Ni asubuhi njema natumahi.
Mara nyingi tumekuwa tukipata compliments nyingi makazani pale tunapokuwa tumefanya vyema kwenye kazi. Compliments zinaweza toka kwa wafanyakazi wenzako na hata kutoka kwa maboss wako pia.Tunajisikia vizuri tupatapo hizo compliments na kutufanya tuwe makini na kuongeza bidii. Ndiyo, ni jambo jema kwa mwanadamu kutambua kazi au kitu kizuri alichokifanya mwenzako kama hauna roho mbaya.
Mada yangu zaidi ni kutaka hizo compliments ziende pia hata huko majumbani tunako ishi. Mke/mme akifanya jambo jema na unaona ni kiwango na linahitaji kusifia , usimbanie acknowledge kwa alicho kifanya atajisikia vizuri. Tusiwe tunanyamaza kama vile hatuoni wakati unaona mwenzi wako kafanya kitu cha maana. Tusisubili tu pale anapofanya kosa ndo tucharuke na kutupiana lawama za ''kwa nini umefanya vile''. Tujikite zaidi kuangalia mazuri wanayofanya wenzi wetu na tuyape credits. Kwa kufanya hivyo kutamfanya mwenzi wako ajisikie kuwa anathaminiwa na unauona umuhimu wake katika maisha yako.
Tupende pia kuwajengea imani wenzi wetu kuwa wanaweza. hata kama ni makazini huko wana assignments ngumu na tights, tupende ku-acknoledge na kuwatia moyo kwa mfano‘' baba/mama Mary japo unalalamika assignment yako ni ngumu lakini mimi nakuaminia hiyo utaifanya vizuri tu,jitahidi '' Unajisikaje mumeo au mkeo akikwambia hivyo? Hii itamjengea moyo waubani wako na kuzidi kukuthamini, na pia inaongeza vionjo/radha ya mapenzi na ukaribu kwa mwenzi wako.
Kwa kufanya hivyo tutapunguza migogoro siziso za maana katika mahusianao na kuongeza upendo ambao na furaha ambao ndiyo tegemeo zaidi katika mahusiano ya kimapenzi. Tusitegeane kusubiri makosa bali tuyaangalie zaidi mazuri na tuonyeshe tumeyaona. Kutapunguza pia idadi ya mabaya amabyo yangejitokeza kwa kuogopa kumkwaza mwenzi wako.
It works to me it may also work to you…….. Jaribu.
Mara nyingi tumekuwa tukipata compliments nyingi makazani pale tunapokuwa tumefanya vyema kwenye kazi. Compliments zinaweza toka kwa wafanyakazi wenzako na hata kutoka kwa maboss wako pia.Tunajisikia vizuri tupatapo hizo compliments na kutufanya tuwe makini na kuongeza bidii. Ndiyo, ni jambo jema kwa mwanadamu kutambua kazi au kitu kizuri alichokifanya mwenzako kama hauna roho mbaya.
Mada yangu zaidi ni kutaka hizo compliments ziende pia hata huko majumbani tunako ishi. Mke/mme akifanya jambo jema na unaona ni kiwango na linahitaji kusifia , usimbanie acknowledge kwa alicho kifanya atajisikia vizuri. Tusiwe tunanyamaza kama vile hatuoni wakati unaona mwenzi wako kafanya kitu cha maana. Tusisubili tu pale anapofanya kosa ndo tucharuke na kutupiana lawama za ''kwa nini umefanya vile''. Tujikite zaidi kuangalia mazuri wanayofanya wenzi wetu na tuyape credits. Kwa kufanya hivyo kutamfanya mwenzi wako ajisikie kuwa anathaminiwa na unauona umuhimu wake katika maisha yako.
Tupende pia kuwajengea imani wenzi wetu kuwa wanaweza. hata kama ni makazini huko wana assignments ngumu na tights, tupende ku-acknoledge na kuwatia moyo kwa mfano‘' baba/mama Mary japo unalalamika assignment yako ni ngumu lakini mimi nakuaminia hiyo utaifanya vizuri tu,jitahidi '' Unajisikaje mumeo au mkeo akikwambia hivyo? Hii itamjengea moyo waubani wako na kuzidi kukuthamini, na pia inaongeza vionjo/radha ya mapenzi na ukaribu kwa mwenzi wako.
Kwa kufanya hivyo tutapunguza migogoro siziso za maana katika mahusianao na kuongeza upendo ambao na furaha ambao ndiyo tegemeo zaidi katika mahusiano ya kimapenzi. Tusitegeane kusubiri makosa bali tuyaangalie zaidi mazuri na tuonyeshe tumeyaona. Kutapunguza pia idadi ya mabaya amabyo yangejitokeza kwa kuogopa kumkwaza mwenzi wako.
It works to me it may also work to you…….. Jaribu.