Is this wife a thug or robber?

Have you ever heard of a husband who is a miser????? Such are the ones whose wife would half empty his pocket
 
tatizo unapewa za ma2miz ya hm tu, salun je? lotion je? Nakubaliana na waliosema afadhal anayechomoa ndn kulko aktafutie mume mwenzio wa kukdh mahtaj yake. Mnafkr wanawake wanawaza kula tu? Wana na ma2miz mengne jaman so ili kuepuka kwnda na walet bafun wapen hela za kutosha hawatachomoa walah tn!
dawa ni kumkabidhi pesa zote za matumizi...
ukitaka vocha unamwambia kaninuulie vocha....
 
huyo ambae bdget ya nymbn hkna shda na bdo anachmoa walet ni mwizi, na wewe icjekuwa bdget ya hm unayozungmzia ni vyakula kujaa kwny frdge? Manake mkeo km hafny kaz inabd uwe unampatia pocket money kwaajil ya mahtaj yake bnafsi. Hapo hutamwona akhangaika na walet yko.
Duh Boss, tatizo ni kwamba unakuta budget ya nyumbani hakuna shida, ila mwanamume awekapo suruwale chini ikiwa na wallet, wanamke anaivizia na kuzama mifukoni. Ole wako kesho yake uende dukani kunua vocha, kabla huja lipa tayari ulisha weka kwenye simu, ukizama mfukoni kutoa pesa hukuti kitu. sasa sijui mwenye duka utamwachia simu?
 
mwanamke akipata huduma zote anazostahili kupata HAWEZI WALA HANA SABABU YA KUCHUKUA PESA KWENYE WALLET YA MUMEWE PASIPO KUMJULISHA MUKE / WIZI...wale wooote wanaolalamika kuwa ETI wanaibiwa kwenye wallet na wake zao ni wale WASIOTIMIZA WAJIBU YA KUITUNZA FAMILIA NA MKE,,,,lakin pia SIYO NJIA SAHIHI MWANAMKE KUMWIBIA MUMEO NI BORA UCHUKUE ANAPOKUONA NA UMWAMBIE SABABU YA KUCHUKUA HIZO PESA.
WANAUME ACHANI KUONESHA SIFA KWA MATUMIZI MAKUBWA NJE YA FAMILIA ZENU HUKU MKISAHAU KUZIHUDUMIA FAMILIA ZENU.....AU HAMJUI KUWA MWONEKANO WA MKEO NDIYO THAMANI YAKO MWANAUME???,,,EG ,,UKIMWONA MKEO /FAMILIA YAKO CHAFU HAIPENZI UJUE NDIYO THAMANI YAKO MWANAUME KTK JAMII HATA KAMA UKO NJE UNAJIFANYA WEWE MILLIONEA.


Mke kumwuibia mumewe hela ni katabia tu ka mtu binafsi wala haisababishwi na mume kutojali familia. Mbona mimi baba yangu alikuwa anatumia sana fedha kwenye kinywaji na bado sikuwahi sikia akimlaumu mama kwa kumwibia hela. wanawake wa namna hii ni wezi tu na hakuna jina jingine la kuwaita.
 
wengine wanapenda kushare na malaya kuliko hata familia zao, au hata kama si malaya ile hali ya kupenda kujionyesha mbele za watu, kununua bia kibao, michango ya harusi laki laki na wakati mke akiomba hata nauli ya mtoto ya shule anaambiwa atoe pesa zake, it sucks.

kweli kabisa,kuna wanaume wana sifa sana wakiwa bar. Yaani yy kutoa ofa kwa kila mtu shida,sasa hata kama anatoa matumizi lazma itamuuma mkewe. Na wengine wakiulizwa wanajibu kashfaa..
 
Kwa kawaida wanawake hawaridhiki hata kidogo, fanya ufanyavyo kamwe huwezi kumridhisha mwanamke in terms of cash!!!!!!!!!!!!!
 
Akiiba si anajenga tu familia na kununua mboga ambazo wewe unakulaga baa peke yako, kuku watoto mpaka sikukuu, watoto hawanywi soda mpaka bday zao lol na mtaibiwa sana tu mwaka huu mpaka mbadilike
 
Todays woman is full of surprises. A lot of things can result in a woman stealing her husbands money, but the most common excuse is when a man does not cover his responsibilities at home and the woman is not working. Staying together has a way of exposing all the annoying behaviors that are otherwise hidden during dating. Irritating as a woman may be, a man may decide to ignore or live with her for the rest of his life. A poor man may die without ever knowing that slowly, his trusted woman was a qualified thug in the house who used to steal his cash. Some women will go for their husbands wallet, pulling out a few notes each time it seems overly stuffed. A good number of men never notice even when their wives remove half the money. A man may reason that he unknowingly overspent in a bar with friends the previous night and forgets about the incident. I dont know how I should term such an act, is this called stealing or daylight robbery?
Kwa waliona wanawake kama hawa mimi I advice you to do one thing, when at home, while going for a shower move along with your wallet to the bathroom. Or keep your wallet under the car seat every end of the day. Ipo siku your wife will ask, if you had lost your wallet!

Sasa raha ya kuoa iko wapi? Si bora nikae single tu!
 
huyo ambae bdget ya nymbn hkna shda na bdo anachmoa walet ni mwizi, na wewe icjekuwa bdget ya hm unayozungmzia ni vyakula kujaa kwny frdge? Manake mkeo km hafny kaz inabd uwe unampatia pocket money kwaajil ya mahtaj yake bnafsi. Hapo hutamwona akhangaika na walet yko.

Kama ni pesa za matumizi ya nyumbani, kila siku anapata. Lakini husband akibadilisha tu ngua, mwanamke anaji-position kwanza kutafuta wallet. Nahuwezi jua anachomoa saa ngapi. Nikatabia kawizi ambako kamejificha. Ila ukimpa kama 1m aifadhi hiyo unaipata yote, kosa nikuiacha kwenye mifuko hapo lazima noti kadha hukuti.
 
usipokubali mkeo atumie pesa zako

basi ukubali ku share huyo mke na wenzio wasio bahili....

Hili nakubaliana nalo kabisa. Mume mbahili hukaribisha mke malaya. Kama humtoshelezi mkeo lazima akagawe nje na mke akiamua kufanya hivyo huna namna ya kumzuia maana sisi wanawawake tukipenda tumepnda na tukikususa tunakususa na hata kama nitakuheshimu pale kitandani ni kwa sababu inanibidi nivumilie tu unavyonipanda lakini moyoni najua wapi napata liwazo na pesa ya kutosheleza mahitaji.

Wanaume wengi huwa hawajui kuwa sisi tuna mahitaji mengi kama wanawake. Tunalea familia yetu. Tunalea familia ya baba mkwe na tunalea na familia ya tulikozaliwa ambao nao wanafamilia zao na wengine wao nao wana wanaume irresponsible kama wanaume zetu. kwa hiyo ni muhimu bila ya kushurutishwa wanaume wajue kuwa wanapotoa hela yao inakwenda kuficha na aibu ya wanaume wenzao ambao nao hawako responsibo na familia wanazozizalisha kwa kuwa tu mbegu zinatoka.

Mimi kwa kweli simshangai mwanamke anayemchomolea mume wake. Ni halali kabisa kwa kuwa wanaume wamezidi. Wanaume wanataka kuhoji kila hela wanayokupa. Kwani mi mtoto? Mi najua nitakavyoigawanya katika familia zote. We unataka kujua kwani ushawahi lala njaa.

Dada,
Ukiona wateseka na wallet ipo chumbani fanya U-CCM (Chukua Chako Mapema) maana aweza peleka yote kwa mwenzio.
 
