Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
by the way utatambulisha wangapi? Watu hawasomeki mjini hapa heri ulizwe kimyakimya kuliko aibu ya mtaa lohkwanza kabisa chukua like hiyo....
Ndo maana sitaki mwenza wangu kuzoeana na marafiki zangu kivile. Pia mpaka uwe rafiki yangu ujue nimekusoma haswa, hawa marafiki wa kimjini mjini sitoki nao, wala sitawafanya wamzoee mwenza wangu. Na wala hawatasikia nikimwongelea mwenzangu kwa mazuri au mabaya.... Pia kuna limit ya mazoea kati ya rafiki na mwenza wangu, akijishaua kumjua sana nampasha hapo hapo wala sirembi mie....
Nilishaumwa na nyoka nikiona majani tu nashtuka.