Isingekuwa ni muungano, hali ya kiuchumi na kisiasa zanzibar ingekuwaje?

Nitajibu ya Shossi na mdondoaji kwa pamoja.
Mimi sina sababu ya kutetea Christians, ninachotaka ni kusaidia watu kuelewa kuwa kila jambo lazima liwe na evidence, tusiende kwa hisia tu. Okello alijitanganza Field Marshal, swali ni kuwa alipewa na nani huo u-field marshal. Sasa kwasababu kaandika katika kitabu chake basi ndio tumeze bila kufikiri hata kidogo!
Okello alikuwa mkereketwa wa dini ya Kikristo tangu anatoka uganda hadi anarudi. Maneno anyosema kuwa ametumwa kuwaokoa wala siyakatai, na kuwa aliua Waarabu wala sikatati kwasababu baada ya mapinduzi hakukuwa na dini ilikuwa ni panga kichwani, na ilifanywa na wanamapinduzi wote si Okello peke yake. Sasa kama aliua waarabu hiyo siyo evidence kuwa ametumwa na kanisa. Kama ni hivyo provide substantial evidence. Kumbuka Waarabu hao ndio walipeleka waafrika utumwani, sasa tuseme walitumwa na waislamu au uislam.

Kuhusu share BoT please provide evidence zilikuwa na thamani gani ili tuweze kupata mahali pa kuanzia mjadala. Lakini kumbuka kuwa tulikuwa na EA common currency hadi mwaka 1966, na baada ya hapo tukawa na monetary collaboration kwasababu ya EAC, lakini kila nchi ilikuwa na Central bank yake (Angalia lini BoT ilianzishwa).
Zanzibar haijawahi kuwa independent member wa EA FYI.
Hata kama share zipo bado kuna mambo mengi sana BOT imeyfanya makubwa kuliko hizo share. Znz wakati wa komandoo ilifikia mahali ina collapse, mishahara yote BoT, na hivi tunavojadiliana Znz wanapata umeme buree miaka nenda rudi, wanalipiwa na kodi za wabara, huu ni ukweli si masimango. Mwaka jana kifaa kilipoharibika ilichukua miezi 3 na 5 miliion US$ kutoka BoT baada ya SMZ Kukwama, Muulize Shamsi vua Naohadha. Sasa sijui hizo share ni kiasi gani na zenye thamani gani. anyway tujadiliane
Mkuu.
Mimi nimekutana na habari hii:- sijui kama itawasaidia ?

2. Suala la Bodi ya Sarafu na Namna Zanzibar Ilivyochomwa Kisu Mgongoni na Tanganyika
Turudi kwenye historia kidogo kuona namna ambavyo Tanganyika imeutumia Muungano kuinafiki Zanzibar kwa hadaa na ghilba. Wazungu huita hali hii “knife on the back.” Nyaraka zilizopatikana kutoka Crown Agency London, Uingereza, zinaibua siri nzito ambayo inafunua namna Tanganyika ilivyotumiliwa na kujikubalisha kutumikia matakwa ya mkoloni, Muingereza, ili kuinyima Zanzibar nguvu za kiuchumi kwa makusudi. Ni suala la Bodi ya Sarafu ya Afrika Mashariki (EACB).

Kwa mujibu wa nyaraka hizo, wakati wa ukoloni zile nchi zilizojulikana kama East African Territories – Kenya, Uganda, Tanganyika, Zanzibar, Somalia na Aden – zilikusanywa pamoja katika Bodi ya EACB. Baada ya kupatikana kwa uhuru, Aden na Somalia ziliamua kujiondoa kwenye Bodi hiyo, lakini nyingine ziliendelea. Zanzibar haikuwa inajuwa kuwa kumbe wakati huo, tayari Tanganyika ilishatakiwa na mkoloni wake, Uingereza, kuhakikisha kwamba uwezo wa Zanzibar kifedha na kiuchumi unaporomoshwa kwa kadiri ilivyowezekana ikianza na kuuondoa uwakilishi wake kwenye Bodi hiyo.

Mwaka 1964, kulikuwa kuwe na mkutano wa Bodi hiyo. J.B. Loynes, ambaye alikuwa na dhamana katika Wizara ya Makoloni ya Uingereza alimuandikia H. R. Hirst, ambaye alikuwa katibu wa Bodi kwamba: “…isipokuwa kama kuna kauli madhubuti kutoka Dar es Salaam inayothibitisha kuhudhuria kwa Zanzibar (na tusiwe sisi tunaozua suala hilo), haitokuwa sawa kwa Bodi kumualika mwakilishi kutoka Zanzibar kwa sasa. Kusema kweli, italeta fadhaa kuona wale wenye nia ya kujitenga huko Visiwani wanapewa kichwa.”

Hata hivyo, Hirst alikuwa amefahamishwa na Jacob Namfua, aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha wa Tanganyika, kuwa suala la kuiondoa Zanzibar kwenye Bodi hiyo lilikuwa ni kinyume na Mkataba wa Muungano, maana mpaka wakati huo suala la sarafu halikuwa la Muungano. Barua ya Namfua kwa Hirst ya Juni 9, 1964, inaeleza: “Nimeagizwa kutamka kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Muda inayoongoza Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, katika vikao vya siku za mbele vya Bodi, utaendelea kwa utaratibu ule ule kama ilivyokuwa kabla ya Muungano. Makubaliano ya Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar hayahamishi moja kwa moja mambo ya sarafu kuingia katika Serikali ya Muungano na mpaka yatakapofanywa mabadiliko kama itakavyokubaliwa, uanachama wa Bodi ya Sarafu unabaki kama ulivyo.”

Lakini inaonekana kuwa Uingereza ilikwishaamua kwamba iwe iwevyo, Zanzibar haikutakiwa kabisa kuwemo kwenye Bodi hiyo. Kwa hivyo, Loynes akamuandikia tena Hirst Septemba 8, 1964 akimwambia: “Tunaweka wazi kwamba hatuitaki Zanzibar katika kikao chetu kinachofuata na natumai lazima kutakuwa na njia zinazoweza kuwaweka nje. Lile ambalo ningependa kufanya kwa sasa ni kukumbusha juu ya suala hili, ili kuhakikisha kwamba hakuna makabrasha yanayovuka bahari hadi tutapokuwa na uhakika wa msimamo wetu.”
Kufika hapo, Tanganyika kwa kuwa ilikuwa yenyewe tangu mwanzo haina dhamira njema na khatima ya Zanzibar kiuchumi na, kwa kuwa, ilikuwa tayari kutumikia hata maslaha ya wale ambao Mwalimu Julius Nyerere alikuwa huku nje akiwaita mabeberu, ikapiga magoti kutimiza matashi yake na matakwa ya Muingereza.

Mgao wa ziada wa fedha za Bodi ulifanywa Oktoba 1964 na fungu la Zanzibar hapo, na kuanzia hapo, lilikwenda katika kasha la Tanganyika katika Crown Agency (rejea barua ya W.H. Tweed ya Oktoba 1, 1964).

Ghilba hii ‘ilihalalishwa’ kwa Toleo la Sheria, Mswada Na. 43, la Juni 18, 1965, ambapo ilielezwa: “Mambo yafuatayo sasa yanatengwa kwa Bunge na Serikali ya Jamhuri ya Muungano na yanatangazwa kuwa Mambo ya Muungano: mambo yanayohusiana na sarafu na mzunguko wake – na shughuli za benki, fedha za kigeni na udhibiti wa viwango vya kubadilishana fedha, na kifungu kidogo (1) cha kifungu 68 cha Katiba ya Muda hivi sasa kinarekebishwa kwa kuongeza mambo yaliyotajwa kama jambo jipya (xii) katika tafsiri ya ‘Mambo ya Muungano.”

Kwa hakika huu, kama alivyokuwa akiuita Marehemu Ali Nabwa, ulikuwa ni “ujambazi wa hali ya juu” dhidi ya Zanzibar! Ulikuwa uonevu wa dhahiri uliofanywa na Nyerere, Amir Jamal (aliyekuwa Waziri wa Fedha) na Edwin Mtei (aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo) kwa kuchochewa, kuongozwa na kudhibitiwa na watawala, wakoloni Waingereza.

Ni wazi kuwa, kwa Tanganyika kutimiza matakwa ya Uingereza, kulikuwa ni kujidhalilisha yenyewe mbele ya mkoloni huyo, na ndiyo maana hata katika nyaraka hizo nilizozitaja unaiona dharau ambayo Waingereza waliionesha kwa viongozi hao wa Tanganyika. Kwa mfano, Loynes alimtaja mara moja Mtei kama kitakataka tu (Nabwa, 2003).

Lakini japokuwa hii ilikuwa ni aibu kwa upande wa Tanganyika, ilikuwa ni aibu iliyowasaidia kuzivunja nguvu za Zanzibar kiuchumi na imekuwa ndiyo hasara kwa upande wa Zanzibar, kwani baada ya hapo zilifuatia rasimu kwa rasimu za barua iliyokuwa inatakikana kuhalalisha kutolewa kwa Zanzibar nje ya Bodi, huku Loynes akisisitiza kwamba lugha iwe makini kiasi kwamba wao (wapanga njama hizi) wasiweze kutambulika, maana wote walijuwa kuwa wanayoyafanya yalikuwa kinyume na sheria.

Yaliofuata hapo ni historia ya mzozo mmoja mkubwa katika Muungano unaohusisha nafasi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na nani anamdai mwenzake – baina ya Zanzibar na Tanganyika – katika Muungano huu.
3. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Kabari za Tanganyika kwa Zanzibar
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilianzishwa kutokana na Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 1965 ili kuchukua jukumu la kifedha lililokuwa likisimamiwa na EACB iliyokuwa na Makao yake Makuu Nairobi, Kenya.
Lakini kuanzishwa kwa BoT hakukuja hivi hivi tu, bali kwenyewe kulikuwa ni matokeo ya dhuluma iliyofanyiwa Zanzibar kwenye EACB kama ilivyooneshwa hapo juu. Ili kufanikiwa kuitupa Zanzibar nje ya Bodi hiyo, Tanganyika iliingiza haraka haraka shughuli za matumizi ya sarafu na utawala wa mabenki katika Muungano.
Kwa kutumia Katiba ya Muda ya Muungano (1965), Sheria Na 43 ya 1965 (1965 Act. No. 43 of 1965), Serikali ya Tanganyika ilipeleka Bungeni marekebisho ya kifungu Na. 85 cha Katiba hiyo na kuongeza kifungu kidogo Na. XII cha Orodha ya Makubaliano ya Muungano kinachohusu masuala ya fedha, mabenki, sarafu, fedha za kigeni na udhibiti wa fedha za kigeni kuwa katika Orodha ya Mambo ya Muungano kama inavyosemeka.

Gazeti la Serikali ya Muungano la tarehe 18 Juni 1965 ndilo lililotangaza kufanyika marekebisho hayo ambayo ni kinyume kabisa na Makubaliano ya Muungano ya 1964. Baada ya kufanyika marekebisho hayo, Edwin Mtei aliandika barua rasmi kwa Katibu wa EACB na kumueleza kwamba kuanzia Disemba 29, 1965 kwamba kuanzia hapo ni yeye Mtei ndiye angeliiwakilisha Tanzania katika Bodi hiyo. Kwa hakika, hili lilikuwa ndilo jambo lililokuwa likitakiwa na Waingereza.

Baada ya kukamilika kufanyika marekebisho haya ya Katiba ya Muda ya Jamhuri ya Muungano, Waziri wa Fedha wa wakati ule wa Tanganyika, Amir Jamal, alimuandikia barua Mwenyekiti wa EACB na kumuagiza rasmi kwamba haki zote na amana zote za Zanzibar zilizokuwemo katika Bodi hiyo, zipelekwe katika Benki Kuu chini ya Serikali ya Muungano na kwamba kuanzia pale ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania pekee ndiye tu atakayeiwakilisha Tanzania katika Bodi hiyo. Haya yalifanyika baada ya kulazimisha kuingizwa kifungu Na. XII katika Orodha ya Mambo ya Muungano ambacho hakikuwemo kabisa katika Makuabaliano ya Muungano ya 1964 (Duni, 2008).

Uchambuzi huu unaiita hii kuwa ni kabari ya kijambazi ya Tanganyika kwa uchumi za Zanzibar. Kuyatia masuala ya fedha katika Orodha ya Mambo ya Muungano ulikuwa ubabe wa makusudi maana ni jambo ambalo, kisheria, lisingeweza kufanyika bila ya idhini ya Zanzibar na pia wizara ya fedha ya Muungano haikuwa na haijawahi kuwa ya Muungano hadi leo. Kama kulikuwa na kitu cha Muungano hadi wakati huo kwenye masuala ya fedha, ilikuwa ni usimamizi wa taratibu na utoaji wa sarafu na udhibiti wa mwenendo wa kubadilisha thamani ya shilingi tu.

Serikali ya Muungano haikuwa imepewa idhini ya kusimamia fedha za Zanzibar na kile ilichokifanya kwa kuzitwaa fedha za Zanzibar hakiwezi kupewa jina jengine la kiungwana zaidi ya wizi uliofanywa kwa jina la Dola. Maana kilichofuatia baada ya hapo ni kuwa, fedha hizo ziliingizwa kuanzisha mtaji wa BoT, ambayo leo hii Zanzibar inaambiwa haina chake.

Ukweli ni kuwa BoT ina mchango wa Serikali ya Zanzibar ambao ulitokana na mgawo wake ilioupata baada ya kuvunjika kwa EACB. Kumbukumbu zinaonesha kwamba wakati wa kuanzisha kwa BoT, Bodi ya EACB ilikuwa imeshapeleka paundi za Kiingereza 82, 840 kama ni mchango wa Zanzibar katika uanzishwaji wa Benki hiyo.
Duni (2008) anaeleza vyema hisabu halisi ya mtaji wa BoT na mchango wa Zanzibar katika mtaji huo, kwamba benki hiyo ilianzishwa kwa mtaji wa paundi milioni moja (1,000,000) za Kiingereza ambayo ilikuwa ni sawa na milioni 20 za Afrika Mashariki kwa wakati huo, ambapo Serikali ya Tanganyika ilitoa paundi 668,884, ya Zanzibar ikatoa hizo 82,840 na kasoro ya kujalizia ili kufikia pauni 1,000,000 – yaani paundi 248,276 – ikajazwa na Serikali ya Muungano, ambayo Zanzibar ni sehemu yake.

Hisabu ya mtaji wa BoT inaelezeka hivi:
Mchangiaji Kiwango cha Mchango (kwa Paundi)
Tanganyika 668,884
Zanzibar 82,840
Jumla Ndogo (Tanganyika na Zanzibar) 751,724
Serikali ya Muungano 248,276
Jumla Kuu 1,000,000

Katika hili la BoT, hoja ya Zanzibar sio tu kwamba Zanzibar ina amana yake katika uanzishwaji wa benki hiyo ambayo, hata hivyo, kwa miaka yote hii Serikali ya Muungano hawataki kuitambua, lakini zaidi ni kuwa sheria iliyoianzisha benki hiyo ilikuwa na misingi ya kibeberu, ambapo iliipa Serikali ya Muungano nguvu zote za kumiliki na kusimamia fedha huku ukiipopotoa kabisa Zanzibar. Kwamba pamoja na mchango wake wa asilimia 11.02 katika mtaji ulioanzisha BoT, Serikali ya Zanzibar haikutajwa kabisa kwenye sheria hiyo.

Badala yake sheria hiyo, kwa makusudi, inaiteremsha hadhi Serikali ya Zanzibar kwa kuilinganisha kuwa sawa na Serikali ya Mkoa. Hii maana yake ni kuwa, kama ambavyo serikali za mikoa haziwezi kukopeshwa, ndivyo ilivyo pia kwa serikali ya Zanzibar. Leo hii, ikiwa Serikali ya Zanzibar inataka kukopa BoT, inalazimika kufanya hivyo kwa kupitia Serikali ya Muungano tu, na si vyenginevyo. Lakini kwa mujibu wa Mkataba wa Muungano na Katiba zote mbili ambazo zilipaswa kuutafsiri Mkataba huo, Serikali ya Zanzibar ndiyo yenye jukumu la kusimamia uchumi wa Zanzibar. Ni vipi Serikali inaweza kusimamia uchumi ikiwa haina mamlaka kwenye fedha na njia za kuzipata fedha hizo?

Kuinyima Serikali ambayo ina jukumu la kusimamia uchumi wa watu wake nguvu za kukopa na kufanya mikataba inayohusiana na fedha na taasisi nyengine ni unyongaji wa makusudi, na kwa bahati mbaya Zanzibar imejikuta katika kitanzi hicho.

Nimeiopoa hapa,
Siasa za Muungano na hatima ya uchumi wa Zanzibar « Zanzibar Daima
 
Mkuu.
Mimi nimekutana na habari hii:- sijui kama itawasaidia ?

2. Suala la Bodi ya Sarafu na Namna Zanzibar Ilivyochomwa Kisu Mgongoni na Tanganyika
Turudi kwenye historia kidogo kuona namna ambavyo Tanganyika imeutumia Muungano kuinafiki Zanzibar kwa hadaa na ghilba. Wazungu huita hali hii "knife on the back." Nyaraka zilizopatikana kutoka Crown Agency London, Uingereza, zinaibua siri nzito ambayo inafunua namna Tanganyika ilivyotumiliwa na kujikubalisha kutumikia matakwa ya mkoloni, Muingereza, ili kuinyima Zanzibar nguvu za kiuchumi kwa makusudi. Ni suala la Bodi ya Sarafu ya Afrika Mashariki (EACB).

Kwa mujibu wa nyaraka hizo, wakati wa ukoloni zile nchi zilizojulikana kama East African Territories – Kenya, Uganda, Tanganyika, Zanzibar, Somalia na Aden – zilikusanywa pamoja katika Bodi ya EACB. Baada ya kupatikana kwa uhuru, Aden na Somalia ziliamua kujiondoa kwenye Bodi hiyo, lakini nyingine ziliendelea. Zanzibar haikuwa inajuwa kuwa kumbe wakati huo, tayari Tanganyika ilishatakiwa na mkoloni wake, Uingereza, kuhakikisha kwamba uwezo wa Zanzibar kifedha na kiuchumi unaporomoshwa kwa kadiri ilivyowezekana ikianza na kuuondoa uwakilishi wake kwenye Bodi hiyo.

Mwaka 1964, kulikuwa kuwe na mkutano wa Bodi hiyo. J.B. Loynes, ambaye alikuwa na dhamana katika Wizara ya Makoloni ya Uingereza alimuandikia H. R. Hirst, ambaye alikuwa katibu wa Bodi kwamba: "…isipokuwa kama kuna kauli madhubuti kutoka Dar es Salaam inayothibitisha kuhudhuria kwa Zanzibar (na tusiwe sisi tunaozua suala hilo), haitokuwa sawa kwa Bodi kumualika mwakilishi kutoka Zanzibar kwa sasa. Kusema kweli, italeta fadhaa kuona wale wenye nia ya kujitenga huko Visiwani wanapewa kichwa."

Hata hivyo, Hirst alikuwa amefahamishwa na Jacob Namfua, aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha wa Tanganyika, kuwa suala la kuiondoa Zanzibar kwenye Bodi hiyo lilikuwa ni kinyume na Mkataba wa Muungano, maana mpaka wakati huo suala la sarafu halikuwa la Muungano. Barua ya Namfua kwa Hirst ya Juni 9, 1964, inaeleza: "Nimeagizwa kutamka kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Muda inayoongoza Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, katika vikao vya siku za mbele vya Bodi, utaendelea kwa utaratibu ule ule kama ilivyokuwa kabla ya Muungano. Makubaliano ya Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar hayahamishi moja kwa moja mambo ya sarafu kuingia katika Serikali ya Muungano na mpaka yatakapofanywa mabadiliko kama itakavyokubaliwa, uanachama wa Bodi ya Sarafu unabaki kama ulivyo."

Lakini inaonekana kuwa Uingereza ilikwishaamua kwamba iwe iwevyo, Zanzibar haikutakiwa kabisa kuwemo kwenye Bodi hiyo. Kwa hivyo, Loynes akamuandikia tena Hirst Septemba 8, 1964 akimwambia: "Tunaweka wazi kwamba hatuitaki Zanzibar katika kikao chetu kinachofuata na natumai lazima kutakuwa na njia zinazoweza kuwaweka nje. Lile ambalo ningependa kufanya kwa sasa ni kukumbusha juu ya suala hili, ili kuhakikisha kwamba hakuna makabrasha yanayovuka bahari hadi tutapokuwa na uhakika wa msimamo wetu."
Kufika hapo, Tanganyika kwa kuwa ilikuwa yenyewe tangu mwanzo haina dhamira njema na khatima ya Zanzibar kiuchumi na, kwa kuwa, ilikuwa tayari kutumikia hata maslaha ya wale ambao Mwalimu Julius Nyerere alikuwa huku nje akiwaita mabeberu, ikapiga magoti kutimiza matashi yake na matakwa ya Muingereza.

Mgao wa ziada wa fedha za Bodi ulifanywa Oktoba 1964 na fungu la Zanzibar hapo, na kuanzia hapo, lilikwenda katika kasha la Tanganyika katika Crown Agency (rejea barua ya W.H. Tweed ya Oktoba 1, 1964).

Ghilba hii ‘ilihalalishwa' kwa Toleo la Sheria, Mswada Na. 43, la Juni 18, 1965, ambapo ilielezwa: "Mambo yafuatayo sasa yanatengwa kwa Bunge na Serikali ya Jamhuri ya Muungano na yanatangazwa kuwa Mambo ya Muungano: mambo yanayohusiana na sarafu na mzunguko wake – na shughuli za benki, fedha za kigeni na udhibiti wa viwango vya kubadilishana fedha, na kifungu kidogo (1) cha kifungu 68 cha Katiba ya Muda hivi sasa kinarekebishwa kwa kuongeza mambo yaliyotajwa kama jambo jipya (xii) katika tafsiri ya ‘Mambo ya Muungano."

Kwa hakika huu, kama alivyokuwa akiuita Marehemu Ali Nabwa, ulikuwa ni "ujambazi wa hali ya juu" dhidi ya Zanzibar! Ulikuwa uonevu wa dhahiri uliofanywa na Nyerere, Amir Jamal (aliyekuwa Waziri wa Fedha) na Edwin Mtei (aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo) kwa kuchochewa, kuongozwa na kudhibitiwa na watawala, wakoloni Waingereza.

Ni wazi kuwa, kwa Tanganyika kutimiza matakwa ya Uingereza, kulikuwa ni kujidhalilisha yenyewe mbele ya mkoloni huyo, na ndiyo maana hata katika nyaraka hizo nilizozitaja unaiona dharau ambayo Waingereza waliionesha kwa viongozi hao wa Tanganyika. Kwa mfano, Loynes alimtaja mara moja Mtei kama kitakataka tu (Nabwa, 2003).

Lakini japokuwa hii ilikuwa ni aibu kwa upande wa Tanganyika, ilikuwa ni aibu iliyowasaidia kuzivunja nguvu za Zanzibar kiuchumi na imekuwa ndiyo hasara kwa upande wa Zanzibar, kwani baada ya hapo zilifuatia rasimu kwa rasimu za barua iliyokuwa inatakikana kuhalalisha kutolewa kwa Zanzibar nje ya Bodi, huku Loynes akisisitiza kwamba lugha iwe makini kiasi kwamba wao (wapanga njama hizi) wasiweze kutambulika, maana wote walijuwa kuwa wanayoyafanya yalikuwa kinyume na sheria.

Yaliofuata hapo ni historia ya mzozo mmoja mkubwa katika Muungano unaohusisha nafasi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na nani anamdai mwenzake – baina ya Zanzibar na Tanganyika – katika Muungano huu.
3. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Kabari za Tanganyika kwa Zanzibar
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilianzishwa kutokana na Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 1965 ili kuchukua jukumu la kifedha lililokuwa likisimamiwa na EACB iliyokuwa na Makao yake Makuu Nairobi, Kenya.
Lakini kuanzishwa kwa BoT hakukuja hivi hivi tu, bali kwenyewe kulikuwa ni matokeo ya dhuluma iliyofanyiwa Zanzibar kwenye EACB kama ilivyooneshwa hapo juu. Ili kufanikiwa kuitupa Zanzibar nje ya Bodi hiyo, Tanganyika iliingiza haraka haraka shughuli za matumizi ya sarafu na utawala wa mabenki katika Muungano.
Kwa kutumia Katiba ya Muda ya Muungano (1965), Sheria Na 43 ya 1965 (1965 Act. No. 43 of 1965), Serikali ya Tanganyika ilipeleka Bungeni marekebisho ya kifungu Na. 85 cha Katiba hiyo na kuongeza kifungu kidogo Na. XII cha Orodha ya Makubaliano ya Muungano kinachohusu masuala ya fedha, mabenki, sarafu, fedha za kigeni na udhibiti wa fedha za kigeni kuwa katika Orodha ya Mambo ya Muungano kama inavyosemeka.

Gazeti la Serikali ya Muungano la tarehe 18 Juni 1965 ndilo lililotangaza kufanyika marekebisho hayo ambayo ni kinyume kabisa na Makubaliano ya Muungano ya 1964. Baada ya kufanyika marekebisho hayo, Edwin Mtei aliandika barua rasmi kwa Katibu wa EACB na kumueleza kwamba kuanzia Disemba 29, 1965 kwamba kuanzia hapo ni yeye Mtei ndiye angeliiwakilisha Tanzania katika Bodi hiyo. Kwa hakika, hili lilikuwa ndilo jambo lililokuwa likitakiwa na Waingereza.

Baada ya kukamilika kufanyika marekebisho haya ya Katiba ya Muda ya Jamhuri ya Muungano, Waziri wa Fedha wa wakati ule wa Tanganyika, Amir Jamal, alimuandikia barua Mwenyekiti wa EACB na kumuagiza rasmi kwamba haki zote na amana zote za Zanzibar zilizokuwemo katika Bodi hiyo, zipelekwe katika Benki Kuu chini ya Serikali ya Muungano na kwamba kuanzia pale ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania pekee ndiye tu atakayeiwakilisha Tanzania katika Bodi hiyo. Haya yalifanyika baada ya kulazimisha kuingizwa kifungu Na. XII katika Orodha ya Mambo ya Muungano ambacho hakikuwemo kabisa katika Makuabaliano ya Muungano ya 1964 (Duni, 2008).

Uchambuzi huu unaiita hii kuwa ni kabari ya kijambazi ya Tanganyika kwa uchumi za Zanzibar. Kuyatia masuala ya fedha katika Orodha ya Mambo ya Muungano ulikuwa ubabe wa makusudi maana ni jambo ambalo, kisheria, lisingeweza kufanyika bila ya idhini ya Zanzibar na pia wizara ya fedha ya Muungano haikuwa na haijawahi kuwa ya Muungano hadi leo. Kama kulikuwa na kitu cha Muungano hadi wakati huo kwenye masuala ya fedha, ilikuwa ni usimamizi wa taratibu na utoaji wa sarafu na udhibiti wa mwenendo wa kubadilisha thamani ya shilingi tu.

Serikali ya Muungano haikuwa imepewa idhini ya kusimamia fedha za Zanzibar na kile ilichokifanya kwa kuzitwaa fedha za Zanzibar hakiwezi kupewa jina jengine la kiungwana zaidi ya wizi uliofanywa kwa jina la Dola. Maana kilichofuatia baada ya hapo ni kuwa, fedha hizo ziliingizwa kuanzisha mtaji wa BoT, ambayo leo hii Zanzibar inaambiwa haina chake.

Ukweli ni kuwa BoT ina mchango wa Serikali ya Zanzibar ambao ulitokana na mgawo wake ilioupata baada ya kuvunjika kwa EACB. Kumbukumbu zinaonesha kwamba wakati wa kuanzisha kwa BoT, Bodi ya EACB ilikuwa imeshapeleka paundi za Kiingereza 82, 840 kama ni mchango wa Zanzibar katika uanzishwaji wa Benki hiyo.
Duni (2008) anaeleza vyema hisabu halisi ya mtaji wa BoT na mchango wa Zanzibar katika mtaji huo, kwamba benki hiyo ilianzishwa kwa mtaji wa paundi milioni moja (1,000,000) za Kiingereza ambayo ilikuwa ni sawa na milioni 20 za Afrika Mashariki kwa wakati huo, ambapo Serikali ya Tanganyika ilitoa paundi 668,884, ya Zanzibar ikatoa hizo 82,840 na kasoro ya kujalizia ili kufikia pauni 1,000,000 – yaani paundi 248,276 – ikajazwa na Serikali ya Muungano, ambayo Zanzibar ni sehemu yake.

Hisabu ya mtaji wa BoT inaelezeka hivi:
Mchangiaji Kiwango cha Mchango (kwa Paundi)
Tanganyika 668,884
Zanzibar 82,840
Jumla Ndogo (Tanganyika na Zanzibar) 751,724
Serikali ya Muungano 248,276
Jumla Kuu 1,000,000

Katika hili la BoT, hoja ya Zanzibar sio tu kwamba Zanzibar ina amana yake katika uanzishwaji wa benki hiyo ambayo, hata hivyo, kwa miaka yote hii Serikali ya Muungano hawataki kuitambua, lakini zaidi ni kuwa sheria iliyoianzisha benki hiyo ilikuwa na misingi ya kibeberu, ambapo iliipa Serikali ya Muungano nguvu zote za kumiliki na kusimamia fedha huku ukiipopotoa kabisa Zanzibar. Kwamba pamoja na mchango wake wa asilimia 11.02 katika mtaji ulioanzisha BoT, Serikali ya Zanzibar haikutajwa kabisa kwenye sheria hiyo.

Badala yake sheria hiyo, kwa makusudi, inaiteremsha hadhi Serikali ya Zanzibar kwa kuilinganisha kuwa sawa na Serikali ya Mkoa. Hii maana yake ni kuwa, kama ambavyo serikali za mikoa haziwezi kukopeshwa, ndivyo ilivyo pia kwa serikali ya Zanzibar. Leo hii, ikiwa Serikali ya Zanzibar inataka kukopa BoT, inalazimika kufanya hivyo kwa kupitia Serikali ya Muungano tu, na si vyenginevyo. Lakini kwa mujibu wa Mkataba wa Muungano na Katiba zote mbili ambazo zilipaswa kuutafsiri Mkataba huo, Serikali ya Zanzibar ndiyo yenye jukumu la kusimamia uchumi wa Zanzibar. Ni vipi Serikali inaweza kusimamia uchumi ikiwa haina mamlaka kwenye fedha na njia za kuzipata fedha hizo?

Kuinyima Serikali ambayo ina jukumu la kusimamia uchumi wa watu wake nguvu za kukopa na kufanya mikataba inayohusiana na fedha na taasisi nyengine ni unyongaji wa makusudi, na kwa bahati mbaya Zanzibar imejikuta katika kitanzi hicho.

Nimeiopoa hapa,
Siasa za Muungano na hatima ya uchumi wa Zanzibar « Zanzibar Daima

Mtei yumo humu jamvini anaweza kutusaidia kujua ukweli nadhani.
 
Mtei yumo humu jamvini anaweza kutusaidia kujua ukweli nadhani.

Nonda ninashukuru kwa maelezo yako. Kama alivyosema mdondoaji kama Mzee Mtei yumo basi tunaomba kusikia kutoka upande wa pili wa shilingi. Ukisoma habari hiyo kutoka Zanzibar daima haitakuchukua muda kugundua kuwa mwandishi ima si professional au ana interest zake. Nasema haya kwasababu kwa mwandishi aliyetaka somo lieleweke hakukuwa na haja ya kutumia maneno ya kashfa au maudhi. Mwandishi ameshindwa kuficha hisia zake. Pia, kumbuka hakuna habari kutoka chombo chote cha Znz nilizowahi kusoma zenye kueleza basi hata kile kizuri ndani ya muungano. Nitatoa mfano, hakuna blog au website au gazeti linaloeleza ni jinsi gani Wznz wapatao 700,000 wanafaidika na ajira, biashara, makazi, ardhi, elimu n.k kwa kuwa ndani ya muungano, huku wakipora nafasi hizo nyingi za ajira kutoka Tanganyika. Leo Wznz wanaoandika mabaya kuhusu muungano wamejazana wizara ya Afya, fedha n.k. Nafasi ya wabara kule visiwani imefungwa na hata wakili wa bara haruhusiwi kufanya kazi Znz. Ni nani kutoka Znz anaeleza haya?. Ndiyo maana ninataka kusikia upande wa pili pia.
Imefika hata wakati waandishi wanawapotosha Wznz kukana mapinduzi yao wenyewe. Mathalani, mwandishi anaposema Okello alitumwa na kanisa kufanya mapinduzi ni kuwasaliti Wznz waliojitoa muhanga kwa mapinduzi akiwemo mzee Mwinyi, Jumbe, Nasoro Moyo, Natepe, Kombo jecha n.k ambao ni waislam.
Lakini pia tunapoongelea bank kuu, tujiulize hivi bank kuu haikuwahi kufanya jema kwa wznz hasa baada ya karafuu kuanguka na katika kipindi cha Komandoo ambacho mishahara na kila kitu kiligharamiwa na Muungano a.k.a Tanganyika?
Hivi si bank kuu iliyotoa $milion 5 kununulia kifaa cha umeme hivi karibuni?hili Mznz gani analiongelea!!

Lakini pia watu wajiulize, je kuwa na Bank kuu kutaisaidiaje Znz? Ieweke kuwa major trade partner of Znz is Tanganyika. It is unfortunate that Znz export is outweighed by import from mainland. This will create a big trade imbalance on Znz side. The strength of proposed Central bank of Znz will largely depend on BoT. I am worried if the move will help Znz iota.

Kwa muktadha huu ninamuomba Mzee wetu Mtei kama unatusoma utufungulie upande wa pili ili tujue mbivu na mbichi.
 
unasema zanzibar inaidai Tanganyika trillions of sh,
je unajua kuwa karibu mishahara yote ya zanzibar inatoka bara?
je unajua kuwa mnatumia umeme wa bure? mnalipiwa na wabara?
je mnajua kuwa hata hao viongozi wenu wanajua kila kitu, kuwa serikali ya zananzibar inategemea kila kitu kujiongoza? ingawa hawataki kuusema ukweli? waulize akina Vuai Nahodha watakuambia.
Manasoma maandishi yaliyoandikwa na watu kwa utashi wao.
Kwa hiyo leo mimi nikiandika kitabu na kukichapisha kuhusu mipaka ya Tanzania, mtaamini?
sio kila kitu kina aminiwa, bali inategemeana sana na mazingira ya mwandishi wa kitabu hicho.
Mda mwingine wanakuwa na chuki mbambali wao kwa wao bila ninyi kujua.
Shossi,

Asante sana hasa katika hii figure hapa niliwahi kumuuliza mheshimiwa mmoja kuwa kwanini Zanzibar inalipwa 4.5% akanijibu nimuulize Nyerere (wakati bado yupo hai). Kuna hii figure hapa nimeiulizia sana BOT inaelekea nyaraka zimefichwa au zimechomwa moto ila hili deni lipo na serikali ya Tanzania ililimaliza hili deni kiubabe:-

Hatimaye walifanikiwa kutekeleza azma yao hiyo na Zanzibar ikawa haina mwakilishi kwenye Bodi ya sarafu. Bahati njema, hesabu na mgao wa faida (dividend) zilibaki kwa jina la Zanzibar na Tanganyika, ingawa ililipwa Serikali ya Muungano wa Tanzania. Haki hiyo ya Zanzibar, ambayo iliwasilishwa kwa Serilkali ya Muungano na kutolipwa Zanzibar, ilifikia zaidi ya (Pauni za Kiingereza) £ 950,000. Pesa nyingi kwa wakati ule. Tanganyika walimega donge nono hilo na kunyamaza kimya huku wakidai mchango wa Zanzibar kwenye shughuli za Muungano.

Je tunaomba waheshimiwa wakanushe hili jambo lipo au halipo? na Tunaomba kujua mchango wa Zanzibar BOT ulikuwa bei gani?

Kimahesabu:-
£950,000 in 1950s excluding interest toka wakati ule mpaka sasa ni kama bei gani?
1£ in 1950 is equivalent to purchasing power yake now is equivalent to £21.
= 950,000 x 21 = £19,950,000 excluding interest?

tuseme Tanganyika ilikuwa na interest ya 0.01 per annum

Zanzibar inawadai serikali ya Tanganyika almost Trilioni Shillings je ziko wapi?
 
Ni kweli Nguruvu kama unavyosema,
hii habari imeandikwa na Mzanzibar na ina kila hali ya kutaka intest zao kama unavyowaona wakitetea vitu wasivyokuwa na uhakika navyo.
Ukifatilia media karibu zote za Zanzibar hutakuta zuri lolote la kutoka Tanganyika, eti wao kila kitu ni kibaya tu? kila kitu wao ni lawama na kulaumu tu?...
Ndio maana sihangai hata viongozi wao wameshawajua mbona wote wako huku bara ? kwa nini wasikae huko kwao kama wanaona ni kubaya?kila siku unalalamika kuwa unanyonywa na bado unakwenda kukaa huko..kwa nini? je hizo allegations ni za ukweli ? hata kama ni za ukweli basi , haiwezekani kila kitu kikawa ni kibaya...yapo mabaya na mazuri pia yapo.
Kuna Hong Kong na Chinese Mainland, ingawa kuna matatizo madogo madogo lakini hata hao wa cantonese(Hong kong) wanajivunia sana kuwa ndani ya China,kuna ile Asia Economic Crisis in 1997 HK ilipata shida na kuteteleka sana kiuchumi na bila China mainland wasinge survive kipindi kile kilikuwa ni kigumu sana kwani kulikuwa na SARS pia ililipuka wakati huo huo.
Wana utofauti lakini wanaheshimiana wote, sababu HK ni kisiwa kidogo sana kinachotegemeana na Mainland kwa utalii, biashara n.k kitu mabcho ni sawa sawa kabisa na Zanzibar.
Wenzetu kila siku wanalalamika tu kuwa wanonewa, wananyonywa....mmh ninyi hamna jema?
Hat tukiwaacha mkajitenga, I bet u kama msipobadilika mtaendelea na hali duni hivyo hivyo kama jinsi mlivyo.
Hata sasa nikiangalia Zanzibar ni kama nchi huru tu, je kuna nini kinachowafanya mshindwe kuendelea? au kubadirisha baadhi ya mambo?
au manadhani mtakapo jitenga ndio mambo mengi yatabadilika? sahauni wala msitegemee mabadiliko ya siku moja.
Kila nchi zilizoendela na zinazoendela kwa kasi dunianai kama China, India, Brazil etc zimekuwa na mipango thabiti wala sio maneno na fitina za bure.
Wanfanya kazi kwa bidii, je zanzibar wanafanya kazi kwa bidii?? tuwe wawazi katika hili wala tusiwe wanafiki?
hata kama wanafanya kazi wanafanya kazi kwa mda wa masaa mnagapi kwa siku? hili ni tatizo hata kwa Tanganyika pia.
Kuna mambo ya kuwekeza katika viwanda ambavyo vitasaidia kuexport kitu ambacho ni cha mhim sana.
Tunaona manalumu tu ooh eti kulikuwa na Karafu ...ooh sijui nini.. hayo ni yaliyopita, cha mhimu kwa sasa ni kuangalia je nini kilichofanya hicho kilimo cha karafu kife?
Tumeona kuwa ZNZ ilikosa ushindani ukilinganisha na Indonesia na nchi zingine, je kama hilo ndilo lililokuwa ni tatizo sasa tatizo liko wapi la kuilaumu Tanganyika au Muungano kwa ujumla? KiLA KITU kina wakati wake(Survival of the fittest) na ni wajanja tu ndio wanaoweza kuendelea kwa kutambua ni nini cha kufanya katika wakati huo.Walitakiwa kutumia njia za kisasa zaidi ili ku-keep demand ya Karafu lakini cha kuchangaza walikaa tu wakitegemea mambo yatakuwa hivyo hivyo kila siku..no..no..that was wrong.
Then who is to be blamed? Tanganyika? or specifically Nyerere, right?
Laiti, kama mngelijua mawazo na nia nzuri ya JKN , msingekuwa mnatoa maneno mabaya kiasi hicho juu yake kuhusu muungano.
Kulikuwa na mambo mengi mno mema , lakini katika kila kitu mabaya au mapungufu huwa hayakosekani.
N ayanapoonekana hayo mapungufu huwa yanatatuliwa.
Lakini tatizo lililopo ni kwamba , wazanz wao eti kila kitu ni kibaya kwao....
Nonda ninashukuru kwa maelezo yako. Kama alivyosema mdondoaji kama Mzee Mtei yumo basi tunaomba kusikia kutoka upande wa pili wa shilingi. Ukisoma habari hiyo kutoka Zanzibar daima haitakuchukua muda kugundua kuwa mwandishi ima si professional au ana interest zake. Nasema haya kwasababu kwa mwandishi aliyetaka somo lieleweke hakukuwa na haja ya kutumia maneno ya kashfa au maudhi. Mwandishi ameshindwa kuficha hisia zake. Pia, kumbuka hakuna habari kutoka chombo chote cha Znz nilizowahi kusoma zenye kueleza basi hata kile kizuri ndani ya muungano. Nitatoa mfano, hakuna blog au website au gazeti linaloeleza ni jinsi gani Wznz wapatao 700,000 wanafaidika na ajira, biashara, makazi, ardhi, elimu n.k kwa kuwa ndani ya muungano, huku wakipora nafasi hizo nyingi za ajira kutoka Tanganyika. Leo Wznz wanaoandika mabaya kuhusu muungano wamejazana wizara ya Afya, fedha n.k. Nafasi ya wabara kule visiwani imefungwa na hata wakili wa bara haruhusiwi kufanya kazi Znz. Ni nani kutoka Znz anaeleza haya?. Ndiyo maana ninataka kusikia upande wa pili pia.
Imefika hata wakati waandishi wanawapotosha Wznz kukana mapinduzi yao wenyewe. Mathalani, mwandishi anaposema Okello alitumwa na kanisa kufanya mapinduzi ni kuwasaliti Wznz waliojitoa muhanga kwa mapinduzi akiwemo mzee Mwinyi, Jumbe, Nasoro Moyo, Natepe, Kombo jecha n.k ambao ni waislam.
Lakini pia tunapoongelea bank kuu, tujiulize hivi bank kuu haikuwahi kufanya jema kwa wznz hasa baada ya karafuu kuanguka na katika kipindi cha Komandoo ambacho mishahara na kila kitu kiligharamiwa na Muungano a.k.a Tanganyika?
Hivi si bank kuu iliyotoa $milion 5 kununulia kifaa cha umeme hivi karibuni?hili Mznz gani analiongelea!!

Lakini pia watu wajiulize, je kuwa na Bank kuu kutaisaidiaje Znz? Ieweke kuwa major trade partner of Znz is Tanganyika. It is unfortunate that Znz export is outweighed by import from mainland. This will create a big trade imbalance on Znz side. The strength of proposed Central bank of Znz will largely depend on BoT. I am worried if the move will help Znz iota.

Kwa muktadha huu ninamuomba Mzee wetu Mtei kama unatusoma utufungulie upande wa pili ili tujue mbivu na mbichi.
 
Nonda ninashukuru kwa maelezo yako. Kama alivyosema mdondoaji kama Mzee Mtei yumo basi tunaomba kusikia kutoka upande wa pili wa shilingi. Ukisoma habari hiyo kutoka Zanzibar daima haitakuchukua muda kugundua kuwa mwandishi ima si professional au ana interest zake. Nasema haya kwasababu kwa mwandishi aliyetaka somo lieleweke hakukuwa na haja ya kutumia maneno ya kashfa au maudhi. Mwandishi ameshindwa kuficha hisia zake. Pia, kumbuka hakuna habari kutoka chombo chote cha Znz nilizowahi kusoma zenye kueleza basi hata kile kizuri ndani ya muungano. Nitatoa mfano, hakuna blog au website au gazeti linaloeleza ni jinsi gani Wznz wapatao 700,000 wanafaidika na ajira, biashara, makazi, ardhi, elimu n.k kwa kuwa ndani ya muungano, huku wakipora nafasi hizo nyingi za ajira kutoka Tanganyika. Leo Wznz wanaoandika mabaya kuhusu muungano wamejazana wizara ya Afya, fedha n.k. Nafasi ya wabara kule visiwani imefungwa na hata wakili wa bara haruhusiwi kufanya kazi Znz. Ni nani kutoka Znz anaeleza haya?. Ndiyo maana ninataka kusikia upande wa pili pia.
Imefika hata wakati waandishi wanawapotosha Wznz kukana mapinduzi yao wenyewe. Mathalani, mwandishi anaposema Okello alitumwa na kanisa kufanya mapinduzi ni kuwasaliti Wznz waliojitoa muhanga kwa mapinduzi akiwemo mzee Mwinyi, Jumbe, Nasoro Moyo, Natepe, Kombo jecha n.k ambao ni waislam.
Lakini pia tunapoongelea bank kuu, tujiulize hivi bank kuu haikuwahi kufanya jema kwa wznz hasa baada ya karafuu kuanguka na katika kipindi cha Komandoo ambacho mishahara na kila kitu kiligharamiwa na Muungano a.k.a Tanganyika?
Hivi si bank kuu iliyotoa $milion 5 kununulia kifaa cha umeme hivi karibuni?hili Mznz gani analiongelea!!

Lakini pia watu wajiulize, je kuwa na Bank kuu kutaisaidiaje Znz? Ieweke kuwa major trade partner of Znz is Tanganyika. It is unfortunate that Znz export is outweighed by import from mainland. This will create a big trade imbalance on Znz side. The strength of proposed Central bank of Znz will largely depend on BoT. I am worried if the move will help Znz iota.

Kwa muktadha huu ninamuomba Mzee wetu Mtei kama unatusoma utufungulie upande wa pili ili tujue mbivu na mbichi.

Mkuu,
Kweli Mzee Mtei amewekewa tuhuma nzito kwenya hiyo mada.Tunakuomba Mzee Mtei utusaidie kupata ukweli wa upande wako.
Nguvuri3, hayo ya kuona globu inayosifia muungano sio kwa wazanzibari tu. Hata za kwetu hakuna inayosifia wazanzibari. Tunawaona ni kero tu au watoto watundu.

Kuna hoja ya Zanzibar ni kisiwa kidogo, kiardhi na rasilimali kulinganisha na Tanganyika..kwa hili siwatetei lakini pitia uhusiano wa Hong Kong na Mainland China katika policy ya ukaazi wa watu kutoka mainland China kukaa Hong Kong. Ukiilewa hiyo haitakupa tabu kufahamu kuwa Zanzibar wanahitaji kitu kama hicho au Zanzibar itageuka Mwanza au Dodoma kwa haraka. Sifikirii kama sisi tunataka iwe hivyo.

Faida moja kubwa ya Muungano kwa Tanganyika ni kutumia mamlaka ya Serikali ya muungano kwa kila kitu cha Tanganyika hii sisi wenyewe hatulitaji jambo hili wala hatuoni kuwa ni faida,wakati Zanzibar inawapasa kupitia Serikali ya Muungano.

Faida ya Pili kubwa ni kuwa Muungano umesaidia sana Tanganyika isimeguke vipande vipande, imesaidia kuuvunja nguvu ukabila na udini.
Kuna member alileta mada inayoonyesha kuwa wabunge wazanzibari wameziba pengo la kuonekana kuwa wabunge waislamu wanaotoka Tanganyika ni kidogo. Ingawaje mada hiyo ilipata ratings ndogo na majibu ya kiaina lakini kuna ukweli ndani yake..lakini hapa nakusudia kuonesha kuwa muungano na uwepo wa wabunge kutoka Zanzibar kumefunika kombe hilo.

Ukweli utabaki kuwa viongozi wetu kutoka Tanganyika hawajaitumia vizuri hii fursa ya Muungano kufanya wananchi wa sehemu zote mbili kuona manufaa na tija ya Muungano kiuchumi na hivyo kufanya longo longo yote ya muungano wetu ni mfano duniani kuwa ni kichekesho.
Muungano ungesaidia sana katika kuinua hali za wananchi wa sehemu zote kama rasilimali zingetumika kuelekeza maendeleo kwa wananchi.

Zanzibar walipata utulivu kupitia muungano baada ya mapinduzi na Tanganyika tulipata mshikamano kama taifa. badala ya kuvitumia vitu hivi tulianza siasa za kuimeza zanzibar na ufisadi. vile vita vya Kagera ndio ilikuwa nail in the coffin kwa Tanganyika na Zanzibar pia. Zanzibar kupitia Jumbe walimaliza hazina yao. Jumbe alitegemea atakuwa Rais wa TZ, haikuwa hivyo.Yaliyompata unayajua.
 
Nonda ninashukuru kwa maelezo yako. Kama alivyosema mdondoaji kama Mzee Mtei yumo basi tunaomba kusikia kutoka upande wa pili wa shilingi. Ukisoma habari hiyo kutoka Zanzibar daima haitakuchukua muda kugundua kuwa mwandishi ima si professional au ana interest zake. Nasema haya kwasababu kwa mwandishi aliyetaka somo lieleweke hakukuwa na haja ya kutumia maneno ya kashfa au maudhi. Mwandishi ameshindwa kuficha hisia zake. Pia, kumbuka hakuna habari kutoka chombo chote cha Znz nilizowahi kusoma zenye kueleza basi hata kile kizuri ndani ya muungano. Nitatoa mfano, hakuna blog au website au gazeti linaloeleza ni jinsi gani Wznz wapatao 700,000 wanafaidika na ajira, biashara, makazi, ardhi, elimu n.k kwa kuwa ndani ya muungano, huku wakipora nafasi hizo nyingi za ajira kutoka Tanganyika. Leo Wznz wanaoandika mabaya kuhusu muungano wamejazana wizara ya Afya, fedha n.k. Nafasi ya wabara kule visiwani imefungwa na hata wakili wa bara haruhusiwi kufanya kazi Znz. Ni nani kutoka Znz anaeleza haya?. Ndiyo maana ninataka kusikia upande wa pili pia.
Imefika hata wakati waandishi wanawapotosha Wznz kukana mapinduzi yao wenyewe. Mathalani, mwandishi anaposema Okello alitumwa na kanisa kufanya mapinduzi ni kuwasaliti Wznz waliojitoa muhanga kwa mapinduzi akiwemo mzee Mwinyi, Jumbe, Nasoro Moyo, Natepe, Kombo jecha n.k ambao ni waislam.
Lakini pia tunapoongelea bank kuu, tujiulize hivi bank kuu haikuwahi kufanya jema kwa wznz hasa baada ya karafuu kuanguka na katika kipindi cha Komandoo ambacho mishahara na kila kitu kiligharamiwa na Muungano a.k.a Tanganyika?
Hivi si bank kuu iliyotoa $milion 5 kununulia kifaa cha umeme hivi karibuni?hili Mznz gani analiongelea!!

Lakini pia watu wajiulize, je kuwa na Bank kuu kutaisaidiaje Znz? Ieweke kuwa major trade partner of Znz is Tanganyika. It is unfortunate that Znz export is outweighed by import from mainland. This will create a big trade imbalance on Znz side. The strength of proposed Central bank of Znz will largely depend on BoT. I am worried if the move will help Znz iota.

Kwa muktadha huu ninamuomba Mzee wetu Mtei kama unatusoma utufungulie upande wa pili ili tujue mbivu na mbichi.

Mkuu,

Kabla hujayasifia mapinduzi soma kwanza asili ya mapinduzi ni nini? Kuna wanahistoria na researcher wengi wa ulaya wamesema kuwa mapinduzi ya zanzibar hayakuwa yamelenga kumkomboa mwafrika bali wivu wa kimaendeleo kwa vile waliona waafrika wachache walikuwa wakimiliki rasilimali. Hilo ndio lilichangia kujengeka chuki ndani ya jamii. Professor G.Thomas Burgess namnukuu alisema maneno haya:-
"John Okello hatred's against arab as oppressors of Africans is loud and clear" ( Kitabu cha Race, Revolution and The struggle for human rights, 2009).

Pia soma kitabu hichi kinazungumza chanzo cha mapinduzi ya Zanzibar,

According to the official Zanzibari history, the revolution was planned and headed by the ASP leader Abeid Amani Karume.[2] However, at the time Karume was on the African mainland as was the leader of the banned Umma Party, Abdulrahman Muhammad Babu.[19] The ASP branch secretary for Pemba, Ugandan-born ex-policeman John Okello, had sent Karume to the mainland to ensure his safety.[19][1] Okello had arrived in Zanzibar from Kenya in 1959,[8] claiming to have been a field marshal for the Kenyan rebels during the Mau Mau Uprising, although he actually had no military experience.[1] He maintained that he heard a voice commanding him, as a Christian, to free the Zanzibari people from the Arabs,[8] and it was Okello who led the revolutionaries-mainly unemployed members of the Afro-Shirazi Youth League-on 12 January.[2][13] One commentator has further speculated that it was probably Okello, with the Youth League, who planned the revolution.[2]

(Speller, Ian, (2007) An African Cuba? Britain and the Zanzibar Revolution, 1964. Journal of Imperial and Commonwealth History, 35 (2). pp. 1-35.)

Mkuu ungelitazama vile vile upande wa pili wa shillingi ukweli ufahamike uko wapi.
 
unasema zanzibar inaidai Tanganyika trillions of sh,
je unajua kuwa karibu mishahara yote ya zanzibar inatoka bara?
je unajua kuwa mnatumia umeme wa bure? mnalipiwa na wabara?
je mnajua kuwa hata hao viongozi wenu wanajua kila kitu, kuwa serikali ya zananzibar inategemea kila kitu kujiongoza? ingawa hawataki kuusema ukweli? waulize akina Vuai Nahodha watakuambia.

Manasoma maandishi yaliyoandikwa na watu kwa utashi wao.
Kwa hiyo leo mimi nikiandika kitabu na kukichapisha kuhusu mipaka ya Tanzania, mtaamini?
sio kila kitu kina aminiwa, bali inategemeana sana na mazingira ya mwandishi wa kitabu hicho.
Mda mwingine wanakuwa na chuki mbambali wao kwa wao bila ninyi kujua.

Hapa nadhani ndugu unakosea Wazanzibar wananunua umeme kutoka Tanesco fatilia utajua ni vp wananunua.

Kuhusu serikali wanaendeshwa na fedha za Muungano nikuulize zile kodi wanazokusanya kule zanzibar zinaenda wapi? Na mbona basi TRA haiwaaachi wazanzibari wakakusanya kodi zao kupitia ZRB badala yake wafanyabiashara Zanzibar wanalipa kodi TRA ikisha wanalipa kodi ZRB ndio maana biashara zinakufa kila siku zanzibar hizi kodi mbili za nini?

Vile vile ni ajabu unasema wazanzibar wanawategemea kwa kila kitu wakati wenyewe hawatutaki wewe mtu anayekulisha na kukuvisha utamnunia utakuwa mtu wa ajabu sana duniani. Haingii akilini kabisa.

Hilo deni lipo mkuu ila kila unayemuuliza BOT anabakia kukuyeyusha na kupoteza muda wako ila time will tell
 
Nonda ninashukuru kwa maelezo yako. Kama alivyosema mdondoaji kama Mzee Mtei yumo basi tunaomba kusikia kutoka upande wa pili wa shilingi. Ukisoma habari hiyo kutoka Zanzibar daima haitakuchukua muda kugundua kuwa mwandishi ima si professional au ana interest zake. Nasema haya kwasababu kwa mwandishi aliyetaka somo lieleweke hakukuwa na haja ya kutumia maneno ya kashfa au maudhi. Mwandishi ameshindwa kuficha hisia zake. Pia, kumbuka hakuna habari kutoka chombo chote cha Znz nilizowahi kusoma zenye kueleza basi hata kile kizuri ndani ya muungano. Nitatoa mfano, hakuna blog au website au gazeti linaloeleza ni jinsi gani Wznz wapatao 700,000 wanafaidika na ajira, biashara, makazi, ardhi, elimu n.k kwa kuwa ndani ya muungano, huku wakipora nafasi hizo nyingi za ajira kutoka Tanganyika. Leo Wznz wanaoandika mabaya kuhusu muungano wamejazana wizara ya Afya, fedha n.k. Nafasi ya wabara kule visiwani imefungwa na hata wakili wa bara haruhusiwi kufanya kazi Znz. Ni nani kutoka Znz anaeleza haya?. Ndiyo maana ninataka kusikia upande wa pili pia.
Imefika hata wakati waandishi wanawapotosha Wznz kukana mapinduzi yao wenyewe. Mathalani, mwandishi anaposema Okello alitumwa na kanisa kufanya mapinduzi ni kuwasaliti Wznz waliojitoa muhanga kwa mapinduzi akiwemo mzee Mwinyi, Jumbe, Nasoro Moyo, Natepe, Kombo jecha n.k ambao ni waislam.
Lakini pia tunapoongelea bank kuu, tujiulize hivi bank kuu haikuwahi kufanya jema kwa wznz hasa baada ya karafuu kuanguka na katika kipindi cha Komandoo ambacho mishahara na kila kitu kiligharamiwa na Muungano a.k.a Tanganyika?
Hivi si bank kuu iliyotoa $milion 5 kununulia kifaa cha umeme hivi karibuni?hili Mznz gani analiongelea!!

Lakini pia watu wajiulize, je kuwa na Bank kuu kutaisaidiaje Znz? Ieweke kuwa major trade partner of Znz is Tanganyika. It is unfortunate that Znz export is outweighed by import from mainland. This will create a big trade imbalance on Znz side. The strength of proposed Central bank of Znz will largely depend on BoT. I am worried if the move will help Znz iota.

Kwa muktadha huu ninamuomba Mzee wetu Mtei kama unatusoma utufungulie upande wa pili ili tujue mbivu na mbichi.

Nguruvi umenena Mzee Mtei atusaidie sisi Watanganyika tujue kama tunadaiwa au tunawadai?
 
Mkuu,

Kabla hujayasifia mapinduzi soma kwanza asili ya mapinduzi ni nini? Kuna wanahistoria na researcher wengi wa ulaya wamesema kuwa mapinduzi ya zanzibar hayakuwa yamelenga kumkomboa mwafrika bali wivu wa kimaendeleo kwa vile waliona waafrika wachache walikuwa wakimiliki rasilimali. Hilo ndio lilichangia kujengeka chuki ndani ya jamii. Professor G.Thomas Burgess namnukuu alisema maneno haya:-
"John Okello hatred's against arab as oppressors of Africans is loud and clear" ( Kitabu cha Race, Revolution and The struggle for human rights, 2009).

Pia soma kitabu hichi kinazungumza chanzo cha mapinduzi ya Zanzibar,

According to the official Zanzibari history, the revolution was planned and headed by the ASP leader Abeid Amani Karume.[2] However, at the time Karume was on the African mainland as was the leader of the banned Umma Party, Abdulrahman Muhammad Babu.[19] The ASP branch secretary for Pemba, Ugandan-born ex-policeman John Okello, had sent Karume to the mainland to ensure his safety.[19][1] Okello had arrived in Zanzibar from Kenya in 1959,[8] claiming to have been a field marshal for the Kenyan rebels during the Mau Mau Uprising, although he actually had no military experience.[1] He maintained that he heard a voice commanding him, as a Christian, to free the Zanzibari people from the Arabs,[8] and it was Okello who led the revolutionaries-mainly unemployed members of the Afro-Shirazi Youth League-on 12 January.[2][13] One commentator has further speculated that it was probably Okello, with the Youth League, who planned the revolution.[2]

(Speller, Ian, (2007) An African Cuba? Britain and the Zanzibar Revolution, 1964. Journal of Imperial and Commonwealth History, 35 (2). pp. 1-35.)

Mkuu ungelitazama vile vile upande wa pili wa shillingi ukweli ufahamike uko wapi.

Ninawashukuru wote manaochangia.
Kama nukuu inavyoonekana hapo juu ni wazi kuwa Wznz leo hawatambui mapinduzi yao wenyewe kwasababu Okello alishiriki. Wao walikuwa tayari kuwa chini ya mwarabu ili wawe sehemu ya Arab ambayo pengine ni bora kuliko wao kuwa Afrika.

Waziri wa Fedha Mramba, alishawahi kusema bungeni, Znz tunaidai billion 20 kwa umeme (cumulative) na kwamba makubaliano yamefanywa serikali ya muungano ilipe. (Muulizeni waziri kiongozi wakti huo Gharibu Bilal).
TRA hawakusanyi kodi Znz, ZRB ndio wanokusanya. Kodi ya TRA kwa Tanganyika peke yake ni bilion 450 kwa mwezi, sawa na bajeti ya Znz kwa mwaka, sasa nani atamkamua Ng'ombe asiye na maziwa?.
Kodi inayokusanywa kampuni ya Bia Tanzania kwa mwezi ni kubwa kuliko kodi nzima ya Zanz kwa mwezi. Ni kutofikiri pale mtu anaposema TRA inakwenda Znz kudhulumu.

Wznz wote wanasoma bara kwa gharama za Tanganyika. Maalimu Seif nishahidi. Wote niliosoma nao wapo Dar es salaam wanafanya kazi, lakini ndio hao hao wanaosema hawataki muungano. C'mon nendeni kwenu kwanza mkadai haki mkiwa Zanzibar.

Wabunge wote wa Zanzibar wanalipwa mishahara na Tanganyika, tena bila lolote la maana wanalolifanya kwa Tanganyika maana bunge la muungano haliwahusu. Mbunge wa Znz ndani ya JMT anawakilisha watu 10,000 sawa na wakazi wa wa kata ya mzimuni Dar. lakini bado tunawalipa na hatupigi kelele.

Mimi nadhani wazanzibar waache kusikia hadithi, kwenye mijadala kama hii waje na data. Nimeishi Zanz nafahamu tatizo ni elimu, huu ni ukweli. Leo andika makala isambaze Znz kuwa Saudi Arabia imeichukua ZNZ kama wilaya yake, pita kwenye vijiwe vya kahawa hiyo ndiyo itakuwa mada kuu. Unachotakiwa ni kuchomeka fitna kidogo tu moto unawaka. Ndio maana siku zote huwa nasema if you think education is expensive try ignorance
 
Ninawashukuru wote manaochangia.
Kama nukuu inavyoonekana hapo juu ni wazi kuwa Wznz leo hawatambui mapinduzi yao wenyewe kwasababu Okello alishiriki. Wao walikuwa tayari kuwa chini ya mwarabu ili wawe sehemu ya Arab ambayo pengine ni bora kuliko wao kuwa Afrika.

Waziri wa Fedha Mramba, alishawahi kusema bungeni, Znz tunaidai billion 20 kwa umeme (cumulative) na kwamba makubaliano yamefanywa serikali ya muungano ilipe. (Muulizeni waziri kiongozi wakti huo Gharibu Bilal).
TRA hawakusanyi kodi Znz, ZRB ndio wanokusanya. Kodi ya TRA kwa Tanganyika peke yake ni bilion 450 kwa mwezi, sawa na bajeti ya Znz kwa mwaka, sasa nani atamkamua Ng'ombe asiye na maziwa?.
Kodi inayokusanywa kampuni ya Bia Tanzania kwa mwezi ni kubwa kuliko kodi nzima ya Zanz kwa mwezi. Ni kutofikiri pale mtu anaposema TRA inakwenda Znz kudhulumu.

Wznz wote wanasoma bara kwa gharama za Tanganyika. Maalimu Seif nishahidi. Wote niliosoma nao wapo Dar es salaam wanafanya kazi, lakini ndio hao hao wanaosema hawataki muungano. C'mon nendeni kwenu kwanza mkadai haki mkiwa Zanzibar.

Wabunge wote wa Zanzibar wanalipwa mishahara na Tanganyika, tena bila lolote la maana wanalolifanya kwa Tanganyika maana bunge la muungano haliwahusu. Mbunge wa Znz ndani ya JMT anawakilisha watu 10,000 sawa na wakazi wa wa kata ya mzimuni Dar. lakini bado tunawalipa na hatupigi kelele.

Mimi nadhani wazanzibar waache kusikia hadithi, kwenye mijadala kama hii waje na data. Nimeishi Zanz nafahamu tatizo ni elimu, huu ni ukweli. Leo andika makala isambaze Znz kuwa Saudi Arabia imeichukua ZNZ kama wilaya yake, pita kwenye vijiwe vya kahawa hiyo ndiyo itakuwa mada kuu. Unachotakiwa ni kuchomeka fitna kidogo tu moto unawaka. Ndio maana siku zote huwa nasema if you think education is expensive try ignorance

Mkuu,

You are misleading people na mie ninao ushahidi kuwa TRA wanakusanya kodi na mfano mdogo ni gari unazoingiza Zanzibar pesa inalipwa TRA na sio ZRB sasa nikuulize wanafanya nini hapo? Ukimiliki hoteli zanzibar kuna kodi unalipa TRA na nyengine unalipa ZRB nikuulize pale TRA inafanya nini? Kuhusisha na TRA kukusanya kodi Billioni 450 mie naona kama unatoka nje ya mada swali ni kwamba TRA inafanya nini zanzibar? Huo ni wizi wa mchana kwani kama wazanzibar wanainyonya Tanzania Bara basi wangelitoka kwanza wale wakusanyaji kodi Zanzibar ili wazanzibari wakusanye kodi wenyewe hapo.

Tuje katika deni la Umeme unasema Basil Mramba alisema hilo jambo lakini linajicontradict na statement aliyoitoa Dr Idrissa akisema zanzibar ni walipaji wazuri na kuna wadaiwa sugu kama wizara za muungano zinazosababisha shirika lishindwe kujiendesha kibiashara sasa nimuamini waziri au nimuamini Mkurugenzi mkuu wa Tanesco?

