Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,115
- 10,822
Uhai wa Israel daima unatokana na kulindwa na US na kwa upande mwengine mikataba ya kidanganyifu kama ile ya Camp David iliyokuwa ikisimamiwa na Hosni Mubarak.
Wakati sasa hakuna Hosni Mubarak si vizuri kufanya uchokozi kama ule wa jana ambapo askari wa Israel walivuka mpaka eneo la Sinai na kuuwa askari kadhaa wa Misri.
Ndani ya Misri kuna watu wenye uchungu sana na Israel kuliko hata wapalestina ambao wana uwezo wa kupigana mpaka Tel Aviv kwa bunduki na hata kwa ngumi.
Wakati sasa hakuna Hosni Mubarak si vizuri kufanya uchokozi kama ule wa jana ambapo askari wa Israel walivuka mpaka eneo la Sinai na kuuwa askari kadhaa wa Misri.
Ndani ya Misri kuna watu wenye uchungu sana na Israel kuliko hata wapalestina ambao wana uwezo wa kupigana mpaka Tel Aviv kwa bunduki na hata kwa ngumi.