Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Umesema kinyume!, Marekani bila waisrael haina lolote. wakiondoa mitaji yao na kufunga ofisi zao zilizoko marekani, marekani itakua kama butu kama urusi. Jeuri yote ya marekani ni waisrael ndio maana wanawaheshimu na kuwaogopa sana
Sasa kwa nini hao Waisrael wenu wasiwekeze kwao ili kuwe baab kubwa kama kulivyo Marekani?