nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Kama haina athari kwenye ndoa why maark it private.
Mi nilidhani privacy inaendana na hatari kwa kidhungu danger.
Mi nilidhani privacy inaendana na hatari kwa kidhungu danger.
mi nafikiri even kwa wapendanao walioko ktk ndoa lazima kutakuwa na degree of privacy to some issues especially zile ambazo haziwezi kuwa na athari kubwa katika ndoa e.g password JF