Ismail Jussa umekosa heshima, adabu wala nidhamu!

kwa kiengereza nafikiri angeliita Nyerereism.... kama U-Karl Marx unavyoitwa Marxism...

in other words, ni Muono?Philosophy ya Nyerere.... Thus, mimi sioni tusi kwenye hili moja...

Ni Mtazamo tu, Nothing Personal...

Okay naona kasisitizia Ma-Nyerereists.....ila kwangu mimi ni JUHA tu
 
Yaani matusi yote yanayotukanwa kwenye ukumbi huu hakuna wa kuyaona ila haya aliyoyasema Mh. Jussa tu? Hivi UNAFIKI mmezaliwa nao ama mlirithishwa kwenye loo zenu?Siku zote hizo mlikuwa mnatafuna uongo wa "Warioba ambana Jussa" na "Jussa ashindwa kutoa mfano wa muungano wa mkataba" leo hii ukweli umetoka mnakimbilia kujificha kwenye giza la kukosa adabu? Badala ya kukana maelezo ya Jussa mnakimbilia adabu na hadithi ndefu za breeding. Huu UNAFIKI wenu hautawafikisha popote na mtabaki kuwa watwana wa mawazo maisha yenu yote. Simply no hope for fools!
mkuu nakuunga mkono kunawatu huku badala ya kujadili hoja wanaweka chuki zao binafsi na wanawachukia wazanzibar sijui kwanini ni bora wazanzibar wajitenge na wanachokichukia sijui ni kwasababu waislamu ni wengi kuliko wakristo na zanzibar wakijitenga patakuwa mahali salamakuliko huku Tanzania bara
 
Ahaaaah!Kumbe hili ndio lile punga la zenji!Kweli mtoto si ridhiki yakheh!
 
Sioni tusi wala kutovuka adabu kwa Jussa katika maelezo hayo. Kwani kuambiwa unazeeka ni tusi au kujulishwa kwamba unapungukiwa uwezo wakufikiri nim kutovukiwa adabu? Hee kwani warioba hazeeki kweli?

Na jee kumwita mkuu wa nchi DHAIFU si kutovuka adabu? Mbona hukuleta uzi hapa? Acheni uha-nisi wenu wa akili, wangese nyie. MAKU ma nuze!
 
Hivi kwanini tunalazimisha Muungano na hawa magaidi? Hivi Zanzibar ina nini cha maana kwenye MUUNGANO?
 
Huyu jamaa kuna kipindi niliandika kwamba yeye ni main facilitator wa uamsho pamoja na maalim nikala ban eti nilimsema kua mshkaji ni punga..lakini hiki kinachotokea zanzibar (Uamsho) na Dar (akina ponda na ushuzi wenzake) ndio lengo lao haswaaa na hii niliithibitisha baada ya kuongea na mtu wao wa karibu sana ambae ni kiongozi wa uamsho zanzibar..analake jambo

So mkuu don't ever discuss people then !
 
Mawazo ya vijiwe vya kahawa baada ya swala kwa watu ambao wana mawazo mgando kama Jusa. Kama wanataka UHURU wao wapewe ili wauone vizuri
 
images

Hivi kumbe ni Mhindi sijui Mwarabu? Mimi nikadhani labda Mzanzibar Mwafrika. Halafu watu wanamshabikia. Anyway tumechoka na kelele zao hawa Waarabu koko acha waondoke tupate Tanganyika yetu tuliyoipoteza kisa muungano ambao hautusaidii kitu chochote.
Kwani wakiondoka tutapata hasara gani. Kitu ambacho hatutaki ni muungano wa mkataba, waondoke kijumla au tuwe nchi moja na Zanzibar iwe na mikoa miwili Pemba na Unguja. Vinginevyo acha tuutue mzigo tubaki na tanganyika yetu yenye asali na maziwa

Mhindi Jussa aka mwarabu mchanganyiko nadhani ameanza kuchanganya mambo. Zanzibar itaendelea kutawaliwa na Tanganyika wapende wasipende. Hatutaki vurugu sisi.
 
Hivi kwanini tunalazimisha Muungano na hawa magaidi? Hivi Zanzibar ina nini cha maana kwenye MUUNGANO?

hilo swali ungetakiwa ukamuulize baba wa taifa ndio anajibu zuri na karume alitaka kuuvunja akauwawa na huyo huyo siri anayo yeye huko kuzimu
 
Kweli sasa wewe umepungukiwa na akili yani inafikia unatukana watu kiasi hicho ayo yote inaonyesha jinsi gani ujaelimika na auko tayari kujitawala!! bado sana Zanzibar kuitwa Nchi ngojeni kidogo muelimike
Sioni tusi wala kutovuka adabu kwa Jussa katika maelezo hayo. Kwani kuambiwa unazeeka ni tusi au kujulishwa kwamba unapungukiwa uwezo wakufikiri nim kutovukiwa adabu? Hee kwani warioba hazeeki kweli?

Na jee kumwita mkuu wa nchi DHAIFU si kutovuka adabu? Mbona hukuleta uzi hapa? Acheni uha-nisi wenu wa akili, wangese nyie. MAKU ma nuze!
 
