Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Hamjambo wakuu?
Nina niece wangu kazliwa 3 month ago na jicho moja likiwa slightly ndogo kwa lingine. Ni mapacha, mwenzie kazaliwa mzima bukheir. baada ya miezi 2 yule mwenye jicho ndogo akaaza kupata mild seizures ("convulsion") za 10 to 20 seconds. Tulipo mpeleka hospitali kwa pediatrician akampa phenobarbital injection na crisis zilipunguka ila alivoanza tabs seizures zilirudi up to 20 kwa siku, zikaja stabilize 15 kwa siku.
Aliandikiwa exam nyingi ila daktari hajapata chochote zaidi ya kua sphere moja ya brain ni slightly ndogo in size kuliko nyingina ila neuro signals zinaendelea kama kawaida. Wazazi wake na sisi ndugu zake tunaogopa sana. Kwa sasa anaendelea na phenobarbital injection.
Nilijaribu kusoma huku na kule nikaangukia " Moba syndrom" ambayo symptoms ni: congenital microophtalmia and progressive brain atrophy which leads to seizures. ila hii anomaly imeshaonekana mara 3 tu duniani na watoto wote wa 3 walikua from the same family
Swali langu ni hili: Huyu niece wangu anaumwa nini??? inaweza kua MOBA syndrom? tufanye exams zipi? kwa hapa eastern na central africa neurologic center nzuri ni ipi?
I am completely down and devastated, please help!
Nina niece wangu kazliwa 3 month ago na jicho moja likiwa slightly ndogo kwa lingine. Ni mapacha, mwenzie kazaliwa mzima bukheir. baada ya miezi 2 yule mwenye jicho ndogo akaaza kupata mild seizures ("convulsion") za 10 to 20 seconds. Tulipo mpeleka hospitali kwa pediatrician akampa phenobarbital injection na crisis zilipunguka ila alivoanza tabs seizures zilirudi up to 20 kwa siku, zikaja stabilize 15 kwa siku.
Aliandikiwa exam nyingi ila daktari hajapata chochote zaidi ya kua sphere moja ya brain ni slightly ndogo in size kuliko nyingina ila neuro signals zinaendelea kama kawaida. Wazazi wake na sisi ndugu zake tunaogopa sana. Kwa sasa anaendelea na phenobarbital injection.
Nilijaribu kusoma huku na kule nikaangukia " Moba syndrom" ambayo symptoms ni: congenital microophtalmia and progressive brain atrophy which leads to seizures. ila hii anomaly imeshaonekana mara 3 tu duniani na watoto wote wa 3 walikua from the same family
Swali langu ni hili: Huyu niece wangu anaumwa nini??? inaweza kua MOBA syndrom? tufanye exams zipi? kwa hapa eastern na central africa neurologic center nzuri ni ipi?
I am completely down and devastated, please help!