Israel yairushia Iran kombora la aina yake!

I salute Israeli if they can eliminate Iranian nuclear threat without firing a single shot.
 
Waarabu wa na wenyewe watengeneza majini aina ya popo bawa, Waisrael watakoma
Inasemekana yawezekana Israel imetengeneza kombora kwa kutumia computer/ internet 'cyber-missile' kwa mfano wa computer virus aitwaye "Stuxnet" na kulielekeza Iran ambako limekuwa likiharibu 'computer control systems' kwenye mitambo yake ya nuclear. Internet ni uwanja mwingine wa vita. Je, Israel anatawala dunia?

Source: The Stuxnet worm: A cyber-missile aimed at Iran? | The Economist
 
Back
Top Bottom