Wanawake ni wadokozi. Siju kama yupo asiye zama kwenye walet za wazee .Ukimpata huyo shukuru maana atakuwa kweli kuku wa kienyeji.
 
wengine wanapenda kushare na malaya kuliko hata familia zao, au hata kama si malaya ile hali ya kupenda kujionyesha mbele za watu, kununua bia kibao, michango ya harusi laki laki na wakati mke akiomba hata nauli ya mtoto ya shule anaambiwa atoe pesa zake, it sucks.

Hapa dada umenena. Wanaume wengi wanapenda sifa mitaani na kusahau sifa kuu iko nyumbani. kwenye bia huwasikii hata siku moja wakilalamika kuwa bei ni kubwa lakini hapa home utasikia wanahoji kila kitu mpaka bei ya nyanya. Wakienda kwenye vikao vya harusi utawasikia wanaropoka mchango mkubwa mpaka unashtuka. Na kwenye fedha za matumizi ya watoto ndo kabisa wanajifanyaga hata hawahusiki.

Ndio maana mi huwa namfurahia dada mmoja hapa kazini kwangu. Yeye ana policy kuwa mtoto aliyezaa na mumewe ni jukumu la mume wake kumtunza. Akiumwa hata homa mume atapigiwa simu kuwa kuna bili ya hospitali inatakiwa na hela ya teksi inahitajika. Mume akigoma kutoa kwa kuona ni hela ambayo iko ndani ya uwezo wa mama kutoa basi ajue ananyimwa unyumba na atachuniwa. Mwanaume wa watu huwa anafanya kila njia kuhakikisha kuwa anatafuta hela na kulipa. Wengi huwa wanamshangaa huyu dada hapa job but trust me mi huwa namuunga mkono. Mwanamke lazima uwe na msimamo. Kama baba anapaswa kutoa matumizi na wewe zako ziende saluni please stick to it.
 
Wanawake ni wadokozi. Siju kama yupo asiye zama kwenye walet za wazee .Ukimpata huyo shukuru maana atakuwa kweli kuku wa kienyeji.

Wapo ambao si wadokozi. Wapo wamejaa tele. Unakuta mwanamke ana kipato kizuri tu na hana sababu ya kudokoa kwa baba. Wapo wanawake ambao hata kama baba ana majukumu ya kutoa fedha nyumbani nao wapo kumsaidia. Wapo wanawake ambao waume zao hawana uwezo lakimi nao wanaajitunza na siyo lazima baba asaidiwe na wanaume wenye fedha ili kutunza nyumba. Tusisahau kuwa kutunza nyumba ni natural endowment ya mwanamke. Amepewa na Mungu kipaji hicho.

Tatizo kubwa lililopo ni pale mwanamke anapobeba majukumu mengi kupita uwezo wake kwa nia ya kujionyesha katika jamii yeye ni nani. Unaweza kukuta mwanamke yuko kwenye mashindano yafuatayo:
1. Mashindano na wadada na wamama wenzake kuhusu maavazi, style ya nywele, gold chains, lotion na perfumes hapo lazima ingie walllet.
2. mashindano na mawifi zake kuwa nani kati yao ni zaidi na nani anapendwa zaidi na mume wake (ambayo hujulikana kwa mali na zawadi alizoletewa amabapo kama hajaletewa huingia kwenye walllet na kujininulia)
3. Mashindano na kaka na dada zake wa kuzaliwa kujionesha ni nani mwenye uwezo zaidi wa kuwahudumia wazazi wake na ndugu zake
4. mashindano na class mates zake kujua nani elimu yake imempa sucess ya kununua simu kali, gari zuri, nyumba zuri ya kupanga etc

Sasa katika mashindano haya lazima mwanamke uwe mdokozi ili uweze kucompete. (ofkoz wanaume nao wana mashindano yao kama nani ametembea na demu mkali zaidi, nani amejenga kwa spidi zaidi, nani ananunua round nyingi za pombe e.t.c)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom