Is this true?

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Dec 6, 2006
3,020
576
WHY AFRICA IS 25 YEARS BEHIND THE DEVELOPED WORLD.....


AFRICAN LEADERS

Abdulai Wade age 83
Hosni Mubarak ( Egypt ) age 82
Robert Mugabe ( Zimbabwe ) age 86

Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) age 74
Rupiah Banda ( Zambia ) age 73
Mwai Kibaki ( Kenya ) age 71
Ellen Johnson Sirleaf ( Liberia ) age 75

Colonel Gaddafi (Libya) age 68
Jacob Zuma (South Africa) age 68
Bingu Wa Mtalika (Malawi) age 76
____________ __________________
Average Age: 75.6 ~ Approximately
76 years
____________ __________________

THE FIRST WORLD LEADERS

Barrack Obama (USA) age 48
David Cameron (UK) age 43
Dimitri Medvedev (Russia) age 45
Stephen Harper (Canada) age 51
Julia Gillard (Australia) age 49
Nicolas Sarkozy (France) age 55
Luis Zapatero (Spain) age 49
Jose Socrates (Portugal) age 53

Angela Merkel ( Germany ) age 56
Herman Van Rompuy ( Belgium ) age 62
____________ __________________
Average Age: 51.1 ~ Approximately
51 years
____________ __________________

___________ __________________
DIFFERENCE:
25 years
____________ __________________

GUYS, HOW DO WE MOVE FORWARD WITH THIS OLD SQUAD...?

Regards,


From Yahoo Friends
 
Waafrica wanachelewa kukua na hapo wameficha miaka
 
Kikwete is 60 today which is nine years above the average age of leaders of the developed world!!
 
Kweli afrika ndiyo maana hatuendelei, halafu hawataki kuachia uraisi, vijana hata nafasi za juu hawapewi et hawajakoma na hawana experience ya kutosha kushika madaraka serikalini, wakati private organisations wanawapa nafasi kubwa za ukurugenzi nk,
 
Huu ndio u- Intellectual mkuu, nimeipendana hii r/ship. If we had opport we may need to check IQ level or mental capacity. to our surprise we may find we ar led by watu wenye mtindio wa ubongo
 
Ndio maana inakuwa ngumu sana kwa nchi nyingi za Afrika kuwa na maendeleo kwa kuwa tuna viongozi wazee ambao hawana fikra mpya,kwa mfano Mugabe unadhani atakuwa anawaza kuwa na jambo jipya wakati umri wake na hata mawazo yake ni ya kartne iliyopita?
 
Waafrica wanachelewa kukua na hapo wameficha miaka

Umenifanya nicheke NATA, nakumbuka enzi hizo kwenda darasa la Kwanza unaambia upitishe mkono juu kicha ushike sikio la upande mwingine. Watu wanaanza shule walishabarehe tayari, kufika la saba wazee wazima. Kazi kwelix2.



 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom