Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Mie nilimsikia waziri mmoja akisema wanatenga eneo la bandari huru ila nahisi ni siasa tu!!!
Kama wenyewe watajiamulia kama walivyo jiamulia kumaliza matatizo yao ya kisiasa basi wataweza ila wakisubiri waamuliwe Dodoma hiyo wasahau........