapachikwa MICHUZI blog kakawa kanacheza. Yani bila noma kabisa anachanganya video anazitoa DAILY NEWS anazihamishia MICHUZI, shaghala baghala.


Sasa anachanganya kazi ya ziara ya rais na kuwahoji ma DJ wa Voice of America na "wadau" wengine kuhusu kukutana na Chris Tucker kwenye hoteli DC. Hawezi kuwa vacation maana ana file reports DAILY NEWS toka ziara ianze, na sidhani kama alijilipia tiketi yule. Ana dharau maadili ya kazi blatantly. Ni nidhamu ya kifisadi.


Thank you for that sharp view.

Kama mambo kama haya yanashindwa kuonekana, bado tunasafari ndefu kuelekea accountability, responsibility na rule of law. Hakuna mwenye uchungu na pesa za walipa kodi, hakuna mwenye kuhoji pesa hizi zinatumika vipi na kwa nini. Kuna kukesha kutafuta mchawi wakati kinachotula ki kwenye nguo.

Mimi nitaedelea kulia na misuse of resiurces kweye government institutions, huko ndio ufisadi ulipojichimbia na kujikita mizizi.

Kama hakuna anayeona kuna tatizo kwenye hili suala la Michuzi kutumia muda wa mwajiri, ambao kwa muda huo ndipo anapolipwa na fedha za walipa kodi; kufanya mambo binafsi. I see this only in Tanzania.
 
Michu chapa kazi Michu, watanzania tuko nyuma yako ndani ya globu jamii. Endeleza vakasheni na JK na mimi nimechukua kajivakasheni kadogo niko hapa Busanda tatizo sina globu bali ni Jamii Forums.
 
wewe nae.......unajua maudhui ya blog ya michuzi? ile ni blogu yake ana mamlaka ya kuinndesha anavyotaka....mra ngapi kila anaposafiri anasema yuko vekesheni sio lazima aandike wewe unavyotaka aandike.... jamani hii ni very low kwa JFinian.....

Naelewa vizuri maudhui ya blog ya Michuzi, kuna mtu alieleza kuwa dissapointed na Clouds FM kuhusu kuiita Oval Office "Overhaul Office" mimi nikawa wa kwanza kusema kwamba kutegemea seriousness kutoka Clouds FM ni sawa na kutegemea seriousness kutoka kwa Michuzi, kwa hiyo mimi naelewa maudhui ya blog ya Michuzi, ndiyo maana nikamwita clown.

Kisichoeleweka na wengi ni kwamba katika kujitia u clown Michuzi (which is just a mask for his ignorance, Mzee Jongo style) Michuzi safari hii kasema ukweli bila kukusudia, kwa hiyo Freudian slip ya kusema anaenda vacation, ni kweli rais Kikwete akienda nje largely anaenda vacation, lakini ukweli huu unakuwa choreographed na PR nyingi aonekane anafanya kazi, sasa safari hii mpiga picha wake mwenyewe kateleza ulimi na kureveal kwamba huko hamna chochote zaidi ya vacation, which is the truth.

Unaweza kuniambia Kikwete kafanya kitu gani huko cha maana? Kukutana na hao ma doctors na kijiaward chao mshenzi? Umesoma article ya NYT kuhusu afya za kinamama wanaojifungua katika hali mbaya Tanzania?

Ona hapa

https://www.jamiiforums.com/habari-hoja-mchanganyiko/29681-tanzania-where-life-s-start-deadly-risk.html

Rais wa nchi kama hii anastahili award? Kitu gani, kukutana na Obama na kuendeleza uomba omba?

Pleeease!

Wanaenda vacation tu, na big mouth Michuzi ka expose hilo kwa wale wagumu wa kuelewa, sijui mnataka sign kutoka mbinguni ndiyo muelewe, na naona hata hiyo mta i doubt.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom