Xuma
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 683
- 196
what I know Israel and US ni mutual friends!
Yaani kuna vitu US anategemea toka Israel vivyo hivyo na Israel kuna vitu anategemea toka kwa m-US! ndio maana bajeti ya US ya kila mwaka ina fungu maalumu kwa ajili ya wayahudi na kama wakipanga kidogo mwaka husika wayahudi huwa wananuna sana lakinipia ikumbukwe pia siku zote US huwa hawawezi au wanakwepa kuwakasilisha wayahudi kwa lolote.
Sasa amua mwenyewe nani mkali achilia mbali usuperpower!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yaani kuna vitu US anategemea toka Israel vivyo hivyo na Israel kuna vitu anategemea toka kwa m-US! ndio maana bajeti ya US ya kila mwaka ina fungu maalumu kwa ajili ya wayahudi na kama wakipanga kidogo mwaka husika wayahudi huwa wananuna sana lakinipia ikumbukwe pia siku zote US huwa hawawezi au wanakwepa kuwakasilisha wayahudi kwa lolote.
Sasa amua mwenyewe nani mkali achilia mbali usuperpower!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!