Mi sioni tatizo la huu uzi. Hata ukiangalia post ya Ismail (jina hili hata kwenye biblia limetajwa) ni wazi alikuwa militant kiasi cha kutopima aliyoyaandika. Anapoandika kwamba who is Warioba after after all, inatia shaka hata katika mantiki na uelewa wa kawaida. Mbali na umri wake kuwa mkubwa ukilinganisha na wa Ismail, Warioba ndiye Mwenyekiti wa kamati ya kukusanya maoni ya katiba. Hilo tu linatosha kuheshimiwa kama hayo mengine aliyowahi yafanya Ismail hayatambui. Na kama Ismail alivyokuwa na haki ya kutoa maoni yake, Mzee Warioba pia alikuwa na haki ya kutaka ufafanuzi ili afahamu vizuri kile Ismail alichokisema na hivyo kusaidia suala zima la kukusanya maoni. Suala la kwenda huko "fesibuku" na kuwa reactive tena ukimzungumzia Mzee Warioba kwangu binafsi naona ni kituko Mhe. Mwakilishi. Pambana na Warioba katika uwanja wake na sio kucharuka kwa kufyatua risasi kwanza na kisha ndipo ulenge. Stay focused Ismail if at all you want to wage a war against watu kama Warioba. Credentials zake zinajieleza, waulize wajumbe wa kamati kutoka Zanzibar.
 
Truth hurts
angalia kuanzia dakikaya 08:35

Ok unataka Zanzibar huru fine! kuwatukana watu ambao wanakuzidi si umri tu bali hata uwezo wa kufikiri naona unavuka mpaka.
Jisomeeni wenyewe alichokiandika kwenye facebook wall yake na muone huyu dogo anapovuka mipaka kwa sababu tu akili na mdomo mali yake.


Ismail Jussa



Kuna watu (wanajulikana wana kazi zao) ambao wamependa kujifurahisha kuwa Warioba alimbana Jussa na kwamba Jussa alishindwa kujibu hoja zake. Who is Warioba after all? Na kwa hoja zipi za maana alizowahi kuzitoa? Warioba simply anashindwa kustahamili mawazo yasiyokubaliana na UNYERERE ambao ndiyo itikadi yake na akina Butiku. Alianza kwa kutokubaliana na kile alichokiita mtazamo tofauti wa historia ya uundaji wa Muungano (different perspective on the historical background of the making of the Union) nilipomjibu akakaa kimya! Akataka kujua mifano ya Muungano wa Mkataba na nikamtajia Muungano wa Ulaya (European Union) lakini nikamjibu kuwa Mikataba haina sura moja wala waliokuja na miundo ya Miungano yao ya Mkataba hawana monopoly ya wisdom kuwa lazima tuangalie mifano yao tu akataka kulazimisha mitazamo yake.

Nilipotaka kumjibu Butiku akazuia kwa sababu alijua nitamuumbua. Kilichodhihirika pale ni kuwa Warioba (ambaye anaonekana amechoka sana hata uwezo wa kufikiri unampungukia) na Ma-Nyerereists wenzake wamepata mshtuko kutokana na wingi (overwhelming majority) wa Wazanzibari wanaotaka Zanzibar yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kufuatiwa na mashirikiano kati yake na Tanganyika kupitia Muungano wa Mkataba. Anababaika, anaweweseka! Lakini wimbi hili halizuiliki! Wazanzibari tumeamua! Unyerere (ambayo ndiyo itikadi inayowakilisha Ukoloni wa Tanganyika dhidi ya Zanzibar) hauna nafasi tena katika Zanzibar ya leo. Na wachukie wenye kuchukia.

 
Last edited by a moderator:
Kwani huyu Jusa yeye hana jumba kubwa kule Msasani kama wapemba wengine? Na kama muungano ukivunjika ni yaje kuhusu hayo majumba?
 
Vunja muungao na bara, kisha Unguja na Pemba zijitenge, kisha Tumbatu nayo ijitenge, mpaka kila kijiji kiwe nchi.

Wakati wenzetu wanaondoka katika Westphalian sovereignty na wanaelekea kwenye economic domination through corporatocracy, sie bado tunakumbatia the spoils of the constructs of the 30 years war!

Halafu unakuta mtu anachanganya mazungumzo ya kitu so central, legalistic and lasting kama muungano wa nchi, na hapo hapo nyepesi nyepesi za kumchamba mtu mmoja kama Warioba.

Unaondoa credibility kabisa, unaonekana ushazoea mipasho na tukija katika Hegelian dialectics huwezi kuwa consistent.
 
Anadhani nje ya Muungano atapata madaraka!
Ataota sana ndoto za mchana kama bosi wake
lakini hawezi kuwa rais wa Zanzibar...
 
Sioni tusi wala kutovuka adabu kwa Jussa katika maelezo hayo. Kwani kuambiwa unazeeka ni tusi au kujulishwa kwamba unapungukiwa uwezo wakufikiri nim kutovukiwa adabu? Hee kwani warioba hazeeki kweli?

Na jee kumwita mkuu wa nchi DHAIFU si kutovuka adabu? Mbona hukuleta uzi hapa? Acheni uha-nisi wenu wa akili, wangese nyie. MAKU ma nuze!

kama matusi ndio haya .kuna haja ya kuanza ubaguzi wa rangi .haiwezikani huyu mjukuu wa mpishi wa kihindi aje kutukana watu kwenye nchi yao ,
 
Kwani huyu Jusa yeye hana jumba kubwa kule Msasani kama wapemba wengine? Na kama muungano ukivunjika ni yaje kuhusu hayo majumba?

huyu mpemba au mhindi koko .amefikia kutudharau africa weusi kwenye nchi yetu.
 
Back
Top Bottom