CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Kuna katabia ambako nimeshindwà kukaacha... mf. nikiwa kwenye public tranport nikamwona mtu yuko busy anachat lazima na mie nitatoa kimchina changu nitatuma sms. kama cna salio nitasoma sms zilizopo kwenye inbox ama sent item.km anaongea nami nitapiga simu ama kubeep. dah smtime hadi najichukia. nyingine nikiona mtu anakunywa maji na mie huhisi kiu kama kuna maji karibu nami nitakunywa. nyingine kama mtu akinambia anakwenda haja nami hutaka kwenda hata km cjabanwa! je wewe huwa inakutokea???nawezaje kuach
https://www.jamiiforums.com/members/beibe-nasty.html
https://www.jamiiforums.com/members/beibe-nasty.html