Mkuu tafadhali lugha yako uliotumia kuonyesha hisia zako sio muafaka.
Heri yenyewe ulimpa kwavile katukana ama?
Kwa kuwa wanasiasa wako juu ya sheria tz,Jussa ataendelea kudunda tu mitaani!MTAZAME HAPO KWENYE VIDEO INAYOPATIKANA KWENYE LINK HAPO CHINI,SIO SIRI AMENIKERA SANA HUYU MHINDI!SAM SIX SI NI SAWA NA BABA YAKE?HAKUKUWA NAHAJA YA KUMTUKANA MZEE HUYO KISA KATOFAUTIANA NAE MAWAZO,HIZI NDIO SIASA ZA MAJI TAKA SASA...
Rashid Video: ISMAIL JUSA ANAMJIBU SAMWEL SITA
Hata kama mtu amesoma kwa kiwango cha Ph.D lakini akikubali kujulikana bei yake hapo anakuwa ni sawa na bure, shule inakuwa haijamkomboa.
Ili kuepukana na haya mashambulizi, dhihaka, malalamiko na shutuma za kila siku ni wakati muafaka sasa tuvunje muungano ili kila nchi iendelee na hamsini zake.
Hawa wala urojo kila siku ni kebehi na dharau kwa watanganyika wakati sisi ndio tunawapa platform ya unafuu wa maisha.
Hakika kasimu kangu nami hakuwezi,so tusaidieni nasi wenye simu wakuu
Bi FF, na mimi nimesikiliza. Maneno aliyotumia Jussa ni kama vile "Mjinga Sitta, Mpumbavu Sitta, Mjinga huyu..."Nimeipitia hiyo video na nnadiriki kusema hakuna aliyetukanwa. Tusi au matusi ni yepi hapo? Naomba unukuu labda nimetazama mkanda tofauti.
Wewe mleta mada kwa kudai kuwa hao viongozi walio hai na waliokufa na kudai sisi sote tumetukanwa ukumbuke kuwa hiki ulichokiandika ni fitna kubwa sana na kama utashindwa kulionesha tusi au matusi waliyotukanwa kwa kunukuu itanipelekea kukuita "fataani".
mamangu sam six kaitwa mjinga mmoja samuel sitta zaidi ya mara nne bado huoni ni matusi kwa mtoto mdogo kama jussa kwa mzee mzima kama sitta?matusi sio mpaka yale ya kitandani kumuita mtu alie sawa sawa na babako mjinga haipendezi wala sio adabu nzuri kwa mtoto wa kiislam ama yeyote awaye!penye ukweli tuuseme unless umetizama a wrong video bi dada!je jussa anaweza kumuita maalimu seif mjinga?huyu hamad rashid licha kuhitilafiana sana hivi majuzi hajasikika akimwita mjingaNimeipitia hiyo video na nnadiriki kusema hakuna aliyetukanwa. Tusi au matusi ni yepi hapo? Naomba unukuu labda nimetazama mkanda tofauti.
Wewe mleta mada kwa kudai kuwa hao viongozi walio hai na waliokufa na kudai sisi sote tumetukanwa ukumbuke kuwa hiki ulichokiandika ni fitna kubwa sana na kama utashindwa kulionesha tusi au matusi waliyotukanwa kwa kunukuu itanipelekea kukuita "fataani".