Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Sijui kwanini hii tamthilia haiishi manake tangu wakati ule naangalia tv kwa mwenyekiti wa kijiji mpaka leo namiliki tv yangu bado imo. Wadau hebu mnijuze hapo imekaa je.
.hiyo huwa haishii kama kande.
.hii ni tamthilia ya maisha ya kila siku ndio maana iko hivyo..
mkuu niliulizaga swali hili humu ndani nikaishia kupewa madongo,mie inaniboaa basi tu.Sijui kwanini hii tamthilia haiishi manake tangu wakati ule naangalia tv kwa mwenyekiti wa kijiji mpaka leo namiliki tv yangu bado imo. Wadau hebu mnijuze hapo imekaa je.
.mkuu niliulizaga swali hili humu ndani nikaishia kupewa madongo,mie inaniboaa basi tu.
.
Una utani na wapare
Hahahaha! Wana jazba kisa nini?.
Vitu vingine unapotezea tu mkuu. Si unajua wengine humu ni wale wa chama cha mkuu wa kaya wanakua na jazba kila wakati..
Hivi imeizidi THE BOLD AND THE BEAUTIFUL!??