Is true?

Ukweli wa nini
Bora anifurahishe kwa uongo maisha yasonge mbele.

Hivi unakifua cha kubeba ukweli wa wanamme???
Kambana hausigelo wakati wewe umeenda kujifungua
Ofisini anapona kwa sekretary
Alivyosafiri alikula watu kadhaa alokutana nao huko huko
Ni jambazi lililobobea hicho kiduka ni zuga, huoni matumizi yenu na mtaji wa duka yanatofautiana
Alitoa kafara ya mbuzi ili apandishwe cheo
Just out of curiosity, alikula anty michael

Bora nidanganywe, INTELIGENTLY.
 
Ukweli wa nini
Bora anifurahishe kwa uongo maisha yasonge mbele.

Hivi unakifua cha kubeba ukweli wa wanamme???
Kambana hausigelo wakati wewe umeenda kujifungua
Ofisini anapona kwa sekretary
Alivyosafiri alikula watu kadhaa alokutana nao huko huko
Ni jambazi lililobobea hicho kiduka ni zuga, huoni matumizi yenu na mtaji wa duka yanatofautiana
Alitoa kafara ya mbuzi ili apandishwe cheo
Just out of curiosity, alikula anty michael

Bora nidanganywe, INTELIGENTLY.

so u prefer lie,waoo
 
Aseme tu kama kaambukizwa, ili mmoja abaki kulea familia
Otherwise, uongo mtamu, ukweli mchungu
Unaweza ushindwe kabisa kupanda Kilimanjaro, ukawa wa mlima meru tu.
Mianaume ndivyo ilivyo!

so u prefer lie,waoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom