Mjuni lwambo,
Umesema neno. Katika sheria za Tanzania hakuna msamaha unaotolewa kwa wauaji. Iweje leo watu waliopatikana na hatia ya mauaji ya Kombe wasamehewe na Mkapa? Sina ushahidi lakini naamini serikali ya Mkapa ilihusika katika mauaji ya Kombe.
Kuna kitu ambacho Watu wanashindwa kujuwa labda kwa tamaa ya fedha ....once unakubali kutumwa operations nzito Kama kuuwa target ...unatakiwa Ujuwe mbali ya fedha utakazopata.....lazima na wewe utauliwa tu ....maana hutaaminika kuficha Siri
mnajuwa wale Polisi walioachiwa msamaha wa Rais wameshakufa mmoja hadi mwingine??? ninkama Yule aliyekuwa anajuwa ukweli Kesi ya zombe alivyokufa same style....waliuguwaa.....we'll ndio maana professional operatives huwa wanapanga plan ....lakini kwenye utekelezaji wanakodi Watu ambao hawajuwi RULE OF THE GAME....kutekeleza.....na baadaye wanawa compromise....... Ndio maana ukienda nchi wanazojuwa Sheria ya kutumika ...akishachukuwaa pesa mtu ...anakimbia nchi kwa miaka kadhaaa hadi issue iwe haina uzitoo
Polisi waliomuua Kombe walihukumiwa kunyongwa baada ya ukutwa na hatia ya kuua. Lakini wiki chache zilizopita kuna gazeti [I guess ni Mwananchi] liliripoti kwamba polisi hao walishasamehewa kwa msamaha wa Rais. Siku mbili baadaye Salva Rweyemamu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kwamba Kikwete hajawasamehe hao wauaji.
Kombe aliuawa zama za utawala wa Mkapa, na ni Mkapa huyo huyo akiwa Rais aliwasamehe hao wafungwa. Je, ni kwanini Mkapa aliwasamehe hao wafungwa?
So, lazima serikali ilikuwa inajua kilichokuwa kikiendelea na hata hao polisi walioua, inawezekana waliua kwa amri kutoka juu na ni hao hao wa juu ndio walioamua kuwasamehe baada ya kusoma gerezani for some years.
Kagame ana mkono mrefu na siyo mkono mrefu tu, ameishi Tanzania na Uganda so anajua mengi sana na anafahamiana na watu wengi tu. Kwa hiyo akitaka kufanikisha chochote ni rahisi sana na wala sio lazima atumie mashushu wake wa ubalozini, mtaani anaweza kuwa ana informers wengi sana ambao ni watanzania.
Labda muandikie kwenye twitter yake ni verified,Presidency | Rwanda Verified accountKagame ameanza kukimbia kivuri chake mwenyewe, sasa anajiuliza watu wote aliowamaliza atajibu nini kwa allah, na ni malaika gani atakayempokea ukifika wakati wake wa kuondoka hapa duniani.
Hebu kagame tumuulize au ajiulize yo wapi welson Rataisise na alimfanya nini?
Wapo wapi akina kayumba Nyamwasa,wapo wapi akina kalegeya aliyekuwa msiri mkuu wa kagame kwenye kampuni ya kuuza madini ya goltan iliyoibiwa congo.
Namwambia kagame ajibu juu ya wale watu 200 aliowakata shingo mwaka 2004 kwenye shamba la james kabarebe lililopo njia ya kwenda nyautarama.
kagame ukijibu maswali hayo rudi nyumbani tz uongeze ulinzi dhidi ya rais kikwete kwa sababu kagame anatabia ya kuwafuata hukohuko walipo anaowaita maadui zake.
Kagame unakumbuka jinsi ulivyommaliza senda shonga aliyekuwa amekimbilia nairobi na wewe ukamfuata na kwenda kummaliza hukohuko?
Kagame kama kweli unaakili timamu doma kwanza taarifa za CIA who killed habyaimana ukitoa majibu hayo nitakukumbusha jambo lingine.lakini kwa vile unawatawala warwanda kwa mabavu unaweza usikumbuke unyama huu uliofanya na unaoendelea kuufanya.