IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol



...

Kama nilivosema hapo juu... Hizo ni baadhi ya viashiria... kama wewe unaepita hapa iko hivo... SHTUKA!! Kama kawa naomba ushirikiano wenu katika mada hii tuweze ongezea, punguza na rekebisha pia.



Pamoja Saana...:grouphug:



AshaDii.

Namshukuru Mungu siendekezi na sientertain mashoga na mashosti kwenye mahusiano yangu.
 
umenikumbusha bibi yangu alikuwa akitusisitiza 'kukalia nguo' sio mtoto wa kike mwaa mwaa tu...
Nataka kusema hivi, wakati mwingine midomo ya wanawake inawauza wapenzi wao kwa mashoga zao (sasa hapa uwe na bahati ya kupata dume kama la Kongosho likushtue shoga yako sio)
kujiwekea mpaka baina ya mahusiano yako na rafiki zako muhimu sana aisee..


Bht.... hapo in blue tuko pamoja kabisa.... Sijui ni udogo, sijui ni naivete sielewi! Wee unaona kabisa mwenzio siku zoote mapenzi yake ni ya kulumangia (hata kama anae ampendae); there is no need ya kutoa details ambazo zamfagilia huyo mwanaume wako mpaka waone donge or mpaka sasa na wao waanze kufall in love with the jamaa.... Mimi haya mambo haya... sioni hata ule umuhimu wa Mpenzi wangu awe karibu mno na mwanaume wangu... For at the end of the day I know they are human... Na ukiwaachia saana waaanza kulalama ama kujuta..... Bht wanasema abiria chunga mzigo wako....lol
 
Mi nimepanga niishi peke yangu bila kuwa na mpenzi na sifikirii maswala ya mapenzi kabisa haya mapenzi yamesababisha mengi sana yenye +ve na -ve inategemea mtu na mtu anavyo enjoy na hayo mapenzi kwangu bora nikose hizo +ve na -ve za mapenzi.


Tiqo this is bad..... On a serious note reallly bad. In the long run yaweza kukufanya uwe really bitter in everything katika maisha... Wacha tu ile ya Mapenzi. You have to let go hio inayokusumbua (experience) na live again... sijui the type of life you live but naona kama haya uliyo chagua is not healthy.... Every body needs love once in a while.... Every body.....
 
Namshukuru Mungu siendekezi na sientertain mashoga na mashosti kwenye mahusiano yangu.


We have the same stand in this... Wakiwa pamoja hapo my Man na marafiki iwe kwa sababu za msingi na heshima ya shemeji hapo hapo.... I can not even stand it rafiki yangu am-hug for what ever reasons!
 
asante ashadii kwa kutupa warning.Ila kusema ukweli mm sipendi kabisa mpenzi wangu azoeana na marafiki zangu.Na uzur ni kwamba mpenzi wangu ndiye namchukulia kama best friend wangu.Sijawahi kwenda outing nikiwa na mpenzi wangu na shoga au mashoga wakawepo labda ndugu zangu tu ndio huwa nakua comfortable wakimzoea shemeji yao.Nimefurahi umeongelea sio mashoga tu hata ndugu hivyo nitazi apply hata kwa ndugu ambao wao ndio nimeruhusu wawe karibu na shemeji yao.
 
Tiqo this is bad..... On a serious note reallly bad. In the long run yaweza kukufanya uwe really bitter in everything katika maisha... Wacha tu ile ya Mapenzi. You have to let go hio inayokusumbua (experience) na live again... sijui the type of life you live but naona kama haya uliyo chagua is not healthy.... Every body needs love once in a while.... Every body.....

Hivi kukaa na kuishi bila kuwa na mpenzi inaathiri body health? aaah hii hapana bana
Hii ndo style yangu ya maisha niliyo ichagua kuishi bila kuumiza kichwa kwa kweli naenjoy ni bora nifadhiri mbuzi a.k.a mnyama kuliko binadamu kwa penzi la kapumbaga
 
Heshima kwako dada mkubwa,
Namshukuru mungu haya hayajawahi kunitokea maishan
Na nikwavile sinaga mpango na hao mashosti wa hivyo,
Nashukuru mungu marafiki zangu ni wanaume tangu utoto wangu,
Na kamwe maishan siwezi kumtambulisha mwenza wangu kwa rafiki na kuruhusu wazoeane,
Ni marufuku outing na mtu aliyesingle tuambatane naye,otherwise tutoke wasichana peke yetu,
Mungu nisaidie yasinikute ya hv au kumsababishia mtu mwingine mambo km haya Amen.
 
asante ashadii kwa kutupa warning.Ila kusema ukweli mm sipendi kabisa mpenzi wangu azoeana na marafiki zangu.Na uzur ni kwamba mpenzi wangu ndiye namchukulia kama best friend wangu.Sijawahi kwenda outing nikiwa na mpenzi wangu na shoga au mashoga wakawepo labda ndugu zangu tu ndio huwa nakua comfortable wakimzoea shemeji yao.Nimefurahi umeongelea sio mashoga tu hata ndugu hivyo nitazi apply hata kwa ndugu ambao wao ndio nimeruhusu wawe karibu na shemeji yao.


Hongera saana kwa kulitambua hilo dear.... Mie naona ndio njia sahihi... hata hivo kama ulivo gusia kua yupo garibu zaidi na ndugu zako.... Kwa upande wangu naona YES ni pouwa. But hata hio ina mipaka yake, mdogo ama dadako wa kike wakizoeana kuvuka mpaka; to the extent ya kuanza kuita mke mdogo sijui mara nini.... inatakiwa kua makini kweli or else mdogo wako atakua bi mdogo kiukweli na in practice....
 
Looh!! ... OMG.. You r so good eh? How do you start collecting all this details ...

... I loved this one and must apply this weeked ... Lol

.... Mfano labda mna outing, wewe kama mhusika nyanyuka kuenda washroom OR labda kuagiza vinywaji... Kwambali wawaangalia wapo so deep in conservation... oblvious of the exsting world and people around them... Waweza chelewa several minutes kurudi pale mezani but wasi notice (if they do baaada ya mda nayo out of guilt of their pleasure) ...

... Unajua nini ... I have good human intelligence ..so soon im going start this practice najua nitaweza tu ...and you know what before i take any steps ...will discuss the findings with you, ..Lol!
 
Hivi kukaa na kuishi bila kuwa na mpenzi inaathiri body health? aaah hii hapana bana
Hii ndo style yangu ya maisha niliyo ichagua kuishi bila kuumiza kichwa kwa kweli naenjoy ni bora nifadhiri mbuzi a.k.a mnyama kuliko binadamu kwa penzi la kapumbaga


C'mon Man.... Don't you know that? Kwa sie wanawake waweza kuta hata kiuno chaanza kuuma (hio ni body health) na saingine kukuathiri psychologically....lol

Hata hivo noamba nikupongeze kwa kuweza hilo Tiqo.... Knowing what you want and how to get is... is a blessing kwa kweli.... Hongera pia naona huu ugonjwa wetu maarufu wee umekupita kando pia....lol
 
Mimi nimezoeana sana na shemeji yangu (yaani mke wa binamu yangu), ila kuhusu tendo takatifu hatujawahi zungumzia kabisa na huwa halina nafasi katikati yetu. Wakati mwingine kama nipo bar na binamu yangu au sehemu yoyote ile na mkewe akasikia kwamba tupo wote, basi anakuwa hana wasiwasi akiamini kwamba yupo mahali salama. Na ikitokea kwamba wamekuja wote wawili, basi shemeji ataongea sana na mimi. Sisi tunaishi vizuri tu, tena hamna tatizo lolote. Na wakati mwingine kama binamu yangu anataka kwenda sehemu, anaweza akatumia kigezo kwamba ataenda na mimi ili asihojiwe sana. Sasa AshaDii Kama hilo ni tatizo labda unieleweshe vizuri.
 
