Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
SEMA WEWE MREMBO jamani sijui nikutongozee humu au nikufate PM??Huyo Jackline mwenyewe kachokaaaaaa. Sura imekomaa kama amemeza kokoto
SEMA WEWE MREMBO jamani sijui nikutongozee humu au nikufate PM??Huyo Jackline mwenyewe kachokaaaaaa. Sura imekomaa kama amemeza kokoto
Mzee wetu anapumzika baada ya kazi nzito
Safi sana. Wengine tunakula kwa macho
Acha vivu mwezako anakula uzee
Make money if you want to enjoy life after 60 yrs
Kwanini asile vitu vizuri bhana?
Kwani anapasua mawe juani?
Naam ujumbe mujarab
Nasema hivii?
vijana bado mna muda mwingi wa kufanya kazi na kusaka mahelaa.
Harafu Ana mimba nyingine,babu Mengi anatupia tu,Safi Sana.
Haya ndiyo maisha. Tufanye kazi kwa werevu ili tuishi maisha mazuri baadae.uwongo mbaya.....jackpot bingo kwa wote wawili! lol
Ana uhakika mimba zake?Harafu Ana mimba nyingine,babu Mengi anatupia tu,Safi Sana.
Maneno ya mkosaji..Huyu babu si apumzike tu. Au anataka kufia kifuani
Jane unaona wivuHuyo Jackline mwenyewe kachokaaaaaa. Sura imekomaa kama amemeza kokoto
Jane kama kweli hii Avatar ni yako basi unamzidi Jackline kwa mbali sana.Ila kama sio sura yako mwenyewe basi utakuwa wivu mkuu.Huyo Jackline mwenyewe kachokaaaaaa. Sura imekomaa kama amemeza kokoto
Jane una haki ya kumponda jackline maana hakika u mrembo bibie.Vipi wewe kama mzee Bakhressa akikuhitaji uwe wife upo tayari?Ana uhakika mimba zake?
Mkosaji? Kwa kipi alichonacho hicho kibabu?Maneno ya mkosaji..
pesaMkosaji? Kwa kipi alichonacho hicho kibabu?
Jane pesa sabuni ya roho JaneMkosaji? Kwa kipi alichonacho hicho kibabu?
Best ulipotea. Sijakuona online kwa siku kadhaa...Huyu babu si apumzike tu. Au anataka kufia kifuani
Umeona eeeh. Yaani kavurugwa si kidogohuyu babu hana aibu aisee,hivi anaweza kukaa na wazee wenzake kwenye shughuli mbalimbali akiwa na hako ka binti?
HayakuhusuKifuani hafi, ila mh mjukuu wake huyo binti
Mbona wewe unachangia yanakuhusu si unyamaze tuHayakuhusu