IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

kwanza kabisa chukua like hiyo....

Ndo maana sitaki mwenza wangu kuzoeana na marafiki zangu kivile. Pia mpaka uwe rafiki yangu ujue nimekusoma haswa, hawa marafiki wa kimjini mjini sitoki nao, wala sitawafanya wamzoee mwenza wangu. Na wala hawatasikia nikimwongelea mwenzangu kwa mazuri au mabaya.... Pia kuna limit ya mazoea kati ya rafiki na mwenza wangu, akijishaua kumjua sana nampasha hapo hapo wala sirembi mie....


Nilishaumwa na nyoka nikiona majani tu nashtuka.


by the way utatambulisha wangapi? Watu hawasomeki mjini hapa heri ulizwe kimyakimya kuliko aibu ya mtaa loh
 
kwanza kabisa chukua like hiyo....

ndo maana sitaki mwenza wangu kuzoeana na marafiki zangu kivile. Pia mpaka uwe rafiki yangu ujue nimekusoma haswa, hawa marafiki wa kimjini mjini sitoki nao, wala sitawafanya wamzoee mwenza wangu. Na wala hawatasikia nikimwongelea mwenzangu kwa mazuri au mabaya.... Pia kuna limit ya mazoea kati ya rafiki na mwenza wangu, akijishaua kumjua sana nampasha hapo hapo wala sirembi mie....


nilishaumwa na nyoka nikiona majani tu nashtuka.



B Tabia nikimbilie kukupa poke kwa kung'twa rafiki..... Nimependa post yako... Sometimes ukaribu wa mpenzi wako na rafiki kweli haitakiwi uvuke mpaka kivile.... However ni muhimu wakawepo wa mawasiliano... kuna dharula kama ajali, kuumwa ambazo mpenzi wako anastahili kupata taarifa in case anakutafuta na hujapatikana kabisa (hasa kwenye simu na kwa mda mrefu). Nashukuru kwa Like...lol
 
alidhani ni mpenzi wangu? Mimi mpenzi wangu huwa simtambulishi kabisa hadi nimhakikishe ni realy kabisa sasa hamna ambae alishawai kufikia hatua iyo wote wanapotelea njiani



.....lol... Nilikosa mpuzi.... Watu wengine wayaweza jamani.... Dah! Malizia story sasa bana!
 
R' one thing you should note.... Wengi saana watasema kwao haijawahi watokea.... WHY? Kila mmoja hupenda aonekane Soooo exceptional kwa Mpenzi wake to the extent haamini yaweza tokea kwake na wala hata hataki sikia habari ya ku-observe (which is good I think....lol); Hapa wengi tutagungua hua yatokea kwa wenzetu more....

Kweli yakiwa yametokea kwako ni ngumu sana kusema
Ila kama nilivyosema ilikaribia kuvunja ndoa ya mdada mmoja ninafahamu ambaye alikua anampenda sana rafiki ya mumewe na kumsifia na kuwasiliana nae tena kwa email na simu
Mazungumzo ambayo yalikuwa ya ndani sana yaani kama ya watu ambao wako kwenye relationship na alikuwa anapenda sana kila wakitoka na mumewe jamaa huyo awepo
Kumbe ile ilikuwa ni yule dada alimpenda sana rafiki yake na mumewe
 
kweli yakiwa yametokea kwako ni ngumu sana kusema
ila kama nilivyosema ilikaribia kuvunja ndoa ya mdada mmoja ninafahamu ambaye alikua anampenda sana rafiki ya mumewe na kumsifia na kuwasiliana nae tena kwa email na simu
mazungumzo ambayo yalikuwa ya ndani sana yaani kama ya watu ambao wako kwenye relationship na alikuwa anapenda sana kila wakitoka na mumewe jamaa huyo awepo
kumbe ile ilikuwa ni yule dada alimpenda sana rafiki yake na mumewe
ila mimi sidhani kama ni haki/USTAARABU mke/mume wa mtu kuwa na urafiki wa saaana hadi wa kuwa mwawasiliana kwa mail or simu na marafiki wa mwenza wake unless kuwe na issue muhimu
 
ila mimi sidhani kama ni haki mke/mume wa mtu kuwa naurafiki wa saaana hadi wa kuwa mwawasiliana kwa mail or simu na marafiki wa mwenza wake unless kuwe na issue muhimu

Sometime inatokea kwa kuwa mnaaminiana na unajua kabisa kuwa hawezi fanya lolote kwa mkeo
So mnapeana no za simu na kwenye outing mnaalikana na kuwa pamoja kwa muda
Inawezekana pia rafikio akawa single japo unajua ana mpenzi
So haya mambo yapo na wala hayakwepeki kabisa
Ila muhimu ni kuondoa yale mahusiano ya karibu baina ya watu hao wawili
 
Kweli yakiwa yametokea kwako ni ngumu sana kusema
Ila kama nilivyosema ilikaribia kuvunja ndoa ya mdada mmoja ninafahamu ambaye alikua anampenda sana rafiki ya mumewe na kumsifia na kuwasiliana nae tena kwa email na simu
Mazungumzo ambayo yalikuwa ya ndani sana yaani kama ya watu ambao wako kwenye relationship na alikuwa anapenda sana kila wakitoka na mumewe jamaa huyo awepo
Kumbe ile ilikuwa ni yule dada alimpenda sana rafiki yake na mumewe



Nimekupata R'.... Kwa hio ina maana hizo feelings zilikua ni za upande mmoja ndio maana hata ndoa ilipona.... other wise kama jamaa angekua anarespond na ana nia basi mambo kuharibika possibility ilikua ni kubwa saana.... Or am I wrong?
 
sometime inatokea kwa kuwa mnaaminiana na unajua kabisa kuwa hawezi fanya lolote kwa mkeo
so mnapeana no za simu na kwenye outing mnaalikana na kuwa pamoja kwa muda
inawezekana pia rafikio akawa single japo unajua ana mpenzi
so haya mambo yapo na wala hayakwepeki kabisa
ila muhimu ni kuondoa yale mahusiano ya karibu baina ya watu hao wawili
hapa nazungumzia mawasiliano ya daily kisa shem sio ustaarabu
 
Sikutaka kuongea sana
Nakumbuka ujanani almanusura mamba animeze kwa mtindo huu huu
Bahati nzuri partner akawa muwazi na kusema be keafu, huyo rafiki ako mtata

Ila nilibaki na :eek2: :eek2:
Sikumchunguza sana kuku, nikamla ivo ivo

nadhani wanawake kama kuna kaugonjwa hv.wasichana wengi sana wanapenda sana wapenzi wa marafiki zao.sijui ni wivu sijui ni labda unavomuhadithia mazuri ya mpenzi wako na yeye anatamani kufaidi kiukweli i dont know why?
Mi mi personaly siku moja nilikuwa na rafiki yangu wa kiume ni class mate since o level hadi college ni rafiki yangu sana sana yupo na mwenzake wa kiume pia huyo mmoja tumezoeana zaidi na huwa ananiita mpenzi kiutani lakini basi huyo rafiki yangu anakaa urusi alikuwa amekuja holiday siku moja wkend akaanza kumsumbua mkaka amtoe out basi yule akanipitia kama kawa akaniambia na rafiki yako amesema tumpitie basi alikuwa na noah mi nilikuwa nimechoka nipo nyuma alivokuja paleyule mdada akamshika yule mkaka akaanza denda sijui mnaita kijana anajitaidi kumtoa cause si nilikuwa nyuma pale nawatch movie.............................. Nakuja
 
Nimekupata R'.... Kwa hio ina maana hizo feelings zilikua ni za upande mmoja ndio maana hata ndoa ilipona.... other wise kama jamaa angekua anarespond na ana nia basi mambo kuharibika possibility ilikua ni kubwa saana.... Or am I wrong?

Yeah za upande mmoja
Ila ilikuwa ni lazima ahakikisha anaondoa yale mawasiliano kuponya ndoa yake
Maana ndoa ilikuwa mashakani so mke akaona bora amalize utata wa kuondoa mawasiliano ya aina yoyote na yule jamaa
 
Yeah za upande mmoja
Ila ilikuwa ni lazima ahakikisha anaondoa yale mawasiliano kuponya ndoa yake
Maana ndoa ilikuwa mashakani so mke akaona bora amalize utata wa kuondoa mawasiliano ya aina yoyote na yule jamaa


I bet ilimchukua miezi kurudi hali ya kawaida rohoni kwake....lol.... Mapenzi haya bana! Good thing ndoa iliokolewa bana!

Enways wewe unafikiri mume alipogundua alijiskia vipi? Chukua nafasi yake na jaribu kutathmini...
 
Sina kabisa kuwa na mpenzi pasua kichwa sana



Huna sababu hupendi na huna? AMA huna sababu Mpenzi ni pasua kichwa?

Nimefurahi thou uliposema kua "pasua kichwa" hicho ni kiashiria kua ukipenda kweli wapenda... But bahati mbaya huyo mtu anakuangusha..... (correct me if I am wrong)
 
I bet ilimchukua miezi kurudi hali ya kawaida rohoni kwake....lol.... Mapenzi haya bana! Good thing ndoa iliokolewa bana!

Enways wewe unafikiri mume alipogundua alijiskia vipi? Chukua nafasi yake na jaribu kutathmini...

It was so bad for him
Kujua kuwa kuna mtu amehamishiwa upendo aliotakiwa kupendwa yeye
Na kujua kuwa kuna mtu anatumiwa email ndefu za maelezo ya mapenzi wakati yeye hajawahi kutumiwa hata moja
Kukuta kuwa kuna mtu anapewa attention na mke wake zaidi ya anayopewa yeye
Ilimchukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida na kurudisha ndoa na uaminifu uliopotea
Maana mume hakuweza kuamini kuwa wale wawili hawana extra marital affairs kwa namna walivyokuwa so close na maongezi yao na mautani yao na the way they look to each other wanapokutana
 
umenikumbusha bibi yangu alikuwa akitusisitiza 'kukalia nguo' sio mtoto wa kike mwaa mwaa tu...
Nataka kusema hivi, wakati mwingine midomo ya wanawake inawauza wapenzi wao kwa mashoga zao (sasa hapa uwe na bahati ya kupata dume kama la Kongosho likushtue shoga yako sio)
kujiwekea mpaka baina ya mahusiano yako na rafiki zako muhimu sana aisee..
 
Sikutaka kuongea sana
Nakumbuka ujanani almanusura mamba animeze kwa mtindo huu huu
Bahati nzuri partner akawa muwazi na kusema be keafu, huyo rafiki ako mtata

Ila nilibaki na :eek2: :eek2:
Sikumchunguza sana kuku, nikamla ivo ivo
hata mimi aliniambia tu hvohvo be keafu baby besides ubakaji niliuona mwenyewe shosti kanikimbia toka siku ile
 
It was so bad for him
Kujua kuwa kuna mtu amehamishiwa upendo aliotakiwa kupendwa yeye
Na kujua kuwa kuna mtu anatumiwa email ndefu za maelezo ya mapenzi wakati yeye hajawahi kutumiwa hata moja
Kukuta kuwa kuna mtu anapewa attention na mke wake zaidi ya anayopewa yeye

Ilimchukua muda sana kurudi kwenye hali ya kawaida na kurudisha ndoa na uaminifu uliopotea
Maana mume hakuweza kuamini kuwa wale wawili hawana extra marital affairs kwa namna walivyokuwa so close na maongezi yao na mautani yao na the way they look to each other wanapokutana


Hapo in blue nampongeza huyo mwanaume,
ni wanaume wachache saana waweza kusamehe kwa hilo
hata kama ilimchukua mda... Hapo tayari mwanamke kisha vunja
trust daima kwa mumewe.... Ndo hapo unapopata picha mtu kua
ndoa ni more of a compromise than loving... Waweza kuta kuna
mambo ambayo ndio ya msingi ndicho kimewafanya wakae but
there is no love kabisa!
 
Huna sababu hupendi na huna? AMA huna sababu Mpenzi ni pasua kichwa?

Nimefurahi thou uliposema kua "pasua kichwa" hicho ni kiashiria kua ukipenda kweli wapenda... But bahati mbaya huyo mtu anakuangusha..... (correct me if I am wrong)

Mi nimepanga niishi peke yangu bila kuwa na mpenzi na sifikirii maswala ya mapenzi kabisa haya mapenzi yamesababisha mengi sana yenye +ve na -ve inategemea mtu na mtu anavyo enjoy na hayo mapenzi kwangu bora nikose hizo +ve na -ve za mapenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom