Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
............... hakuna mbaya utakuwa unaniomba lifti kwenda kazini au kumsindikiza mkweo stand ubungo!................Afu Utapanga Kwangu...........
..............sijaoa............sina kazi (misheni tauni) ...............una mke??..............nitakuwa nabaki naye..........tch tch tch............... hakuna mbaya utakuwa unaniomba lifti kwenda kazini au kumsindikiza mkweo stand ubungo!
Geka unachati na mjombao nakujua tangu wakati nakulea umedanganya kadamnasiMimi ni mkunga mwanaume, ila kwa sasa nafanya kazi ya udalali wa viwanja, bahati nzuri GF wangu alishazunguka sana na kaamua kutulia kwangu, hawezi kubabaishwa na kijumba chako. Mwenyewe nillmpata baada ya kuwa ameachika kwa bwana mwenye ghorofa so nini kijumba