Da vincci
Member
- Aug 9, 2009
- 61
- 9
Ndugu wana jamvi kama mada tajwa husika hapo juu inavyosema...'kuna umuhimu wowote kufahamu mahusiano yaliyopita ya mpenzi wako wa sasa'?
Naomba wachangiaji tu base kwenye faida na hasara za kufamu au sintofahamu za historia ya kimapenzi ya mpenzi wako wa sasa...ukijua mpenzi wako alikua na wapenzi kumi au mmoja au hakuwahi kabisa itabadilisha nini?inaweza kuimarisha mapenzi yenu au itahatarisha?
Guys let's be realistic on this tusiongee vitu fictional tu na drama za kifilipino...haya mabo yana exist na ni tatizo katika society zetu just imagine una mpenzi wako mnatembea mnakutana na mtu anamchangamkia..wanaonyesha kufahamiana,mpenzi wako ana flirt kabisa hadi wanabadilishana namba nawewe unachukulia poa cuz unajua maybe ni rafiki yake tu kumbe mtu alikua ni mpenzi wake...we all know the problem with EX...ni rahisi sana kukumbushiana...ila kama alikwambia kabla mtu flani ali exist ungechukua tahadhari maybe ya kufupisha conversation mkaondoka yakaisha..!
Lazima tukubali kuna baadhi yetu tupo weak when it comes to deal with past relationships....kuna upande wa pili ambao hawapendi kabisa kuzungumzia mahusiano yao ya nyuma kisa wana claim hawataki kuumiza wapenzi wao...can any one try to justfy this?!
MY TAKE;
NO MATTER how many lovers u had its better ukamwambia mpenzi wako at the begginning mwa mahusiano hayo mapya ...guys trust me on this..the way utakavyo mtreat mpenzi ambaye hajawahi kuwa na mahusiano kabla,aliyewahi kuwa na uhusiano mmoja,mwenye mahusiano mawili,matatu au kumi ni tofauti kabisa....kila mmoja ana namna yake utakavyo mtreat na kumfurahisha namna yake ni both mentally na physically...its better ukamuumiza mpenzi wako kwa kumwambia past yako mwanzoni kuliko akaja kujua katikati ya mahusiano...itamuumiza sana na kuna hati hati asije kukusamehe milele...!
KARIBUNI WANAJAMVI NI HAYO TU KWA LEO!
Naomba wachangiaji tu base kwenye faida na hasara za kufamu au sintofahamu za historia ya kimapenzi ya mpenzi wako wa sasa...ukijua mpenzi wako alikua na wapenzi kumi au mmoja au hakuwahi kabisa itabadilisha nini?inaweza kuimarisha mapenzi yenu au itahatarisha?
Guys let's be realistic on this tusiongee vitu fictional tu na drama za kifilipino...haya mabo yana exist na ni tatizo katika society zetu just imagine una mpenzi wako mnatembea mnakutana na mtu anamchangamkia..wanaonyesha kufahamiana,mpenzi wako ana flirt kabisa hadi wanabadilishana namba nawewe unachukulia poa cuz unajua maybe ni rafiki yake tu kumbe mtu alikua ni mpenzi wake...we all know the problem with EX...ni rahisi sana kukumbushiana...ila kama alikwambia kabla mtu flani ali exist ungechukua tahadhari maybe ya kufupisha conversation mkaondoka yakaisha..!
Lazima tukubali kuna baadhi yetu tupo weak when it comes to deal with past relationships....kuna upande wa pili ambao hawapendi kabisa kuzungumzia mahusiano yao ya nyuma kisa wana claim hawataki kuumiza wapenzi wao...can any one try to justfy this?!
MY TAKE;
NO MATTER how many lovers u had its better ukamwambia mpenzi wako at the begginning mwa mahusiano hayo mapya ...guys trust me on this..the way utakavyo mtreat mpenzi ambaye hajawahi kuwa na mahusiano kabla,aliyewahi kuwa na uhusiano mmoja,mwenye mahusiano mawili,matatu au kumi ni tofauti kabisa....kila mmoja ana namna yake utakavyo mtreat na kumfurahisha namna yake ni both mentally na physically...its better ukamuumiza mpenzi wako kwa kumwambia past yako mwanzoni kuliko akaja kujua katikati ya mahusiano...itamuumiza sana na kuna hati hati asije kukusamehe milele...!
KARIBUNI WANAJAMVI NI HAYO TU KWA LEO!