usishangazwe mzee! issa michuzi ni mpiga picha wa gazeti la shirika la serikali daily news! kwahiyo huenda popote mkuu wa nchi anapoenda lazima gazeti la serikali liwepo. kuhusu yeye kutumia hizo nafasi kufanya vitu vingine i think is unfair critisim,, hata wewe ukienda kwenye mkutano mbagala baada ya mkutano kama kuna ndugu zako utatumia wasaha kwenda kuwatembelea, issa michuzi ni ndugu wa wa tanzania wote ughaibuni.mwisho ratiba ya rais ina a lot of unofficial hours which doesnt need watu wasiotoka in the goverment to be with president,in which michuzi he in not government official
Leo Kweli umesema, hutaki majungu