MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
- Thread starter
- #61
Mkuu ni vizuri ku-quote in full hili flow ya uchangiaji wangu hili ueleweke vizuri na siyo kuchukua bits and pieces ya mchango wangu kwa madhumuni ya kupoteze lengo. Nataka kukumbusha kwamba Wapalestina asili yao ni Palestina siyo Jordan, sasa unaweza kueleza watu ilikuwaje watu waliyo zaliwa katika nchi ya Palestina wakajikuta kwenye makambi ya wakimbizi wa Jordan! Jibu unalo. Pili unaweza kunieleza ni kwa nini Wayaudi walikuwa awapendwi/wanachukiwa sana kule Ujerumani wakati wa ERA ya Hitler mpaka wakafanyiwa ukatili-je unafikili magazeti ya Hitler na Joebells ya wakati huo yalikuwa yanaeleza DUNIA mambo gani ya uzushi kuhusu WAYAHUDI? Tukirudi adithi za hapo juu kuhusu PLO kufukuzwa Jordan mwaka 1970 and the so-called Palistine facts; inategemea ni nani ali-post habari hiyo na alikuwa anatoka kwenye News Agency gani na alikuwa na madhumuni GANI-kumbuka wamiliki wakubwa wa NEWS MEDIA ni WAYAHUDI, kama ndiyo hivyo mtu utategemea nini kuhusu stori nzima - BIAS.
JK aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na za kwako, mtu usitegemee magazeti ya west kuandika mambo mazuri kuhusu Wapalestina au kuwaonea huruma. Jamani katika uchangiaji wetu tunapashwa kuwa na staha tukianza kuandika maneno ya kijiweni eti "habari imekosa mvuto na sijuhi mshiko" watu watahanza kufikili tuna childish mentality! Mimi nilitegemea wana JF ni watu wastaarabu, hapa tunabadilishana mawazo na kuelimishana basi not name calling. Regards.
Kama ulivyo sema hapo juu kuwa Wapelestina asili yao ni Palestina. Where is Palestina? Soma hapa kwa msaada zaidi: Palestine is Not a Country - The Non-Independent Status of Palestine