figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Yule msanii aliyenusulika katika ajali ya 5star amepatwa na msiba mwingine baada ya mke wake kukutwa amekufa Guest house.Musiba umefanyikia kwa Baba yake Issa ambaye anaishi k/koo na maziko yatafanyika kesho bunju tegeta.ameacha mtoto wa miaka 3.