Israel`s broken world records

Is it true?? i am not sure kama kweli Iran ilisema hivyo, Iran haijawahi kusem kuwa inataka kuondoka Israel kwenye ramani ya dunia. Kama nakumbuka vizuri ni Ahmedenejad ndiye alisema hivyo, tena Iran ni nchi yenye jews wengi zaidi kuliko nchi yoyote mashariki ya kati mbali na Israel yenyewe, Ahmedinejadi himeself has jewish ancestry. Mkuu unatakiwa kuwa mkweli na kuwa na facts, you can not quote the mad man and use his words to demonize the whole population of Iran. YOu need to have a good mind to process and analyze what you read and hear. It is more complicated than that.

Be sure that Israel ni karata ya US, kwenye mchezo wake wa mashariki ya kati na siasa za kujiografia na Russia.

You are talking of jews who were killed, unajua ni waafrika wangapi waliuawa? au unajua wazungu wangapi waliuawa kwenye second world war?

sasa mkuu, ahmadnejan akisema si ndo iran wanakuwa wamesema?? yeye si ndio rais wa iran, so whatever he says wakati akiwa rais basi hayo ndo mawazo na msimamo wa nchi yake..that's how it is politically, ndo maana mkwere alivosema hajui kwann nchi yake maskini magazeti (nilisoma moja la nje) yaliandika, the president of tanzania who doesn't know why his country is poor....walim quote kama president for his capacity, lakini sio kweli kwamba mm na wewe hatujui kwann this country is poor..tunajua..so iran said so..infact israel has done alot of bad things..so are america, afgan, waingereza na nchi nyingi tuu...wametofautiana in which capacity tuu..ila unawezakuta america has done worse than israel..international politics are very tricky..ni kama vile waswahili tunavosema kunya anye kuku akinya bata kaharisha...akifanya mwenzio unaona kavunja rekodi ila ya kwako unaona poa tuu...kuna ujambazi gani mwingine kama wa kuiba billions of tax payers money ambazo mwisho wa siku ndo sababu kwa akina mama wetu kujifungulia barabarani?? wote ni wahaini, wote wauaji..hata hapa tz tuna rekodi nyingine za uuaji hatufikii hata kwa israel...
 
Siku zao zinakaribia. China sasa hivi washaipita Marekani kwa uchumi, na unajua once China wakishika nafasi ya Super Power, basi silaha zitakuwa zinapatikana kwa urahisi sana.
Nilikuwa nasoma article moja ambayo Waisrael wanaogopa sana kama Marekani itakuwa behind China. Wanajua Iran watakamilisha Nuclear yao.
Kazi wanayo ya kujilinda mpaka kiama.

Hata China, India wakiwa super power hawaezi kuifanya Israel lolote. Itachukua China miaka 1000 kuwa na economic power waliyonayo US hii leo. Kumbuka wachina raia wa kawaida wa china ni masikini kama sisi kwa hiyo usidhani eti wakiipita china kwa economic figure ndio mwisho wa kila kitu. Kwa taarifa yako hata hao wachina,India wamezipita nchi kama UK, Germany, Japan kwa economic fgure lakini quality ya maisha ya hizo nchi 2 za india na china kulinganisha na UK,Germany, Israel, Italy, France ni kama mbingu na ardhi....

Miaka ile ya mwishoni mwa 70's na mwazo mwa 80's walimwengu walisadikishwa kuwa Japan ingeipita America lakini wapi?
...Think twice bob....that is the really if you don't like to hear this keep dreaming yourself na super power za china.
 
sasa mkuu, ahmadnejan akisema si ndo iran wanakuwa wamesema?? yeye si ndio rais wa iran, so whatever he says wakati akiwa rais basi hayo ndo mawazo na msimamo wa nchi yake..that's how it is politically, ndo maana mkwere alivosema hajui kwann nchi yake maskini magazeti (nilisoma moja la nje) yaliandika, the president of tanzania who doesn't know why his country is poor....walim quote kama president for his capacity, lakini sio kweli kwamba mm na wewe hatujui kwann this country is poor..tunajua..so iran said so..infact israel has done alot of bad things..so are america, afgan, waingereza na nchi nyingi tuu...wametofautiana in which capacity tuu..ila unawezakuta america has done worse than israel..international politics are very tricky..ni kama vile waswahili tunavosema kunya anye kuku akinya bata kaharisha...akifanya mwenzio unaona kavunja rekodi ila ya kwako unaona poa tuu...kuna ujambazi gani mwingine kama wa kuiba billions of tax payers money ambazo mwisho wa siku ndo sababu kwa akina mama wetu kujifungulia barabarani?? wote ni wahaini, wote wauaji..hata hapa tz tuna rekodi nyingine za uuaji hatufikii hata kwa israel...

That is it mkuu. JK kusema hajui kwanini Tanzania haina maana kwamba watanzania hatujui kwanini sisi maskini.

It is political, na jamaa walisema vizuri. So applies to Iran, Ahmedinejad si Iran, mawazo yake hayawakilishi wairan wote.

Ni kweli mwizi ni mwizi tu, regardles alipo na ragardless anakivuli cha mtu, mwamvuli au wingu. Kama kweli Mungu ni mmoja sidhani kama huyo Mungu anaona ni vizuri watu wengine wauawe au wanyang'ganywe ardhi.

Nashangaa sana walokole wanaounga mkono occupation ya ardhi ya wapalestina, kisa wamesoma kwenye kitabu kinachoitwa biblia kuwa Israel ni taifa teule, bila aibu wana-quote mstari moja wa biblia, lakini sina hakika kama wamesoma talmud na quran. Kama ingekuwa hivyo watu wanaweza kutumia MEINE KEMPF kujustfy u-nazi, hata wanazi wa Ulaya wangewaunga mkono makaburu kwa ku-occupy ardhi ya Afrika Kusini. So in other way naona kuna hali fulani ya kusupport ukaburu, au kusema kuwa Mungu anawasupport Israel kwa kufanya wanayofanya.
 
Hata China, India wakiwa super power hawaezi kuifanya Israel lolote. Itachukua China miaka 1000 kuwa na economic power waliyonayo US hii leo. Kumbuka wachina raia wa kawaida wa china ni masikini kama sisi kwa hiyo usidhani eti wakiipita china kwa economic figure ndio mwisho wa kila kitu. Kwa taarifa yako hata hao wachina,India wamezipita nchi kama UK, Germany, Japan kwa economic fgure lakini quality ya maisha ya hizo nchi 2 za india na china kulinganisha na UK,Germany, Israel, Italy, France ni kama mbingu na ardhi....

Miaka ile ya mwishoni mwa 70's na mwazo mwa 80's walimwengu walisadikishwa kuwa Japan ingeipita America lakini wapi?
...Think twice bob....that is the really if you don't like to hear this keep dreaming yourself na super power za china.

Naona statististic unazotumia si za kweli. China, India wanaweza kuwa na uchumi mzuri na maisha mazuri kwa wananchi wao kabla ya hiyo miaka uliyozungumzia.

Japan ina uchumi mzuri per capita kuliko hata Marekani. Wananchi wa Japan wanaishi vizuri zaidi kuliko wa Marekani. Inabidi utofautishe kati ya GDP na GNP per capita. Marekani wana GDP kubwa kuliko Japan kwa sababu ya population.

China, na India wataipita Marekani ktk GDP kwa muda mfupi sana kwa sababu ya population yao. Ukishakuwa na growth ktk GDP, basi your GNP per capita inakuwa vilevile, na poverty inashuka vilevile.

Kitu chengine ambacho kitaiangusha Marekani kiuchumi ni DEBT. Marekani ina madeni sana, matumizi kuliko mapato, kwa sababu ya Ujinga wao wa kupigana vita bila ya sababu.
Wachina wanashangilia kila wakati wakiona Marekani inataka kupigana vita, kwa sababu wanazidi kuwalimbikiza na madeni.
 
Back
Top Bottom