umeshawahi kulala ukaamka ucku ukakuta nje hakupo?
JAMANI EE! Hamlali? Mnachangia mpaka ucku mnene.
Hebu Spika nipe mwongozo,
Maana mimi Dooh! Nikiegesha ubavu kwenye godoro tu,hapoho kitu kinayeya,labda ninywe Piriton ndo na-ChitChat night.
Nijuzeni...!
Wewe utakuwa waishi na wazazi au kwa Shemeji yako, chakula ya bure mawazo ya kazi gani Bwana!
Muwe mnakula msosi wa kutosha before kuvuta bhange jamani! Mtadata!
Hahahah hahaha hahahha,Muwe mnakula msosi wa kutosha before kuvuta bhange jamani! Mtadata!
...sasa ukakuta afu tena hakupo...ndo nini??!!!umeshawahi kulala ukaamka ucku ukakuta nje hakupo?
We Ahmada umelewa mbona tunaharibiana taiming?
We unafikiri shemeji akiona comt yako hapa, kipunga kitalika leo jioni?
Mambo gani hayo bhanaa...!
mambo ya lugha ishu kuelewa tu hapa.