Kudai kuwa wazanzibari hawajasoma ni typical stereotype baadhi ya ndugu zangu wa Tanganyika wanazo kujiona wao wamesoma sana kumbe hamna kitu. Kuna wazanzibar wasomi wengi ila kutokana na mazingira ya maisha zanzibar huamua kukimbia nchi na kwenda kutafuta maisha nchi za nje fanya tafiti wazanzibari wangapi wanajua kusoma na kuandika na watanganyika wangapi wanajua kusoma na kuandika utapigwa na mshangao mkuu. Usiwadharau wazanzibari kwanza kabla hujachungulia wewe mwenyewe uko vp.

Kiufupi mie nasimamia msimamo wangu kuwa Tanganyika wanawatawala wazanzibari.
 
Kuna tatizo gani TRA kuwepo Znz! nadhani ungeenda mbali zaidi ungebaini kuwa hata kama wapo kule bado uhalali upo. Kwanza Wznz 700,000 wanaoishi bara wanatumia resources na infrastructure za Tanganyika. Wznz wanaosoma bara wanalipiwa na serikali ya Tanganyika, hata kama watajilipia wenyewe basi hawalipi kama foreigners na hii ni sehemu ya rasilimali za bara. Wznz wanaofanya kazi bara wanatumia resources za Tanganyika ikiwa ni pamoja na kulipwa marupu rupu ya kustaafu kwa gharma za Tanganyika. Umeme unawashwa bure Znz ni sehemu ya rasilimali za Tanganyika. Mishahara inayotoka Tanganyika kwenda Znz ni sehemu ya rasilimali za Tanganyika. Lakini la muhimu zaidi ni kuwa TRA kama wanakusanya hizo pesa ni kwasababu Znz wanataka kukusanya kodi halafu waingize vitu bara bila kulipa kodi kwa mgongo wa serikali ya muungano.
Ushahidi, Znz ilipotaka bandari huru wakaambiwa waendelee na bandari huru yao. Wakaanza kuingiza bidhaa ZNZ halafu wanazileta bara kwa mgongo wa Tanzania a.k.a muungano. TRA wakaweka ngumu baada ya kugundua janja hiyo, Znz wakalalmika ndani ya baraza la uwakilishi eti kwanini nchi moja tuwe n kodi mara mbili. Linapokuja suala la wznz kunufaika muungano upo, lakini wao hawataki muungano wakinufaika peke yao.
Niliposema kodi bilion 450 sikuwa na maana ya kutoka nje ya mada, nilitaka kutoa data kuwa kwa bajeti ya billion 500 kwa mwaka (ZNZ), na kodi ya sh billion 450 kwa mwezi, basi ni wendawazimu kwenda kukamua ng'ombe asiye na maziwa.!!!
TRA kama wapo ni kwasabau ZNZ wanataka kutumia Tanganyika kama uchochoro, yaani wakusanye pesa kwa bidhaa zinazoingia bara bila kodi, na zingine ziende nchi jirani kwa kutumia infrastructure za Tanganyika eti kwa vile tuna muungano.

Kuhusu umeme ninakuhakikishia kuwa Mohamed Gharibu BILAL anaweza kuwa shahidi kuwa deni la Billion 20 halikulipwa na ZNZ lilifunikwa kwa mgongo wa muungano. Mramba kama anasoma hapa ni shahidi pia. Lakini pia uelewe kuwa umeme unaokwenda ZNZ hauna mgao hata kama Tanganyika wana mgao! haulipiwi dollar bali Tshs.
Elewe kuwa hata kama ZRB watakuwa wanakusanya kodi, soko la bidhaa lipo bara, kwahiyo TRA wakiweka kizuizi kidogo tu, hakuna biashara Znz.

Nina amini kwa dhati kabisa kuwa Znz kuna wasomi, lakini unapokuwa na watu 100 waliosoma sana, halafu ukawa na laki 6 wasiojitambua, sijui unawekaje kwenye mizani. Kumbuka kuwa viwango vya kujiunga na vyuo kwa wanafunzi wa ZNZ ni ''maalumu'', na hupewa kipaumbele kwa viwango hivyo vidogo katika vyuo vya Tanganyika. Mwanafunzi wa Tanganyika anaweza kunyimwa nafasi ikapewa Mznz hata kama kiwango cha ufaulu ni kidogo sana.
Pamoja na hoja hiyo, hii pia inaonyesha jinsi gani Znz wanavyofaidika na muungano.
 
Joka Kuu,

Kwanza naomba usahihishe kauli yako wazanzibari hawakufanya bad economic decisions but rather bad political decisions. Hii ni kwasababu ukisoma historical data za Zanzibar zilikuwa zinaonyesha uchumi wa zanzibar ulikuwa imara na stable before Muungano wa zanzibar na Tanganyika. Kilichotokea kila mtu anajua. Kuna reference mbali mbali zinasupport ninachokisema mfano:-

In Zanzibar and its sister island, Pemba, the little buds are big business. But annual clove sales here have plummeted by 80% since the 1970s. The semi-autonomous islands, which merged with mainland Tanganyika in 1964 to form Tanzania, were once the world's largest producers of cloves, but now rank a distant third in a market dominated by Indonesia, which supplies 75%, compared with Zanzibar's 7%.

(Edmund Sanders, 2005 LA Times)

Na anaelezea sababu za kuanguka kwa uzalishaji ni:-

Zanzibar's clove industry has been crippled by a fast-moving global market, international competition and a hangover from Tanzania's failed experiment with socialism in the 1960s and '70s, when the government controlled clove prices and exports.
pixel.gif

(Edmund, 2005)

Therefore, utaona kuwa kilichochangia kuanguka uchumi wa Zanzibar ni political miscalculations walizozitumia na sababu zinaeleweka kwanini Karume aliikubali usocialism kwani alijua the only way he can stay in power ni kuungana na Nyerere.

Kusema uchumi wa zanzibar utanyanyuka vp niliwahi kuwaambia nyuma hawa ndugu zetu wakiamua kujitoa tutawalilia na sasa ngoja nikufafanulie kauli yangu:-

1. Kwanza mipaka ya zanzibar ilinyang'anywa na waingereza wakati wa British Protectorate. Zanzibar ilikuwa ni visiwa na umbali wa Kilometa 10 mainland kuanzia Lamu mpaka msumbiji. Ndio maana mihimili ya uchumi wa zanzibar ilikuwa biashara , bandari na slave trade (enzi hizo ilikuwa a booming sector na hata waingereza na wamarekani walikuwa wakiifanya). Nilisoma kitabu fulani kuna sufficient grounds za kuweza kulifikisha suala la zanzibar mahakamani kama wakitaka na ndio maana Tanzania na Kenya hawataki zanzibar ijitenge mpaka kesho. Zaidi soma haya maelezo:-

After World War I, GERMAN EAST AFRICA, now named Tanganyika, as a B mandate of the LEAGUE OF NATIONS, was granted to Britain. Little changed on Zanzibar, which continuously was treated as a British protectorate.
There was no British attempt to settle the island. The island, having lost it's economic hinterland in 1886 - the mainland ports of Mombasa (Kenya) and Daressalaam (Tanganyika) had taken over the port functions for these areas - now depended on it's main export product, cloves.
In 1926, a LEGISLATIVE ASSEMBLY was introduced which took over the function of the advisory council. The laws of Zanzibar (based on Islamic law, new decrees influenced by British law) were first codified in 1922.
British residents : 1930-1937 Sir R.S. Rankine, 1937-1940 Sir J.H. Hall. According to a census undertaken in 1931, the population of Zanzibar and Pemba combined was 250,000, of them 199,750 Africans, 34,000 Arabs, 16,000 Indians, 250 Europeans.
Until 1936 the Indian rupee, the Omani pice and Zanzibar currency board coins were simultaneously used. In 1936 Zanzibar joined the EAST AFRICAN CURRENCY BASIN, the standard coin being the East African Shilling. Zanzibar and Pemba continued to dominate world CLOVE production.


(World History Korean Minjkok Leadership Academy).


Sasa jiulize mwaka 1886 kulikuwa na kitu gani?Heligoland treaty ambayo walifanya Waingereza na Wajerumani bila ya kumshirikisha Kiongozi wa zanzibar aliyekuwa Sultan Bargrash. Tena kuna mwanasheria mmoja wa International laws aliwahi kunambia kama wazanzibar wanataka wanashinda hiyo kesi kwa muda mfupi kwani vigezo vingi viko clear kabisa na hakuna jinsi ya kupinga from both Kenya, Tanzania na Msumbiji. Ukitaka ramani hiyo click link hapo chini:-

Unimaps.com - Tanganyika & Zanzibar, 1886



2. Pili zanzibar wana kipi cha kuzalisha, kwanza kaa ukijua Zanzibar ya sasa wakiamua kwenda kivyao na wakarudishiwa ukanda wa pwani inamaana uchumi wa zanzibar utakuwa na bandari kuu tatu Mombasa, Dar na Tanga (hicho kitakuwa chanzo kimoja kikuu ukijumuisha na bandari ya zanzibar). Vilevile wakiweza kulinyanyua zao la karafuu litaongeza pato la zanzibar , Utalii ni sekta nyengine inayokuwa kwa kasi sana (ndio maana uchumi za zanzibar unakuwa mara mbili ya Tanganyika sasa hivi), Mafuta nayo sekta nyengine mama. Sasa mkuu hembu nikuulize hivi vyanzo havitoshi wao kujikwamua???
Huha
 
Back
Top Bottom