Hongera saana kwa kulitambua hilo dear.... Mie naona ndio njia sahihi... hata hivo kama ulivo gusia kua yupo garibu zaidi na ndugu zako.... Kwa upande wangu naona YES ni pouwa. But hata hio ina mipaka yake, mdogo ama dadako wa kike wakizoeana kuvuka mpaka; to the extent ya kuanza kuita mke mdogo sijui mara nini.... inatakiwa kua makini kweli or else mdogo wako atakua bi mdogo kiukweli na in practice....

nina shemeji yangu huwa hata nikitumwa na dada yangu ofisini kwake huwa ananitambulisha kama mke wake then sbb watu wanamjua dadangu hapo ofisini akiona wanasura yakujiuliza how come ndio anasema huyu ni mke wangu mdogo mdogo wa mke wangu,kuna siku alimwambia sista kuwa ikitokea sista akifa basi kama mm nitakubali angenioa mm,pia dadangu akikosea anamwambia ingekua ni mdogo wako "cheusie" asingeweza kumfanyia hivi mpenzi wake,mm huyu shemeji yangu sipendi mazoea naye sbb nashindwa kabisa kumzoea kwa jinsi ninavyomuheshimu lkn amin usiamin kuna kipindi dadangu nilimuona kama anatuchunguza fulani hivi lkn namshukuru mungu mungu amedumisha aman mm na dadangu hadi leo ni marafiki wakubwa siri yake siri yangu siri yangu siri yake.
ila naona kama ndugu wakuogopa zaidi ni wale ndugu msiozaliwa nao tumbo moja wale mabinamu hawa mi naona kama ni wa hatari zaidi kuliko ndugu mlioshare tumbo japo ndugu mama mmoja baba mmoja nao wanaweza kukutenda sana tu ukabaki kimya wazi.
 
Heshima kwako dada mkubwa,
Namshukuru mungu haya hayajawahi kunitokea maishan
Na nikwavile sinaga mpango na hao mashosti wa hivyo,
Nashukuru mungu marafiki zangu ni wanaume tangu utoto wangu,
Na kamwe maishan siwezi kumtambulisha mwenza wangu kwa rafiki na kuruhusu wazoeane,
Ni marufuku outing na mtu aliyesingle tuambatane naye,otherwise tutoke wasichana peke yetu,
Mungu nisaidie yasinikute ya hv au kumsababishia mtu mwingine mambo km haya Amen.



Namimi nasema "Ameeen" yasikukute....

Nimependa msimamo wako dear.... thou siku moja moja mwaweza toka na rafikiyo
single na kama mwenzio ana rafiki single...lol.. (unaelewa tena mambo ya rekindling flames)
in the hope they will work things out.... Kama hapa nina mpango wa kumkaribisha
Tiqo nitafute na rafiki single... Hoping.. and hoping..lol
 
Namimi nasema "Ameeen" yasikukute....

Nimependa msimamo wako dear.... thou siku moja moja mwaweza toka na rafikiyo
single na kama mwenzio ana rafiki single...lol.. (unaelewa tena mambo ya rekindling flames)
in the hope they will work things out.... Kama hapa nina mpango wa kumkaribisha
Tiqo nitafute na rafiki single... Hoping.. and hoping..lol
Kwa staili hiyo inakubalika kwan kila mtu atakuwa na mtu wa kumkeep bize mwenzie lol,
Inabidi ufanye huo mapngo mapema kabla Tiqo hajabadili mawzo kwan naona km muoga flan hivi au kakata tamaa!
 
Looh!! ... OMG.. You r so good eh? How do you start collecting all this details ...

... I loved this one and must apply this weeked ... Lol

.... Mfano labda mna outing, wewe kama mhusika nyanyuka kuenda washroom OR labda kuagiza vinywaji... Kwambali wawaangalia wapo so deep in conservation... oblvious of the exsting world and people around them... Waweza chelewa several minutes kurudi pale mezani but wasi notice (if they do baaada ya mda nayo out of guilt of their pleasure) ...

... Unajua nini ... I have good human intelligence ..so soon im going start this practice najua nitaweza tu ...and you know what before i take any steps ...will discuss the findings with you, ..Lol!


Hey AJ....lol... I do not believe you really wanna apply this!! Hio technique ya kukaa kwa mbali... that I love for it is the easiest to do... the hardest to bare! Imagine unatambua there is sort of something... nini utafanya? Hebu basi using your human intelligence tell me what you as a man will do?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom