gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
yuko kazini huyo! Hapo kashasaini kitita kwa kazi hiyo...
Wengine tuna simu ,embu dondoeni alichoosema.
huyo dogo anakoelekea siko....
Nape wa rostam huyo!!
same to me,
...mfano?Hata mimi nauchukia unafiki wa Sitta.
Jussa Taahira nimemsikia sihitaji hata kuchangia zaidi ya kuona muungano uvujike tu!
jussa anatumiwa na Rostam hiyo inajulikana
Album au single?..........
MTAZAME HAPO KWENYE VIDEO INAYOPATIKANA KWENYE LINK HAPO CHINI,SIO SIRI AMENIKERA SANA HUYU MHINDI!SAM SIX SI NI SAWA NA BABA YAKE?HAKUKUWA NAHAJA YA KUMTUKANA MZEE HUYO KISA KATOFAUTIANA NAE MAWAZO,HIZI NDIO SIASA ZA MAJI TAKA SASA...
Rashid Video: ISMAIL JUSA ANAMJIBU SAMWEL SITA
Ingekuwa ni mtanganyika anaongea hivyo dhidi ya mzanzibari, mpaka kikwete angeingilia kati!
Heri ya Mwaka Mpya Mkuu!
jussa taahira na wewe je?
muungano uvunjike kwa sababu ya jussa?
umefanya tafiti na kuona anawakilisha wazanzibari woote?????
The romantic siku nijariwe urais wa nchi hiii siku hiyo hiyo baada ya kuapa natangaza kuvunja huu upupu wa muungano
nimeishi zanzibar 15 years naijua vilivyo znz mpaka pemba kote nimeishi, muungano haufai hata kidogo! at least tuwe na serikali tatu. na hayo matusi yeye kayesema hadharani lakini kweli ndio yaliyomo vinywani mwa akina hata shein, karume!!